MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
kaona dalili[emoji12]Mkuu umefikiria nini mpaka kujiuliza swali kama hilo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaona dalili[emoji12]Mkuu umefikiria nini mpaka kujiuliza swali kama hilo...
ni vizuri kujiandaa maana ghafla inaweza kuchukua wengiSijui anataka kufanya mini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha wogaJitafakari. Usitafute kiki za kina Sosopi mitandaoni. Mwisho wa siku utasumbua watu kutafuta wadhamini wa kukuwekea dhamana Mahakamani.
kauliza swali ajibiwe kama hujui jibu ungepiga kimya uendelee kunyonya dushe la mutuyakoJitafakari. Usitafute kiki za kina Sosopi mitandaoni. Mwisho wa siku utasumbua watu kutafuta wadhamini wa kukuwekea dhamana Mahakamani.
Grisi imeisha nduguDaaha yaan nimewaza mpak ukafikia ivyo uliwaza nn?
Mimi nataka kujua tu katiba inasemajeUCHURO wako mtyaaaammm sana[emoji12] [emoji108] [emoji61]
hii inaweza kutokea kama lini vile?
tuandae sanda zake[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji61] [emoji61] [emoji61]
Dahhhhh....Mimi sijamsema mtu,nimeuliza ili pengine tujue tunasimama wapi kipindi ambacho hayo yatatokea
Naona unanichongeaDahhhhh....
Mkuu, naona ndio unazidi kujipalia kaa la moto wallah....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Unanichongea mkuusio shida cha muhimu ni.. atapendwa ZAIDI na GODI lini[emoji22] [emoji22]
Huu uzi ni mzuri kuusoma kwa thermometer. Ajabu sana yani.Huu Uzi sio mbaya ila kuna watu mnachokitaka sio kabisa
Nini hasa unakichukia wananchi wanapojadili ibara za katiba yao!Nimekupa angalizo tu! Uamuzi ni juu yako. Kupanga ni kuchagua....ila muda mwingine unaweza kupanga lakini wengine ndio wakakuchagulia hatma yako.
HahahahaNini hasa unakichukia wananchi wanapojadili ibara za katiba yao!
Au unataka kutuaminisha rais huwa hafi.
Tunaomba mwongozo tafadhali maana umetoa tahadhali kimamlaka mamlaka.
Unamaana gani? Au umeonyeshwa nini. Ama unategemea nini kutomea. Usituleteye laana na misibaKatiba inasemaje kuhusu hili,wajuzi naomba kujua iwapo Rais atafariki kabla ya kumaliza muda,nini kinafuata!!!
Hayo ya kwako, mimi nimeuliza katiba inasemajeUna mpango wa kumuua Raisi mkuu?
Nimepata jibuMakamu anaapishwa kuwa Rais mpaka kipindi ya uchaguzi mkuu ufike (kwa muda uliokuwa umebaki).