habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,749
Aione Motochini, stroke, mcubicMkuu ni kawaida sana kwa fisi kufuuzwa kutoka kwenye mzoga,lazima wanyama wengine kama mbwa mwitu wamtimie fisi kwa nguvu maana fisi ni mroho mkubwaView attachment 344718
Na wale waliovuliwa pichu kule dubai waligombea? au yule aliyemhujumu MTATIRO aligombea wapi?Kwani viti maalum unafikiri unaletewa nyumbani kama zawadi ya mabumunda?
Kweli kabisa mkuu, hiyo picha ndio kielelezo halisi cha ccmAione Motochini, stroke, mcubic
Labda akuwakilishe wewe na ukoo wakoYuko vizuri huyu mama. Atatuwakilisha vyema.
Mngeanza Nyie kwa mwenyekiti wenu na yule Mliyemkodi kutoka team BBado unaendeleza ujinga, na hapo ndo mwisho wako Wa kufikiri, wengine wapumzike sasa na vijana wapewe nafasi
Ushauri bobezi.hivi huyu huwa anatoa nini c.c.m,mpaka kuzawadiwa vyeo vya kuteuliwa?
Hivi hujui kuwa ninyi ndo mmevunja rekodi ya kuvua watu chupi ili muwape vyeo? Kweli hujui hilo? Najua hotonijibu lkn moyo wako unakushuhudia, utajitu na huyo demu wakoHafanani na wale wanaohongwa vyeo kwa kuvuliwa pichu.. Huyu ni Zaidi ya Chadema Wote kasoro mke wangu CATHERINE
Uteuzi umevuja? si alishateuliwa huyu? au ulikuwa na maana kupangiwa kituo ndio kumevuja?
Alichotoa Lowassa, Sumaye na Kingunge ! ......maana na wao pia wamepitia teuzi mbali mbali za kuzawadiwa !hivi huyu huwa anatoa nini c.c.m,mpaka kuzawadiwa vyeo vya kuteuliwa?
Dunia inwajua kuwa nyinyi ni wakata mauno wa lumumba na mwandigaWewe ndio unaweweseka
Maana umesha kuwa na mashaka
Kama mlizungusha mikono
Mkaambulia Patupu
Je viuno 2020 Mtaambulia kulowa
Hata mimi nashangaa, Watu mnawaachia hadi wake zenu kisa wapewe ubungeHata kwenye kundi la mashoga kuna anaye jiita dume!
Na wale waliovuliwa pichu kule dubai waligombea? au yule aliyemhujumu MTATIRO aligombea wapi?
Wazigua hawako hivi nakushangaa sana weye, hakika unapotea hiv hiviMngeanza Nyie kwa mwenyekiti wenu na yule Mliyemkodi kutoka team B
Kwani sasa hivi ni nani alafu yupi katiyao ametangulia kupewa madaraka?ROSE KAMILI aliwahi kugombea wapi akashinda?
Dr Dau amepangiwa wapi ? Maana waliteuliwa pamoja .
Sisi hatuna desturi wala Tabia Hiyo.. Ndio maana kuna vijana wengi hapa jukwaani wanazuga wapo CDM lakini kutwa tunapigana vikumbo pale LUMUMBAHivi hujui kuwa ninyi ndo mmevunja rekodi ya kuvua watu chupi ili muwape vyeo? Kweli hujui hilo? Najua hotonijibu lkn moyo wako unakushuhudia, utajitu na huyo demu wako
Shirikisha ubongo kabla yakutanua mdomoHafanani na wale wanaohongwa vyeo kwa kuvuliwa pichu.. Huyu ni Zaidi ya Chadema Wote kasoro mke wangu CATHERINE
Alafu amesahau kuwa CCM bila kukata mauno vizuri hata ujumbe Wa Nyumba kumi utausikia redionHata kwenye kundi la mashoga kuna anaye jiita dume!
Kwa ubongo wako mdogo hapo umeandika kitu gani?Mngeanza Nyie kwa mwenyekiti wenu na yule Mliyemkodi kutoka team B