Pre GE2025 Rais Samia Aagiza urejeshwaji wa huduma za kijamii Ngorongoro

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kibiriti cha mmasai kimejaa mlijaribu kukitingisha bilali wahed mafisiem,aisee hii nchi tukinyooka kama wamasai kumbe katiba mpya ni chap
 
Hatuna rais, tuna muimba taarab za mipasho tu
 
Mnaona aibu baada ya kushushuliwa na huyo mama yenu anayetukana watu mbwa.
 
kuna chokochoko wanazipandikiza
Bora ukae kimya tu bro kuliko kujidhalilisha kwa comments kama hizi. Hata kama wewe ni CCM viongozi wako ni binadamu wakikosea waseme au kaa kimya kuliko kusapoti ujinga ila kama wewe ni chawa sikulaumu.
 
Yaani Lukuvi anaakili zaidi ya Waziri........... Aliyeondoa hizo huduma
 
Yaani Lukuvi anaakili zaidi ya Waziri........... Aliyeondoa hizo huduma
 
Ahadi nyingi kutoka serikali ya chama dola kongwe, lakini katika utekeleza, angali serikali ilichoahidi mwezi March 2022 miaka miwili iliyopita lakini 2024 tayari imesahau na kutumia ubabe wa kivita ..


View: https://m.youtube.com/watch?v=b1G_8dVC5c4
TOKA MAKTABA:
Mtetezi wa wananchi asiyeyumba chama cha CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…