Rais anapofia madarakani, utaratibu ni upi kwa sheria za nchi yetu?

Rais anapofia madarakani, utaratibu ni upi kwa sheria za nchi yetu?

Dui mkuu Antibayotic umejiunga jana tayari una mabandiko 34? Mimi nilifikiri baada ya kuajiunga JF ungetumia muda mwingi kubrowse around na ndiyo bidae uanze kuchangia!
 
Sina katiba
Huna katiba, kwani huwezi kui download?

Jamvi hili si la lightweights ambao hata kusoma Katiba hawawezi halafu unataka kujadili Katiba, utawezaje kumudu mjadala wa Katiba kama Katiba kuisoma ni too deep kwako?
 
Aiseee, umenishitua??!! Yaani nilipoiona hiyo title kwa harakaharaka niliona kama imeandikwa Rais Afariki. Duh, hadi sasa pressure bado haijashuka.

Kiutaratibu Rais akifariki, makamu wa Rais ndiyo anachukua nafasi yake. Lakini anatakiwa kuitisha uchaguzi mwingine katika muda usiozidi miezi mitatu (just a guess)
 
Huyu ni kati ya wale Tanzania haina tatizo la kutokuwa nao, tena wengi sana -- shukrani kwa utawala wa CCM! Hawajui hata Katiba! Si hawa ndo, kama mchangiaji mmoja humu ndani kasema) huchagua sura tu?
 
Sina katiba

Huu ni udhaifu mkubwa sana kwako kama huna na wala huielewi katiba ya nchi yako. Ndiyo maana tumechoka na hicho chama chako tunataka chama transparent ambacho kitaweka kila kitu bayana. Katiba ni haki ya Rais eti. Kisa mnagopa kuulizwa maswali. Why fearing challenges!! Coward, you coward Chama Cha Mfuu. Ha ha ha ila kwa bahati mbaya akifafa kikizidi na tukaimba parapanda, sasa sijui kama huyo mzee mwenzangu atafika wapi? Amechoka jamani, kwa nini hata daktari hashauri apumzike, na mvuto mhhhhhhhhhhhhhhhhhh!
 
Akifariki chama chake kitaendelea kuongoza hadi ifike miaka kumi au yule mgombea mwenza ataongoza nchi.

Je! Wakifariki wote kwa pamoja, pengine wanasafiri kwenye ndege moja, unajua mabadiliko tabia nchi siku hizi hayatabiriki na ni vyema wananchi wakaelewa katiba yao inasemaje.
 
Akifariki itakuwa poa tu. Ni kutimia kwa maandiko.
 
Akifariki itakuwa poa tu. Ni kutimia kwa maandiko.
Angalau umenipa matumaini ya kimungu ,sasa sisi au wale tutakaokuwepo ,si umeliona suali ,lenyewe na sikusudii kumlenga yeyote ,ila sina katiba ya Tanzania nilimuazima jamaa hadi leo na ukimuuliza anakwambia nitakuletea hadi nimeisamehe ila yeye sijamsamehe.
 
Wakifariki wote mm nitakuwa Rais wenu wa mpito mpaka uchaguzi mwingine utakapoitishwa
 
Back
Top Bottom