Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Aanzie huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aanzie huku
Hao wasio na vitambi watuombe Vita vya kirafiki
Mzee ni mtu mwenye utani mwingi wenye ukweli ndani yakeAisee. Kwa hiyo na wewe uliamini na bado unaamini kabisa hiyo kauli ya baba yako kwamba ukimwona mtu ana kitambi ujue huo ni mzigo wa dhambi za watu na mwenye nacho anakuwa kaadhibiwa na Mungu?
Walikuwa wakishindishwa na njaa na kulishwa Propaganda.Ni majeshi yote,nyerere hakuruhusu hii
View attachment 2324545
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza katika hafla ya kufunga mafunzo ya awali ya askari 818 wa Jeshi la Uhamiaji, Boma Kichakamiba mkoani Tanga amewataka askari wa uhamiaji ambao wana vitambi warudi chuoni kuviondoa ili kuwa wakakamavu na wepesi zaidi katika kutimiza kazi zao.
"Nilikuwa naangalia gwaride, waliokuwa wakiongoza vikosi ni maafisa wazoefu, kati yao kuna wenye vitambi, nimeviona vitambi hapa. Nadhani hatutakiwi kuwa na maafisa wa vitambi, warudi tena hapa (Chuoni) waje watoe vitambi ili wawe wepesi zaidi kutimiza kazi zao." Ameeleza Rais Samia
Kwa uzoefu wako, ukiacha askari wa Uhamiaji waliosemwa na Rais Samia, ni Askari wa kikosi gani wanaongoza kwa vitambi hapa nchini?
Picha: Kwa hisani ya mtandao (Haihisuani na Habari)
View attachment 2324500
Yuko mmoja mwanamke Boma Ng'ombe Hai yaani nikimuona barabarani huwa namshangaa alivyo bongeKuna traffic ana kitambi Hadi anashindwa kugeuka..
Mazaa ajielewi asimamie nn baada ya kutoa matamko ya maana anatoa matamko ambayo sio logic kabisa. Yeye mbona anakitambi...Ni kauli ya kujitafutia umaarufu tu.
..kuna mpaka MAJENERALI wenye vitambi na amewateua juzi.
Wewe humtakii mema!Aanzie huku
Atawaona umuhimu wao 2025Wote waende kutoa vitambi, unajua mamlaka ya rais? Wakileta za kuleta wanaondoa vyeo vyote
Weee mama yangu ni ingilishi figa. Ana moral authority kusemaKuna watu huwa hawajiangalii kwenye Kioo sijui, kazi kusema wengine tu, …
Hahahaha 😂😂 wapo kila sehemu hawa jamaa,kitu cha kushangaza ni POLISI wote wanaolinda bank ni vimbaumbau Sana tofauti na trafficYuko mmoja mwanamke Boma Ng'ombe Hai yaani nikimuona barabarani huwa namshangaa alivyo bonge
Achana na hizi fikra. Tumwombe tu Mungu azidi kutupa amani na majirani zetu.Hao wasio na vitambi watuombe Vita vya kirafiki
Hahahahahahahajahahahahahahahahaha.....Ni kuziba mianya ya rushwa, hela za bure zikikata, watapungua uzito tu!
Duh!