Unawataka Scotland Yard au M12 au FBI? Nchi yetu imeharibika na mamlaka naona wanachekelea hawa wauaji waliopo kwenye mfumoBinafsi sitaki serikali ya Tanzania ichunguze kifo hiki na Nachukua Nafasi hii kuwakataza kabisa Viongozi wa Chadema kukubaliana na hili
Hivi marehemu angekuwa na jina la Petro tungemsikia mheshimiwa?
Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki.
Nimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.
Pia Soma:
- Mbowe: Ripoti ya Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao ikiwa tofauti na tulichoona tutaipinga
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ally Kibao
- Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Mzee Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali
Haina shida jua huchwea magharibi ,mda mwalimUtavuja afu ukikojoa kwisha habari Yako 😆😆
MsogaHaiwezi kuwa inatoka kwa rais,kuna wahuni wapo kazini kuchafua utawala
HongereeniBado hamjasema Hadi mseme ,mtatoana sana kafara mwaka huu
Unatombw@ na fisiMi huwa nakuona msenge tu lkn huenda ndo think tank la Chama chenu kwenye huu ujinga.
Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki.
Nimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.
Pia Soma:
- Mbowe: Ripoti ya Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao ikiwa tofauti na tulichoona tutaipinga
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ally Kibao
- Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Mzee Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali
Wanatuchezeaaa akili......mtu anatekwa mjini watu wanaona na magari police yanahusika leo mnasema hamuwajui watekaji upuuuziii......mnatupotezea muda
Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki.
Nimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.
Pia Soma:
- Mbowe: Ripoti ya Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao ikiwa tofauti na tulichoona tutaipinga
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ally Kibao
- Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Mzee Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali
Msoga kwa maslahi yapi!?..msoga ndiye aliyemuweka samia karibu na viriri vya utawala kupitia bunge la katibaMsoga
Nami nasubiri!
Rais Samia mtimue DGIS na IGP na Awadhi! utakuwa umejivua uhusika wa hili!
Cha kushangaza ni kuwa ni huyuhuyu Samia alipoambiwa achukue hatua dhidi ya watu wake wanaoteka na kuua watu, alionesha wazi kuwa upande wa hao mashetani, akasema kuwa kutekwa ni drama. Hata alipotrkwa ndugu yetu Ali RIP, hakutoa hata neno. Amekwishauawa, ndiyo anatoa kauli, na u aweza kuambiwa kuwa Rais atagharamia maziko!! Kwani umemsikia akitamka lolote juu ya wengine waliotekwa ambao mpaka sahizi hatujui waliko? Tais anasubiria siku ikionekana mifupa yao, atoe pole ili wajinga tumwoneana upendo.Ni wazi kuwa Kuna syndicate katika jambo Hilo, either kama ni kumchafua RAIS, serikali anayoongoza au whatever,but kama Mh RAIS kaagiza hivyo basi ni vyema tukapata taarifa kinagaubaga...