Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unakitambi nenda Katoe huko siyo kulalama hapa, hutaki acha kazi waingie vijana wengine wazalendo ili wewe ukalee kitambi chako nyumbaniAnother blunder from inept leader. Hii nchi wanasiasa wanadhani wana uhalali wa kuamrisha kila kitu.
Embu acha uongo wako hapa, humuoni namna mh Rais wetu alivyo shapu na mwepesi, wewe unafikiri angekuwa na huo uzito uusemao hapa angeweza kufanya kazi ya Royal Tour na ikakamilika kwa ufanisi mkubwa ule, Kama unakitambi wewe nendaa kakitoee huko, hutaki acha kazi waingie vijana wazalendo na wachapa kaziMama Samia mwenyewe ni oveweight inabidi apunguze mwili...
Acha ujinga weweUnajua mwili wa binadamu haswa mtu mzima, tena wa bara hili la Afrika...tumezoea kuridhika..vitambi, huja tu na sio hao askari hata mtaani?? Hata wanawake wana matumbo ya uzazi yanawashinda kuyatoa..kwani yeye hana tumbo, alitoe kwanza lake..
Mimi sio askari, ila tuishi kwa mipaka kidogo.
Mazaa ajielewi asimamie nn baada ya kutoa matamko ya maana anatoa matamko ambayo sio logic kabisa. Yeye mbona anakitambi.
Wewe nenda ukatoe kitambi hayo utakwenda kuelezwa huko kuwa huo urithi wa kitambi uliupata ulipoajiliwaShida ni kipimio cha vitambi. Kuna watu wanavitambi vya urithi hata apigwe kwata vipi hakitoki.Kuna vitambi vya umri n.k
Yule anakula Sana kitimoto pale zafanana na biaYuko mmoja mwanamke Boma Ng'ombe Hai yaani nikimuona barabarani huwa namshangaa alivyo bonge
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza katika hafla ya kufunga mafunzo ya awali ya askari 818 wa Jeshi la Uhamiaji, Boma Kichakamiba mkoani Tanga amewataka askari wa uhamiaji ambao wana vitambi warudi chuoni kuviondoa ili kuwa wakakamavu na wepesi zaidi katika kutimiza kazi zao.
"Nilikuwa naangalia gwaride, waliokuwa wakiongoza vikosi ni maafisa wazoefu, kati yao kuna wenye vitambi, nimeviona vitambi hapa. Nadhani hatutakiwi kuwa na maafisa wa vitambi, warudi tena hapa (Chuoni) waje watoe vitambi ili wawe wepesi zaidi kutimiza kazi zao." Ameeleza Rais Samia
Kwa uzoefu wako, ukiacha askari wa Uhamiaji waliosemwa na Rais Samia, ni Askari wa kikosi gani wanaongoza kwa vitambi hapa nchini?
Picha: Kwa hisani ya mtandao (Haihisuani na Habari)
View attachment 2324500
Kwan amezaliwa nacho??Shida ni kipimio cha vitambi. Kuna watu wanavitambi vya urithi hata apigwe kwata vipi hakitoki.Kuna vitambi vya umri n.k
Mzilankende Pia Aliwahi Kuwaambia TANAPAHakika hii kitu ni nzuri mno. Hivi wewe askali unapata wapi jeuri ya kuota kitambi???
Nafikiri unanizungumzia mimi na kufanya jambo hilo si tabia nzuri!..kuna KOMANDO ana bonge la KITAMBI nilimuona akifanya show mbele ya Raisi na Amiri Jeshi Mkuu.
Ungeniona nilivyo kimbau mbau[emoji1][emoji1]Wewe nenda ukatoe kitambi hayo utakwenda kuelezwa huko kuwa huo urithi wa kitambi uliupata ulipoajiliwa
Pot toa kitambi hichoSijaamini kama kapitisha hili agizo maana hakuna uthibitisho kutoka ofisini, hii ni moja tu ya ngonjera za viongozi wanafiki.
Kwanza hata yeye ana kitambi kwa nini asiwe mfano kwa hao aanze yeye kupunguza hicho kitambi?
Aache kuimba taarabu.
Ungeniona nilivyo kimbau mbau[emoji1][emoji1]
Acha ujinga wewe, Mheshimiwa Rais ni obeseEmbu acha uongo wako hapa, humuoni namna mh Rais wetu alivyo shapu na mwepesi, wewe unafikiri angekuwa na huo uzito uusemao hapa angeweza kufanya kazi ya Royal Tour na ikakamilika kwa ufanisi mkubwa ule, Kama unakitambi wewe nendaa kakitoee huko, hutaki acha kazi waingie vijana wazalendo na wachapa kazi