Ungekua usa fbi wangekutembelea kwa leo
Mmmh, sasa hapo nashtakiwa kwa kosa gani mfanoMkuu, kwa kuuliza tu hili swali kwa sheria za hapa kwetu unaweza ukashataki wallah....tehteehh
Sidhani kama nchi hii imefika hatua watu kujua katiba ni tatizo
Kila la kheri boss.Sidhani kama nchi hii imefika hatua watu kujua katiba ni tatizo
Nadhani ile kitu kama ingefika mahakamani ingetupwa mbali kwa maana ni DEFECTIVE CHARGE.Yule jamaa kule Mbeya aliyeuliza swali na kumkejeli Naibu Spika wa JMT hatma yake ilikuwaje!?
Dah..hata bongo...wacha wamtembelee tu.... Hadi wajiridhishe....[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ungekua usa fbi wangekutembelea kwa leo
Nauliza tu,uchaguzi unaitwa immediately au wanasubiri mpaka term iishe??Mama Samia atachukua nchi hadi uchaguzi ufanyike na marehemu atazikwa kitaifa kwa mahudhurio makubwa kama Mwl.
Muulize Lema anajua kilichomkuta, kisa aliota jambo linalo muhusu prezidaaMmmh,sasa hapo nashtakiwa kwa kosa gani mfano
Natumaini unamaanisha hivyoKila la kheri boss.
Mimi sijamsema mtu, nimeuliza ili pengine tujue tunasimama wapi kipindi ambacho hayo yatatokeaMuulize Lema anajua kilicho mkuta, kisa aliota jambo linalo muhusu prezidaa
Kuuliza kutaka kujua sheria ni kosa?Jitafakari. Usitafute kiki za kina Sosopi mitandaoni. Mwisho wa siku utasumbua watu kutafuta wadhamini wa kukuwekea dhamana Mahakamani.
Mimi sijamsema mtu,nimeuliza ili pengine tujue tunasimama wapi kipindi ambacho hayo yatatokea
Hahahaaaaaahahahha napenda unavyocoment ulivyo calm
Daaha yaani nimewaza mpaka ukafikia hivyo uliwaza nini?Katiba inasemaje kuhusu hili,wajuzi naomba kujua iwapo Rais atafariki kabla ya kumaliza muda,nini kinafuata!!!
Naunga mkono hojaMkuu, kwa kuuliza tu hili swali kwa sheria za hapa kwetu unaweza ukashataki wallah....tehteehh
UCHURO wako mtyaaaammm sana[emoji12] [emoji108] [emoji61]Katiba inasemaje kuhusu hili,wajuzi naomba kujua iwapo Rais atafariki kabla ya kumaliza muda,nini kinafuata!!!
sio shida cha muhimu ni.. atapendwa ZAIDI na GODI lini[emoji22] [emoji22]Makamu anachukua nchi!