Utanyooka tu!Hujui kuandika [emoji107] na ndiyo maana unasifu na kuabudu !!
Kila awamu imefanya yake. Naye afanye yake asingoje shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utanyooka tu!Hujui kuandika [emoji107] na ndiyo maana unasifu na kuabudu !!
Kila awamu imefanya yake. Naye afanye yake asingoje shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ulivyo mpuuzi wewe!!uzi wa kipuuzi tu
Utaiona vipi kama uko JF muda wote!! Tembelea TZHiyo miradi iko wapi?au macho unayo peke yako ,nchi ameipatia wapi kuongeza umaskini na ufukara, kashindwa kuajiri , kupandisha mshahara ,kuteka ,kuua ,kufunga kwenye viroba ,kaharibu uchumi , mzunguko wa pesa ,kuvunja sheria na katiba ,kuteua watu wa hovyohovyo , kaharibu mahusiano ya kimataifa , kaharibu uhusiano na wawekezaji ,kesi 13 London , Siasa za chuki , visasi ,ubabe ,ukiukaji wa demokrasia na utawala bora ,wizi wa tilioni 2.4 , kivuki kibovu ,bombafdia za kuvutwa na kamba .
Mbona wewe mama yako kazeeka mpaka sasa hajawai kupigwa wala ata kulala kituoni.siku apigwe risasi mama ako akiwa njiani na polic ndio utafrahia hiyo miradi zaidi..
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu kubali tu kuwa umeandika upuuzi unastahili kupuuzwa mzee babaKama ulivyo mpuuzi wewe!!
Hakujawahi tokea serikali yenye kujali manendeleo kama hii ya tano tukiachana na baba wa taifa
Rais wa sasa kaiwezea tanzania kila unapo safiri ndani ya tanzania lazima kuna mradi mkubwa wa maendeleo una tekelezwa
Na hiki ndicho watanzania tunataka sio kukaa kwenye mitandao huku umejifungia chumban unalalamika lalamika .
Tembea uone namna nchi inavyo shambuliwa na maendeleo pamoja na ujenzi wa miundo mbinu mbali mbali.
Nipo njiani naelekea kaskazini (Tanga) na nmetoka kùpita Daraja la Wami sasa hivi, hivi hukū kuna mradi gan unaoendelea?Hakujawahi tokea serikali yenye kujali manendeleo kama hii ya tano tukiachana na baba wa taifa
Rais wa sasa kaiwezea tanzania kila unapo safiri ndani ya tanzania lazima kuna mradi mkubwa wa maendeleo una tekelezwa
Na hiki ndicho watanzania tunataka sio kukaa kwenye mitandao huku umejifungia chumban unalalamika lalamika .
Tembea uone namna nchi inavyo shambuliwa na maendeleo pamoja na ujenzi wa miundo mbinu mbali mbali.
Nitajie miradi inayoendelea kule MtwaraPande zote za nchi kuna miradi mikubwa ya ujenzi inafanyika, hasa ujenzi mkubwa wa barabara ni watu wachache wanajua hilo, pesa ya serikali inafanya kazi , watu wana safiri wanajua hiki kinachosemwa
Hao wanaosema wapo kundi gani?Je kama wanaosema amewatuma? Ni vyema kuweka akiba ya maneno
We unaonaje?Kwani na yeye kaamini hili na anataka kulifanyia kazi??