BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 421
- 728
Wakikuteka wakakukula kichwa kama kawaida yao mie simo..
Hiyo haiondoi ukweli kuwa Macron ni hamnazo!
Ni makosa kulaumu anayejilinda baada ya kuvamiwa na matapeli, wezi, wanyang'anyi, wauaji makatili...
View: https://x.com/sanderson17280/status/1774137548605993180?t=s7Qp7LsCkxnF0Cg5nKuU5g&s=09
Utajuaje kuwa ww ni dumb person? Empty mind?
Ni pale unapo amini habari ya chanzo kisicho Cha uhakika na unaamini ni kweli kisha unataka watu wote' waamini et kisa tu imekuwa twitts ya online!
