Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,221
- 6,940
Jamaa ametuaibisha hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ametuaibisha hapo.
Tena kawadhalilisha sana. Nina jamaa yangu ana maisha magumu kuliko yangu ila ana bonge LA kitambi. Wengine wana unene wa asili hasa WANYAKYUSA. ASEME TU ANA BIFU NA WANYAKYUSA!Hapo ndiyo umuhimu wa Sheria Je,ni sheria gani inayokataza mtu Kuwa na kitambi?
Hata ikitungwa Leo bado haitawahusu Wale ambao walikuwa na vitambi kabla ya kutungwa Kwa sheria.
Kwa upande mwingine inanifurahisha kwasababu Mimi sina Kitambi lakini Nina Shaka kama Hapo Haki za Binadamu zimezingatiwa hasa katika eneo Ubaguzi au ndiyo maana wote wanaungana ili kuwe na katiba Bora?
Watajitetea kwamba wana vitambi vya ukoo kama mvi tu.Hawakosi utetezi.😂😂😂😂Kauli hii kabambe imetolewa na Mh Rais Samia Suluhu Hassan huko Tanga , wakati akifunga mafunzo ya awali ya askari wa Uhamiaji kwenye Chuo cha Boma Kichaka Miba Mkoani humo .
Mh Rais amesema kwamba ili kurejesha Ukakamavu kwa Askari wa Uhamiaji inapaswa wote wenye vitambi kurejeshwa kuhenya ili kupukutisha Vitambi na kurejesha Ukakamavu .
Chanzo : SwahilTimes
Toa Maoni yako
Jeshini unaenda kwa amri.Ukiambiwa ..."koplo konda ndani ya dakika tano"...!Unatakiwa uwe umekonda.Ni amri muraa!😂😂😂😂😂Hapo ndiyo umuhimu wa Sheria Je,ni sheria gani inayokataza mtu Kuwa na kitambi?
Hata ikitungwa Leo bado haitawahusu Wale ambao walikuwa na vitambi kabla ya kutungwa Kwa sheria.
Kwa upande mwingine inanifurahisha kwasababu Mimi sina Kitambi lakini Nina Shaka kama Hapo Haki za Binadamu zimezingatiwa hasa katika eneo Ubaguzi au ndiyo maana wote wanaungana ili kuwe na katiba Bora?
Pole katoe hicho kitambiAnother blunder from inept leader. Hii nchi wanasiasa wanadhani wana uhalali wa kuamrisha kila kitu.
Mi siyo askari na wala sina kitambi. Hoja yangu ni kutaka nchi iongozwe na viongozi wenye maono na siyo watoa matamko yasiyoleta ufanisi wowote. Siku zote tunapiga kelele kuwa jeshi la polisi linatakiwa kufumulia ili wabakie polisi wenye sifa na weledi hawa viongozi inawashinda nini kuelewa? Kwa akili zako unaona kabisa rais wa nchi ku-attack vitambi vya polisi badala ya ku deal na issue kubwa kubwa ni akili?Pole katoe hicho kitambi
Kauli ishatoka sasa huna namna
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kuna watu hata kama wana hali mbaya wanakuwa na vitambi. Na isitoshe askari mwenye miaka eg 40 mpaka 50 kuwa na kitambi siyo lazima kumaanishe hafanyi mazoezi. Kama umewahi kuwa majuu utajua namaanisha nini.Huu Uzi umenikumbusha mbali Sana ase..
Mzee wangu alinichekesha sn siku moja tumesimama mataa tunasubiri kuruhusiwa tukamwona traffic anaongoza magari Ila ana bonge la kitambi😅😅..Mzee akasema mwone Yule dhambi za watu zimemwelemea kwenye tumboHadi anashindwa kuhema manina😅😅
akaendelea Kusema kijana wangu ukimwona mtu ana kitambi ujue huo ni mzigo wa dhambi za watu MUNGU anamuadhibu.. kitambi kibaya sana mwanangu😅😅
Kuanzia siku hiyo nilikuwa nikimwona Askari mwenye kitambi huwa nakumbuka hii kauli na kucheka Sana pekeyangu
Aisee. Kwa hiyo na wewe uliamini na bado unaamini kabisa hiyo kauli ya baba yako kwamba ukimwona mtu ana kitambi ujue huo ni mzigo wa dhambi za watu na mwenye nacho anakuwa kaadhibiwa na Mungu?Huu Uzi umenikumbusha mbali Sana ase..
Mzee wangu alinichekesha sn siku moja tumesimama mataa tunasubiri kuruhusiwa tukamwona traffic anaongoza magari Ila ana bonge la kitambi😅😅..Mzee akasema mwone Yule dhambi za watu zimemwelemea kwenye tumboHadi anashindwa kuhema manina😅😅
akaendelea Kusema kijana wangu ukimwona mtu ana kitambi ujue huo ni mzigo wa dhambi za watu MUNGU anamuadhibu.. kitambi kibaya sana mwanangu😅😅
Kuanzia siku hiyo nilikuwa nikimwona Askari mwenye kitambi huwa nakumbuka hii kauli na kucheka Sana pekeyangu
..kitambi kinatokana na LISHE na UMRI.
Lishe ni hobbies na sio utajiri
Mungu ibariki Tanzania
Lishe ni hobbies na sio dalili ya u