Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Mungu Mkubwaaaa, at last haki itatendeka, asante sana Mh. Rais wetu, Mama Samia, tunakuombea kwa Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu sana.
Hakika watanzania watapata matumaini makubwa sana sanaaa.. Rais Mama Samia ni kiongozi madhubuti, mpenda haki, asiyependa watanzania kuonewa, kunyanyaswa, kuteswa, kuuawa, etc hakika nimeamini Mama Samia ni Rais wa kipekee, Mama mwenye huruma. Kazi iendelee
Excellent, safiiiii...!!! 💚💚💚🔰🔰💛💛👏👏👏👏👏👏
Hakika watanzania watapata matumaini makubwa sana sanaaa.. Rais Mama Samia ni kiongozi madhubuti, mpenda haki, asiyependa watanzania kuonewa, kunyanyaswa, kuteswa, kuuawa, etc hakika nimeamini Mama Samia ni Rais wa kipekee, Mama mwenye huruma. Kazi iendelee
Excellent, safiiiii...!!! 💚💚💚🔰🔰💛💛👏👏👏👏👏👏