Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ni Mwema amzidishie afya Njema, Nampenda Raisi wanguTwamuombea Mungu afya njema na maisha marefu rais wetu wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Amen
... sure you were guessing! The Vice President shall take over until the next normal election cycle....
Kiutaratibu Rais akifariki, makamu wa Rais ndiyo anachukua nafasi yake. Lakini anatakiwa kuitisha uchaguzi mwingine katika muda usiozidi miezi mitatu (just a guess)
Bado umechoka?Sio siri mie amenichosha huyu Vasco!:frown::frown::frown:
Broo uko wapi umeacha simanzi mpaka leo unatafutwa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Teh teh teh, lakii si inawezekana...Je kama ni mapenzi ya Mungu. Naona na wewe mkuu leo umeingia kwenye mtego,mueleweshe mleta hoja tu...Kumpa uelewa mleta Hoja,haitamfanya Rais Afe!
weweNingependa kujua ikiwa ikatokea bahati mbaya amefariki katika ajali au namna yoyote iwayo, nani ateyeshika nafasi ya uongozi wa taifa letu?
?????Sio siri mie amenichosha huyu Vasco!:frown::frown::frown:
Samia.Ningependa kujua ikiwa ikatokea bahati mbaya amefariki katika ajali au namna yoyote iwayo, nani ateyeshika nafasi ya uongozi wa taifa letu?
Inasikitisha sanaBroo uko wapi umeacha simanzi mpaka leo unatafutwa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uzi unajua una umri gani au umekurupuka tuHizi hoja kwa nini zianze kuibuka sasa? Kunani? Msemaji wa Serikali jitokeze haya mambo ya afya kudidimia huwa yapo kwa kila binadamu
Bahati nzuri upo hapa nchini. Zipo nchi ulimwenguni kule kufikiria tu kwamba kiongozi wa nchi amefariki ni kosa la uhaini na unaweza ukapotezwa.Ningependa kujua ikiwa ikatokea bahati mbaya amefariki katika ajali au namna yoyote iwayo, nani ateyeshika nafasi ya uongozi wa taifa letu?
Hata kama una miaka mia...kwa nini uhuishwe sasa?Huu uzi unajua una umri gan au umekurupuka tu
Huu uzi unamaanisha nini?Endapo kwa sababu "yoyote" ile Rais atashindwa kuendelea na madaraka yake basi atakayechukua nafasi hiyo ni Makamu wa Rais.