Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Kwani aliyewaajiri si aliwahakiki kwa vyeti na ufanisi wa kazi na akaridhika nao? Au waliizuia serikali kuhakiki taarifa zao?Kuajiriwa na mamlaka sahihi haiondoi ukweli kwamba walighushi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani aliyewaajiri si aliwahakiki kwa vyeti na ufanisi wa kazi na akaridhika nao? Au waliizuia serikali kuhakiki taarifa zao?Kuajiriwa na mamlaka sahihi haiondoi ukweli kwamba walighushi.
Na mshahara wa nchi yetu hulipwa mwisho wa mwezi, kwa maana muajiri ameridhishwa na utendaji wa kazi aliyompa ndipo akamlipa mshahara hivyo cheti hakihusiki hapa. Madai yao wapewe na kama walighushi vyeti wapelekwe Mahakamani wao na waajiri wao. Kwanini awasiliane cheti feki na kwanini muajiri aridhie cheti feki!Cheti Ni tatizo, Lakini dogo! Suala la msingi wamefanya kazi zinazostahili malipo na hatimaye mafao, ambayo kimsingi yamekatwa kwenye mapato yao?! Kwani Ni cheti, kiwe original Au fake, kilicho fanya kazi?
Wewe ni msomi cheti. Ndio nyie mnaharibu biashara za watu kisa mnataka kudhihirisha usomi wenu.Siwezi kuvaa viatu vya majizi ya kitaaluma.
Mimi nimesoma nimeenda shule bwana. Siwezi kuwa sambamba na majizi ya vyeti.
Tumeelewana? Au niongeze sauti ya redio?
Haki au jinai walifanya.Je ! Ni sahihi kutowalipa ilhali walikatwa pesa zao na walilitumikia taifa kwa haki!??
Usikaze fuvu mzee hata ww ushafanya magumashi, ushaiba!!Walitumikia kwa haki wakati walighushi vyeti?
Kuna pesa nyingi zilizoibwa na marehemu. Kuna pesa 1.5 trillion aluzogundua CAG kuwa hazieleweki zilienda wapi.Hizo pesa zipo au ni mashairi ya jukwaani tu
Hapa sitetei vyeti feki, nasapoti utaratibu ufuatwe katika kuadhibu kosa lililotendeka na kama haukufuatwa basi ili jambo limalizwe kwa kutumia busara. Samia katumia hiyo busara kwa kupendekeza walipwe hiyo 5% waliyokatwa ili tuufunge huu mjadala.Ni ngumu kujikita kwenye mada ya vyeti feki. Maana humu wamejaa wezi wa taaluma wanaolilia huruma za wanasiasa.
Mimi nazungumza kuhusu umuhimu wa taaluma halali.
Kwanza inakufanya unajiamini muda wote. Hauwi na mashaka ya kutimuliwa kazini.
Lakini ukiwa na mavyeti feki unakuwa na msongo wa mawazo. Unaweza shangaa umetiwa hatiani na kushughulikiwa hata hayo mafao usiyaone.
ELIMU ELIMU ELIMU.
CCM wanaandaa mpango wa kupiga pesa kwa ajili ya 2025.Ni Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?
It was voidable an initioJe ! Ni sahihi kutowalipa ilhali walikatwa pesa zao na walilitumikia taifa kwa haki!??
Sasa si afadhali wenye vyeti fake kuliko wabunge fake wanaoendelea kulipwa mpaka leo.Walitumikia kwa haki wakati walighushi vyeti?
Halikua suala la vyeti feki, project ilikua ni kupunguza watumishi serikalini ili kupunguza wage bill iende kujenge madaraja na viwanja vya ndegeKwa Haki vipi na cheti FEKI?
Sukumagang mkitaka kufeni, Lakini Mazaa atapangua moja baada ya jingine mpaka asafishe mabaya yooote ya Baba yenu! Na watalipwa utake ukataye!Utajiju na mavyeti yako feki.
Kusoma raha bwana unakuwa unajiamini tu muda wote!
Lakini ukiwa una mavyeti feki unabaki kujiliza liza tu na kuomba huruma za wanasiasa!
Mara sijui fidia ya makato! Mahangaiko kweli kweli.
Someni muonje utamu wa taaluma. Ni mwendo wa kujiamini tu.
Mkuu na idara nyeti hazikuguswa...Walipwe haki zao mbona Bashite aliendelea kufanya kazi na huku anavyeti fake na wengine PhD fake!
Hongera Mama Samia kwa moyo mzuri Mungu atakulipa!
Ndugu embu sema kidogo tu hata sentensi mbili kuhusu makonda!Wasilipwe vyeti feki ni wezi,
Kwa Haki vipi na cheti FEKI?
Ujuuzi huwezi ufoji,kama ujui ujui.Ndio maana watoto wetu wanajazwa ujinga mashuleni shauri ya walimu feki.
Unakutana na mtoto hawezi hata kujieleza lugha inayoeleweka kumbe shida imeanzia huko kwa walimu wenye vyeti vya kugundisha na gundi steshenari.
Ahsante JPM kwa kuwatimua hawa makanjanja.
Na hizo stahiki hampati ng'ooo! Ngoja. Tutaelewana tu.
Hapo unaleta utakatishaji wa fedha washauri wa rais waangaliweJe ! Ni sahihi kutowalipa ilhali walikatwa pesa zao na walilitumikia taifa kwa haki!??