Rais anapofia madarakani, utaratibu ni upi kwa sheria za nchi yetu?

Teh teh teh, lakii si inawezekana...Je kama ni mapenzi ya Mungu. Naona na wewe mkuu leo umeingia kwenye mtego,mueleweshe mleta hoja tu...Kumpa uelewa mleta Hoja,haitamfanya Rais Afe!
Dah! My brother, sijui niseme nini ila Mungu anajua kila kitu na visasi vyote ni juu yake
 

Duuh!! Naomba iwe kweli
 
Kama kweli Meko ame-R.I.P......Nashauri baadhi ya watu Waanze kuikimbia nchi mapema
 
Kama kweli ame-R.I.P
Basi tutaka haya yafanyike kwa haraka
1. Marudio uchaguzi Serikali za mitaa
2. Marudio uchaguzi mkuu(wabunge na madiwani)
 
Kumbe kujua kutumia internet ilikuwa ni jambo kubwa sana hapo miaka ya 2010?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…