BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 421
- 728
Utajuaje kuwa ww ni dumb person? Empty mind?Wakikuteka wakakukula kichwa kama kawaida yao mie simo..
Hiyo haiondoi ukweli kuwa Macron ni hamnazo!
Ni makosa kulaumu anayejilinda baada ya kuvamiwa na matapeli, wezi, wanyang'anyi, wauaji makatili...
View: https://x.com/sanderson17280/status/1774137548605993180?t=s7Qp7LsCkxnF0Cg5nKuU5g&s=09
Tweet ya mke wake itafaa zaidiHuwa una uwezo mdogo sana wa kufikiri,so ulitaka tweet ya macron mwenyewe,macron hutweet kila kauli yake!?
Una umri gani' aisee ..Katika taifa la kwanza kuunga mkono undwaji wake ni urusi Sasa ww cjui Hizo bla bla unatoa wapi.Kafuatilie vita vya Arabs na Israel ujue France na Russia walikuwa side gani? ndio utajua Marcon anamaana gani...
Anajua Hezbollah wanampango gani n.k Israel akiwa anatetea uhai wake hamna kima atasimama mbele aachwe na ujinga wake kisa kuogopa waislam wapumbavu wenye nie mbaya na iliyo wazi.. Ogopa watu wanaojifanya victims kwa matatizo waliyoyatengeneza wao.. France anaijua vizuri Hezbollah hata vita ile ya kuondosha PLO ya Arafat France ndie aliingilia PLO ikapona akapeleka jeshi kusimamia amani na akaacha Hezbollah wajijenge na kuhamishwa uhamishoni Africa.. Kwa kipi France anachokipendea kwa Israel zaidi ya unafiki tu
Hivyo vitabu vyote vimeandikwa na watu muachage upumbavu , Mungu kama angekuwa ana hitaji hayo yote why aandike kitabu nakumpatia mtu mmoja Tu ili awasambazie wengine !?Tupe mstari hata mmoja unaotaja neno Palestine ndani ya Qur'an tukufu. Mmoja tu; wala sio miwili.
Kwani makabila na utaifa huwa unaanzaje !? Sindio hivyo hivyo TuHakuna watu wanaitwa wapalestina , Palestina iliundwa na jamii 3 waislam ( Leo wanadai wao ndo wapalestina ) , wakristu na wayaudi
Jinga Hilo achana nalo 🤣🤣Kama wapalestina hawana haki ya kuwa na taifa kwa sababu hawakutajwa na mungu.
Nyinyi watz mme tajwa kwenye kifungu gani cha vitabu vya dini mpaka mkawa na taifa?
Mm ubinadamu ninaujua tangu kuzaliwa kwangu na ndio maana sijawahi huunga mkono maovu yanayo fanywa dhidi ya binadamu wenzangu.
Alafu maswali yangu hujanijibu vipi hiyo nchi ya ahadi ingekuwa ni TZ ww ungekubali kuwapatia akina Netanyau mali zako zote alafu ww uende kuishi kwenye kambi za wakimbizi?
Very unfortunately wapaletina wanakosa backup ya "mistari" kwenye hili. Wangekuwa nayo dunia ingekoma.Kama wapalestina hawana haki ya kuwa na taifa kwa sababu hawakutajwa na mungu.
Nyinyi watz mme tajwa kwenye kifungu gani cha vitabu vya dini mpaka mkawa na taifa?
Mm ubinadamu ninaujua tangu kuzaliwa kwangu na ndio maana sijawahi huunga mkono maovu yanayo fanywa dhidi ya binadamu wenzangu.
Alafu maswali yangu hujanijibu vipi hiyo nchi ya ahadi ingekuwa ni TZ ww ungekubali kuwapatia akina Netanyau mali zako zote alafu ww uende kuishi kwenye kambi za wakimbizi?
😂😂😂 mbona kama unabadilisha kiaina hoja inayojadiliwa hapa ? Macron hajataja bibilia Wala Quran kwenye tamko lake ajabu wachangiaji mnaingiza bibilia na Quran jamani nimetoka angalizo wazee wa miaka 3000 hapa siyo mahala pake.Tupe mstari hata mmoja unaotaja neno Palestine ndani ya Qur'an tukufu. Mmoja tu; wala sio miwili.
Yani hapa ni sawa na useme hakuna watu wanaoitwa watanzania ila Kuna wachaga, wagogo , wamasai n.kHakuna watu wanaitwa wapalestina , Palestina iliundwa na jamii 3 waislam ( Leo wanadai wao ndo wapalestina ) , wakristu na wayaudi
Nani kasema macron anapambana na Israel? Israel ana survive kwa support ya nchi za ulaya na Marekani kwa silaha na fedha. Macron amemweleza tu ukweli kuwa asijisahau nchi yake imetoka wapi. Na siyo kosa mtu kuambiwa ukweli naona mnajitahidi kukwepa point ya bwana macron.Rais Macron HANA UBAVU wa kupambana na Israel. Time will tell.
Netanyahu kiburi sana halafu anajisahaulisha kuwa kanchi kake fake kametoka wapi. UN kwa shinikizo la Marekani walitoa resolution ya kuundwa kwa taifa la Israel kwa kuigawa palestina kuwe na mataifa mawili. Chaa jabu kwa sasa Netanyahu hataki hata kusikia kitu kinaitwa taifa la palestina na Wanaendelea kuwaondoa wapalestina katika ardhi Yao kuwa weka walowezi wa kiyahudi. Hii siyo sawa hata kidogoMbona Macron anamuandama sana Netanyau,kuna nini kinasababisha mtifuano kati yao?
Huo mstari haupo! Lau ungekuwepo dunia ingepata tabu sana! Mola mlezi ni mjuvi kweli kweli.😂😂😂 mbona kama unabadilisha kiaina hoja inayojadiliwa hapa ? Macron hajataja bibilia Wala Quran kwenye tamko lake ajabu wachangiaji mnaingiza bibilia na Quran jamani nimetoka angalizo wazee wa miaka 3000 hapa siyo mahala pake.
🚮🗑🚮Utajuaje kuwa ww ni dumb person? Empty mind?
Ni pale unapo amini habari ya chanzo kisicho Cha uhakika na unaamini ni kweli kisha unataka watu wote' waamini et kisa tu imekuwa twitts ya online!
Acha kuingiza warabu wengine hapo Palestina. Hakuna mwarabu aliyemsaidia mpalestina kupambana na wavamizi wote wanafiki tu tangu kavamiwa palestina anapambana mwenyewe tu labda kidogo kwa sasa hao Hezbollah na Yemen wanaonesha nia ya kusaidia.Kafuatilie vita vya Arabs na Israel ujue France na Russia walikuwa side gani? ndio utajua Marcon anamaana gani...
Anajua Hezbollah wanampango gani n.k Israel akiwa anatetea uhai wake hamna kima atasimama mbele aachwe na ujinga wake kisa kuogopa waislam wapumbavu wenye nie mbaya na iliyo wazi.. Ogopa watu wanaojifanya victims kwa matatizo waliyoyatengeneza wao.. France anaijua vizuri Hezbollah hata vita ile ya kuondosha PLO ya Arafat France ndie aliingilia PLO ikapona akapeleka jeshi kusimamia amani na akaacha Hezbollah wajijenge na kuhamishwa uhamishoni Africa.. Kwa kipi France anachokipendea kwa Israel zaidi ya unafiki tu
Kumbe mnajua yote haya mpaka familia iliyounda hilo taifa fake na kwa uvamizi wa nguvu sasa ubishi mnaoleta Huwa ni wanini?Familia ya Trillionea Major Rothschild ndio imeunda Jewish State of Israel not France.. Rothschild ndie mfadhiri wa Mataifa makubwa yote ikiwepo France la sivyo yengeshakufa siku nyingi kasome historia... Marcon nadhani hana muda mrefu atakaa bench.
Familia ya Rothschild inasema ina haki ya kutawala Dunia kwani wana DNA ya kimiungu ya kale utake usitake
Challenges
Emmanuel Macron et Rothschild, l'éternelle machine à fantasmes - Challenges
Lete na majibu ya Netanyahu.Hiyo kutoka ufaransa nilijua watu kama nyie mtakuja. Kama una aap ya x ingia usome mwenyewe kwa kifaransa.View attachment 3125888
Tanzania imetajwa kwenye mstari gani mpaka sasa tupo hapa?Huo mstari haupo! Lau ungekuwepo dunia ingepata tabu sana! Mola mlezi ni mjuvi kweli kweli.
Good aambiwe ukweli kabisa whether mchungu maana jamaa anabwatuka bwatuka tu. Ukimwendekeza mtoto atakunyea.Naona Rais Emmanuel macron kaamua kumpa makavu live maana jamaa anabwatuka hovyo.
Nchi yenyewe imepatikana kwa kura za Umoja wa mataifa na kura ya veto ya Marekani Leo hii anawaletea kiburi UN na kupuuza kazi na maamuzi ya UN. Huyu jamaa ajiangalie sana.
Tafadhali naomba wale wazee wa miaka 3000 mtupishe kidogo hapa tunajadili facts siyo nadharia. Nadhani mnajijua wenyewe Sina haja ya kuwataja.
View attachment 3125858
Netanyahu anasema wamepigana vita na wapalestina wakashinda ndio wakapata uhuru. Sasa jiulize unawakuta watu katika nchi Yao unawapiga na kuwaondoa halafu unasema umepigania uhuru haiingii akilini hii.Lete na majibu ya Netanyahu.
Acha upumbavu hapa hatujadili mistari ya dini ,bali hapa tunajadiri sheria za kimataifa.Very unfortunately wapaletina wanakosa backup ya "mistari" kwenye hili. Wangekuwa nayo dunia ingekoma.