Kwenye haki bin haki hawezi kupata. Maana hakuna ambaye hajaumizwa na Magufuli. Nambie nani aqtampa kura ukiacha wachache wanaofaidi upendeleo wakeUmezidisha chumvi...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye haki bin haki hawezi kupata. Maana hakuna ambaye hajaumizwa na Magufuli. Nambie nani aqtampa kura ukiacha wachache wanaofaidi upendeleo wakeUmezidisha chumvi...!
Inaweza ikawa kweli.Kwenye haki bin haki hawezi kupata. Maana hakuna ambaye hajaumizwa na Magufuli. Nambie nani aqtampa kura ukiacha wachache wanaofaidi upendeleo wake
Mkuu naamini umelala usingizi mzito.MH.Rais endapo hutatoka hadharani ukalizungumzia hili basi sisi wananchi tutaamini aidha uko nyuma ya mpango huu na kama hauko nyuma ya hili na hujawatuma Hawa watu basi tutaamini unapenda hili lifanyike.
Thubutu, kwa akili za kilevi tu huyo hang'oki.Jinsi alivyoharibu Nchi aondoke tu.
Kishasema Mara nyingi tu.
Alishasema mengi na akaenda kinyume.Kishasema Mara nyingi tu.
Magufuli hawezi kutoka madarakani kamweKama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, ninamwomba Mh. Rais Magufuli atoke hadharani na atoe kauli kuhusu hili suala la watu wachache wenye maslahi binafsi kutaka kucheza na katiba yetu. Wakitaka aidha kuondoa ukomo wa muda wa uraisi au wakitaka kumwongezea muda wa kusalia madarakani.
Ikiwa MH Rais hayuko nyuma ya hili Jambo la kiwendawazimu na ikiwa anaiheshimu katiba aliyoapa kuilinda basi kwa heshima namwomba atoke hadharani rasmi na awakemee wote wanaosuka mpango huu. Tena wakijinadi kwamba watamlazimisha Mh.Rais.
My.Rais ukiiheshimu katiba na kipindi cha miaka yako kumi kikiisha ukaondoka,basi utaondoka kwa heshima iliyotukuka.
MH.Rais endapo hutatoka hadharani ukalizungumzia hili basi sisi wananchi tutaamini aidha uko nyuma ya mpango huu na kama hauko nyuma ya hili na hujawatuma Hawa watu basi tutaamini unapenda hili lifanyike.
Nb: Jambo ambalo nilikuwa silijui Ni kwamba kuna watu,mtu au kikundi cha watu kwa Nia zao nzuri au ovu wana uwezo wa kumlazimisha Rais atekekeze matakwa fulani tena apende au asipende. Na mpaka sasa hivi sijui hili limekaaje kikatiba au kisheria.
Nini mtazamo wako.
Inawezekana kabisa sijalala au nmelala lkn inawezekana pia wewe pia unaspeculate tu.Mkuu naamini umelala usingizi mzito.
Hili lipo calculated na wafia madaraka!
Huo ni upande mmoja.Inawezekana Kuna kikundi cha watu wachache kwa maslahi yao wanataka hili lifanyike.Wametumwa hao