Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
Wote waende kutoa vitambi, unajua mamlaka ya rais? Wakileta za kuleta wanaondoa vyeo vyote..Ni kauli ya kujitafutia umaarufu tu.
..kuna mpaka MAJENERALI wenye vitambi na amewateua juzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote waende kutoa vitambi, unajua mamlaka ya rais? Wakileta za kuleta wanaondoa vyeo vyote..Ni kauli ya kujitafutia umaarufu tu.
..kuna mpaka MAJENERALI wenye vitambi na amewateua juzi.
ahahhahaha wanajisahau sanaSafiii mamaaa warudi haraka sana kutoa hizo tumbo
Nliwaambia siku nyingi huwezi kuwa Askari halafu unakitambi never ever
Wakanitukana sanaaaa
Sasa nashukuru na mama ameliona hilo safiii mamaaa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wote waende kutoa vitambi, unajua mamlaka ya rais? Wakileta za kuleta wanaondoa vyeo vyote
Kuna vitengo ukipangwa usipopata kitambi wewe umelogwa.Hakika hii kitu ni nzuri mno. Hivi wewe askali unapata wapi jeuri ya kuota kitambi???
Another blunder from inept leader. Hii nchi wanasiasa wanadhani wana uhalali wa kuamrisha kila kitu.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza
katika hafla ya kufunga mafunzo ya awali ya askari 818 wa Jeshi la Uhamiaji, Boma Kichakamiba mkoani Tanga amewataka askari wa uhamiaji ambao wana vitambi warudi chuoni kuviondoa ili kuwa wakakamavu na wepesi zaidi katika kutimiza kazi zao
"Nilikuwa naangalia gwaride, waliokuwa wakiongoza vikosi ni maafisa wazoefu, kati yao kuna wenye vitambi, nimeviona vitambi hapa. Nadhani hatutakiwi kuwa na maafisa wa vitambi, warudi tena hapa (Chuoni) waje watoe vitambi ili wawe wepesi zaidi kutimiza kazi zao." Ameeleza Rais Samia
Kwa uzoefu wako, ukiacha askari wa Uhamiaji waliosemwa na Rais Samia, ni Askari wa kikosi gani wanaongoza kwa vitambi hapa nchini?
Picha: Kwa hisani ya mtandao (Haihisuani na Habari)
View attachment 2324500
Kwani hiyo picha ni ya nesi? Si ni ya walengwa waliotajwa?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza
katika hafla ya kufunga mafunzo ya awali ya askari 818 wa Jeshi la Uhamiaji, Boma Kichakamiba mkoani Tanga amewataka askari wa uhamiaji ambao wana vitambi warudi chuoni kuviondoa ili kuwa wakakamavu na wepesi zaidi katika kutimiza kazi zao
"Nilikuwa naangalia gwaride, waliokuwa wakiongoza vikosi ni maafisa wazoefu, kati yao kuna wenye vitambi, nimeviona vitambi hapa. Nadhani hatutakiwi kuwa na maafisa wa vitambi, warudi tena hapa (Chuoni) waje watoe vitambi ili wawe wepesi zaidi kutimiza kazi zao." Ameeleza Rais Samia
Kwa uzoefu wako, ukiacha askari wa Uhamiaji waliosemwa na Rais Samia, ni Askari wa kikosi gani wanaongoza kwa vitambi hapa nchini?
Picha: Kwa hisani ya mtandao (Haihisuani na Habari)
View attachment 2324500
Nani kakuambia kitambi ni pesa.Nenda jela ukaone wafungwa wenye vitambi.Hakika hii kitu ni nzuri mno. Hivi wewe askali unapata wapi jeuri ya kuota kitambi???
Tz wazee wa vitambi
Wote waende kutoa vitambi, unajua mamlaka ya rais? Wakileta za kuleta wanaondoa vyeo vyote
Kho kho kho😅😅Ila kuna chimbuko la traffic wakaka wazuri sana.
nimefurahi kukuona tena madam..I hope honeymoon imeisha salamaHawa ndambi wangepumzishwa kwanza au wakapangiwa majukumu kwenye mwendokasi.
Kitambi ni maradhi na sio wote ni wagonjwaKuna vitengo ukipangwa usipopata kitambi wewe umelogwa.
Nani kakuambia kitambi ni pesa.Nenda jela ukaone wafungwa wenye vitambi.
Wengine ni stress free awazipi shida kipaumbele