Rais anapofia madarakani, utaratibu ni upi kwa sheria za nchi yetu?

Rais anapofia madarakani, utaratibu ni upi kwa sheria za nchi yetu?

Jitafakari. Usitafute kiki za kina Sosopi mitandaoni. Mwisho wa siku utasumbua watu kutafuta wadhamini wa kukuwekea dhamana Mahakamani.
kauliza swali ajibiwe kama hujui jibu ungepiga kimya uendelee kunyonya dushe la mutuyako
 
Huu Uzi sio mbaya ila kuna watu mnachokitaka sio kabisa
 
UCHURO wako mtyaaaammm sana[emoji12] [emoji108] [emoji61]
hii inaweza kutokea kama lini vile?
tuandae sanda zake[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji61] [emoji61] [emoji61]
Mimi nataka kujua tu katiba inasemaje
 
Mimi sijamsema mtu,nimeuliza ili pengine tujue tunasimama wapi kipindi ambacho hayo yatatokea
Dahhhhh....
Mkuu, naona ndio unazidi kujipalia kaa la moto wallah....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Nimekupa angalizo tu! Uamuzi ni juu yako. Kupanga ni kuchagua....ila muda mwingine unaweza kupanga lakini wengine ndio wakakuchagulia hatma yako.
Nini hasa unakichukia wananchi wanapojadili ibara za katiba yao!

Au unataka kutuaminisha Rais huwa hafi.

Tunaomba mwongozo tafadhali maana umetoa tahadhari kimamlaka mamlaka.
 
Nini hasa unakichukia wananchi wanapojadili ibara za katiba yao!

Au unataka kutuaminisha rais huwa hafi.

Tunaomba mwongozo tafadhali maana umetoa tahadhali kimamlaka mamlaka.
Hahahaha
 
Makamu anaapishwa kuwa Rais mpaka kipindi ya uchaguzi mkuu ufike (kwa muda uliokuwa umebaki).
 
Katiba inasemaje kuhusu hili,wajuzi naomba kujua iwapo Rais atafariki kabla ya kumaliza muda,nini kinafuata!!!
Unamaana gani? Au umeonyeshwa nini. Ama unategemea nini kutomea. Usituleteye laana na misiba
 
Back
Top Bottom