Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wewe na machuki yako, bila Shaka huwajuwi waliozidi uzito au hujuwi umeandika niniAcha ujinga wewe, Mheshimiwa Rais ni obese
Ninachokuambia kuwa ni fact kuwa Mheshimiwa ni obeseLabda wewe na machuki yako, bila Shaka huwajuwi waliozidi uzito au hujuwi umeandika nini
Toa kitambi hicho achana na wanawake wewe utopoloVipi Askari wa kike walioongezeka makalio?
Kashindwa kuwatoa walamba asali ndio ataweza kututoa sisi maafande?Pot toa kitambi hicho
Amesha sema kauli ya rais ni Sheria mzee hujui??
Tena mtakitoa na viboko juuu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Siku ukijua nani ni amir jeshi mkuu wa majeshi yote nchini uje ubadilishe hii sentence yakoAnother blunder from inept leader. Hii nchi wanasiasa wanadhani wana uhalali wa kuamrisha kila kitu.
Nyie matahira kila jema mnapinga..Ni kauli ya kujitafutia umaarufu tu.
..kuna mpaka MAJENERALI wenye vitambi na amewateua juzi.
Mzee kuwa askari ni alama ya ushupavu na ukakamavu sasa askari unakuwaje na kitambi...kitambi ni ishara ya uvivu..hili linapaswa kuangaliwa kwa ukaribu sina shaka kwa asiyekuwa askariMi siyo askari na wala sina kitambi. Hoja yangu ni kutaka nchi iongozwe na viongozi wenye maono na siyo watoa matamko yasiyoleta ufanisi wowote. Siku zote tunapiga kelele kuwa jeshi la polisi linatakiwa kufumulia ili wabakie polisi wenye sifa na weledi hawa viongozi inawashinda nini kuelewa? Kwa akili zako unaona kabisa rais wa nchi ku-attack vitambi vya polisi badala ya ku deal na issue kubwa kubwa ni akili?
Nyie matahira kila jema mnapinga
Ila lilikuwa jepesi balaa hadi nikashangaa.....kuna KOMANDO ana bonge la KITAMBI nilimuona akifanya show mbele ya Raisi na Amiri Jeshi Mkuu.
Hali yetu mbovu umeiona wapi wewe!?..wewe ni military analyst!?..ni military trainer!?..au ulishawahi shika wadhifa wa amiri jeshi mkuu ukajua tuna Hali mbaya!!!...unajilizaliza Kama choko humu!Achana na hizi fikra. Tumwombe tu Mungu azidi kutupa amani na majirani zetu.
Kwa watu kama wewe, utani wa Simba na Yanga unauweka katika kila jambo.
Huu si wakati wa kujivunia lolote, hata kama tulijitambua na kujiamini huko tulikotoka.
Kumbuka, hayo unayojibaraguza nayo, hayawahusu hao unaoamini wanao uwezo peke yao. Uwezo wao unatokana na hali yetu sote kama nchi, na siyo wao peke yao.
Kwa hali ilivyo sasa hivi, mambo hayo ni kuyanyamazia tu na kubaki tukiomba kuwa hali yetu mbovu itabadilika kabla hatujalazimika kuwekwa majaribuni na hao majirani.
Kwa hiyo unatakakusema isiwe uhamiaji tu
Unaendeleza yaleyale tuliyokwishajibizana huko siku chache zilizopita, huku ukiwa hujui chochote, na wala husomi ukaelewa ninachoeleza.Hali yetu mbovu umeiona wapi wewe!?..wewe ni military analyst!?..ni military trainer!?..au ulishawahi shika wadhifa wa amiri jeshi mkuu ukajua tuna Hali mbaya!!!...unajilizaliza Kama choko humu!
Then wewe huoni Kama unang'ang'ana na yaleyale ya siku za nyuma!!!..nimekuuliza wewe ni military analyst,trainer?..Kama siyo umejuaje kwamba jeshi limekua dhaifu/Hali mbaya?..limepigana wapi ukajua?Unaendeleza yaleyale tuliyokwishajibizana huko siku chache zilizopita, huku ukiwa hujui chochote, na wala husomi ukaelewa ninachoeleza.
Haya siyo maswala ya Yanga na Simba, acha kuweka ushabiki katika mambo muhimu kwa taifa kama haya.