Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Huyo palamagamba toa kabisaHii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Naunga mkono No. 4, nami niliwahi kumpendekeza Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke nilisemaHii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
4. Dkt. Hussein Mwinyi
PWanabodi
Haya mambo ya mtu kusikia sauti, sio mambo ya ulimwengu huu wa mwili, haya ni mambo ya ulimwengu wa Roho.
Lakini kama ataisikia hii sauti, sio vibaya kama atajiandaa na kumuandaa mtu wa kumpokea, kwa maoni yangu, Dr. Hussein Mwinyi atatufaa sana, hivyo namuomba Rais Samia akiisikia sauti, amuombe Dr. Hussein Mwinyi, kwa uchaguzi wa urais wa 2025 aje kugombea urais wa JMT, kuimalizia awamu ya pili ya Mama Samia kwa yeye kukubali kuwa rais wa JMT kwa awamu moja tuu.
Hili la Mwinyi kuja huku, sio la sauti, hili ni langu tuu,
P.
Kwa nini hukuniweka mimi wa kwanza?Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Siku hizi si tembo Tu anatoka na mbuga nzima nzima huyu dingi Hana hayaHuyo toa kabisa tupa kule 👉
Unataka tembo wetu waishe wote? Acha kututania.
Mtoe Mama Janet kwenye hilo kundi la waovu. Mama Janet mweke na kina Mama Maria Nyerere. Toa Mama Janet ingiza jila la Ali Hapi.Umewasahau hawa
1.Bashite
2.Sabaya
3..Polepole
4.Mama Janet Magu
Ni hivi , Rais wa halali hutokana na Uchaguzi ulio huru na haki , ambao unamtoa kiongozi wa Watu aliyechaguliwa kihalali , kiongozi hatajwi na mtu binafsi kama wewe .Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana...
Hata mmoja kati ya hao hafai. kwasa sasahivi ni zamu ya mgalatia na mtu toka bara. period.Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana...
Sifa ya urais sio unyenyekevu wala huo uchaMungu, kiongoz ukiendekeza hii tabia ya huruma Taifa kamwe haliwezi kupiga hatua.Makamu wa Rais
Dr. Philip Mpango anastahili kugombea Uraisi.
Kwakweli ana sifa zote.
Ni mnyenyekevu na Mchamungu.
Tunahitaji Kiongozi Mchamungu.
Kwa Karne hizi za Ukoloni Mambo Leo.
Ninavyozidi kukua kiumri na kiakili nimejifunza kuwa RAMLI hizi chonganishi wala hazina ukweli....Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Viongozi wote wametokea CCM.... Chadema wametoa lini ?!!CCM ni jamii ya hovyo na hopeless haiwezi kutoa kiongozi wa maana