ERT
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 226
- 177
Katiba inasema Makamu wa Rais anaapishwa kuwa Rais kwa kipindi kilichobaki.
Sio Kufariki tu hata akiwa Nje ya Nchi Makamu anakaimu nafasi yake, ila nadhani akifariki kwa Nchi kama yetu Makamu anakaimu Nafasi yake Mpaka uchaguzi utakapofanyika!