Rais Samia; Achana na hoja ya Haki Sawa inakupotezea Ushawishi ndani ya jamii

Rais Samia; Achana na hoja ya Haki Sawa inakupotezea Ushawishi ndani ya jamii

Wewe hujamwelewa mtoa mada! Wala hujajua mama Samia alichokuwa anaongelea na mtoa mada anachokosoa!
Nimemuelewa mtoa mada. Yeye anazungumzia issue ya nature. Unahitaji nini kuelewa kwamba anaonyesha namna ambavyo haiwezekani kuwepo gender equality. Nimemsaidia aelewe concept ya gender equality. Siyo baba awe mama au mama awe baba. Kwanza ni kubadili fikra aelewe dhana yenyewe. Rais alikuwa very clear na anaeleweka.
 
Nimemuelewa mtoa mada. Yeye anazungumzia issue ya nature. Unahitaji nini kuelewa kwamba anaonyesha namna ambavyo haiwezekani kuwepo gender equality. Nimemsaidia aelewe concept ya gender equality. Siyo baba awe mama au mama awe baba. Kwanza ni kubadili fikra aelewe dhana yenyewe. Rais alikuwa very clear na anaeleweka.
I you accept "gender equality", what follows is gay rights and transgender equality.
 
I you accept "gender equality", what follows is gay rights and transgender equality.
Gender na ushoga vina uhusiano gani ndugu? Tunazungumzia mambo ya gender and development. Tunazungumzia watoto wa kike wanaweza kuwa mapilot as well as men. Ndiyo maana nasema kuna shida ya uelewa wa gender equality concept.
 
Nimesoma andiko lako; ni ama hujui nini linazungumziwa kuhusu concept ya gender equality au ni mtu very primitive na mwenye primitive notion ya patriarchy system. Nataka nikusaidie ili usirudi tena kumjadili Rais kitoto namna hii.

Mosi, kuanzia first wave feminism (1920) kule Marekani, watu kama Suzan Anthony, walipigania haki ya wanawake kuchagua na kuchaguliwa katika uchaguzi. Wakafanikiwa. Second wave feminism (1960), ilihusu haki za kijamii na kifamilia.
It would be important to know the extent to which Samia Hassan's own neutral and extended family practices gender equality in their everyday lives.
 
Gender na ushoga vina uhusiano gani ndugu? Tunazungumzia mambo ya gender and development. Tunazungumzia watoto wa kike wanaweza kuwa mapilot as well as men. Ndiyo maana nasema kuna shida ya uelewa wa gender equality concept.
It's about equality.
 
Gender na ushoga vina uhusiano gani ndugu? Tunazungumzia mambo ya gender and development. Tunazungumzia watoto wa kike wanaweza kuwa mapilot as well as men. Ndiyo maana nasema kuna shida ya uelewa wa gender equality concept.
The reality is extremely few women become competent pilots, technicians or engineers even in advanced economy countries where so-called gender equality is the law.
 
The reality is extremely few women become competent pilots, technicians or engineers even in advanced economy countries where so-called gender equality is the law.
Have you any research report? Or perception..?
 
Have you any research report? Or perception..?
Very few female middle and top-level leaders in public and private sectors even in European countries with best track records in gender equality.
 
Kila mtu ana haki zake japo hazigawiwi kwa usawa.[emoji1614][emoji276]
 
Tatizo linaanzia kwenu, mmeamua kum-address kama MAMA badala ya RAIS.
 
I you accept "gender equality", what follows is gay rights and transgender equality.
Exactly! To them there are more than two gender!! Whenever they talk of gender eqality they refer to the so called rights of LGBT+ .
 
Nimesoma andiko lako; ni ama hujui nini linazungumziwa kuhusu concept ya gender equality au ni mtu very primitive na mwenye primitive notion ya patriarchy system. Nataka nikusaidie ili usirudi tena kumjadili Rais kitoto namna hii.

Mosi, kuanzia first wave feminism (1920) kule Marekani, watu kama Suzan Anthony, walipigania haki ya wanawake kuchagua na kuchaguliwa katika

Umejadili kisomi, na Kwa hoja Kwa Hilo nakupongeza lakini Jambo moja la hakika ni kuwa hoja za kisomi mara nyingi ni irrelevant katika maisha halisi.

Ndio maana sishangai mtu anataaluma ya uchumi lakini Hana la maana katika uchumi nje ya kuajiriwa.

Hata wewe pia na taaluma yako ya Gender na sijui Development unaweza ukawa mzuri kwenye nadharia na Quotation lakini zikawa irrelevant na mazingira halisi.

Hii dunia inamataifa mengi yenye tamaduni nyingi, tunatofautiana Kwa mambo mengi kiakili, kimaumbile, kiimani, kitabia ya nchi, n.k.

Mazingira ya Ulaya ni tofauti na mazingira ya Afrika,
Muafrika sio Mzungu, ingawaje wanaweza kuunganishwa na ubinadamu wao.

Wazungu Kama binadamu wengine wenye utofauti na waafrika pamoja na kukihangaisha kusawazisha Gap la kijinsia bado wameshindwa Kwa kiasi kikubwa na athari zake ni kubwa kuliko manufaa.

Sikatai wanawake wasipewe haki zao, Ila napingana na wao kugombea mambo yasiyo wahusu ikiwemo suala zima la Utawala.

Hakunaga haki za hivyo, labda tuilazimishe lakini Napo haitowezekana.


Mimi ni muumini wa mfumo dume dunia ingalipo Mimi nikiwepo.
 
RAIS SAMIA, ACHANA NA HOJA YA HAKI SAWA. INAKUPOTEZEA USHAWISHI NDANI YA JAMII.

Na, Robert Heriel.

Kwa maoni na mtazamo wangu ambao kimsingi nauamini, ninaona mbele zaidi miaka kadhaa ijayo. Naomba Mhe. Rais uachane na hoja ya Haki Sawa bhaina ya Mwanamke na Mwanaume.
Akiachana na haki sawa, then itabidi aunge mkono 'inequality' na kwa kufanya hivyo atakuwa ameenda kinyume na katiba. Na kuhubiri 'inequality' hakuwezi kumjenga. Mwandishi wa makala haya akumbuke msemo huu: 'If you are not part of the solution, you are part of the problem'.
 
Keshaanzisha vita baridi...mke wangu hamkubali kabisa na mie ndio najazia hapo hapo namkandia anazidi kumkataa...bi mkubwa wangu hamuelewi kabisa...
Mkuu, sio mkeo tu Bali wanawake wengi sana hawampendi labda akina Ummy Mwalimu na Gaudensia Kabaka. Wanawake wengi mpaka wanaporomosha matusi makubwa dhidi yake.
 
Back
Top Bottom