Rais Samia aagiza askari wenye vitambi kurejeshwa mafunzoni

Rais Samia aagiza askari wenye vitambi kurejeshwa mafunzoni

Putin
Obama
Kagame
Macron
Erdogan
Asady
Xi giping
etc.
Hawana vitambi
Wewe fukara unatambi
Kumbe unakula Kama unahama dunian

Bia
Nyama choma
Kitimoto
Mataputapu
Supu asbhu na chapati nane hadi kumi

Achen ulafi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Pot toa kitambi hicho
Amesha sema kauli ya rais ni Sheria mzee hujui??

Tena mtakitoa na viboko juuu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kashindwa kuwatoa walamba asali ndio ataweza kututoa sisi maafande?

Mfyuuu fyuu kapotea mama na tutampoteza kwa hii inshu maana katudhatirisha kwa familia zetu.
 
Mi siyo askari na wala sina kitambi. Hoja yangu ni kutaka nchi iongozwe na viongozi wenye maono na siyo watoa matamko yasiyoleta ufanisi wowote. Siku zote tunapiga kelele kuwa jeshi la polisi linatakiwa kufumulia ili wabakie polisi wenye sifa na weledi hawa viongozi inawashinda nini kuelewa? Kwa akili zako unaona kabisa rais wa nchi ku-attack vitambi vya polisi badala ya ku deal na issue kubwa kubwa ni akili?
Mzee kuwa askari ni alama ya ushupavu na ukakamavu sasa askari unakuwaje na kitambi...kitambi ni ishara ya uvivu..hili linapaswa kuangaliwa kwa ukaribu sina shaka kwa asiyekuwa askari
 
..kuna KOMANDO ana bonge la KITAMBI nilimuona akifanya show mbele ya Raisi na Amiri Jeshi Mkuu.
Ila lilikuwa jepesi balaa hadi nikashangaa...
kwa umbea naskia wanapewaga lita 5 na mayai trei moja kila baada muda fulani oda ya serikali
 
Achana na hizi fikra. Tumwombe tu Mungu azidi kutupa amani na majirani zetu.

Kwa watu kama wewe, utani wa Simba na Yanga unauweka katika kila jambo.

Huu si wakati wa kujivunia lolote, hata kama tulijitambua na kujiamini huko tulikotoka.

Kumbuka, hayo unayojibaraguza nayo, hayawahusu hao unaoamini wanao uwezo peke yao. Uwezo wao unatokana na hali yetu sote kama nchi, na siyo wao peke yao.

Kwa hali ilivyo sasa hivi, mambo hayo ni kuyanyamazia tu na kubaki tukiomba kuwa hali yetu mbovu itabadilika kabla hatujalazimika kuwekwa majaribuni na hao majirani.
Hali yetu mbovu umeiona wapi wewe!?..wewe ni military analyst!?..ni military trainer!?..au ulishawahi shika wadhifa wa amiri jeshi mkuu ukajua tuna Hali mbaya!!!...unajilizaliza Kama choko humu!
 
Hali yetu mbovu umeiona wapi wewe!?..wewe ni military analyst!?..ni military trainer!?..au ulishawahi shika wadhifa wa amiri jeshi mkuu ukajua tuna Hali mbaya!!!...unajilizaliza Kama choko humu!
Unaendeleza yaleyale tuliyokwishajibizana huko siku chache zilizopita, huku ukiwa hujui chochote, na wala husomi ukaelewa ninachoeleza.
Haya siyo maswala ya Yanga na Simba, acha kuweka ushabiki katika mambo muhimu kwa taifa kama haya.
 
Unaendeleza yaleyale tuliyokwishajibizana huko siku chache zilizopita, huku ukiwa hujui chochote, na wala husomi ukaelewa ninachoeleza.
Haya siyo maswala ya Yanga na Simba, acha kuweka ushabiki katika mambo muhimu kwa taifa kama haya.
Then wewe huoni Kama unang'ang'ana na yaleyale ya siku za nyuma!!!..nimekuuliza wewe ni military analyst,trainer?..Kama siyo umejuaje kwamba jeshi limekua dhaifu/Hali mbaya?..limepigana wapi ukajua?
 
Wanawekaje askari wenye vitambi kwenye gwaride kupita mbele ya Rais? Kwani askari vijana wasio na vitambi hakuna?
 
Namimi nataka pukutisha hiki kitambi changu ila sio polisi...
 
Back
Top Bottom