Rais Samia afanya makubwa, wafanyakazi walipiwa mikopo yao

Rais Samia afanya makubwa, wafanyakazi walipiwa mikopo yao

Mleta uzi yupo sahihi,Kuna mambo mawili yamefanyika.
1. Deni la HESLB limerekebishwa,kwa maana kwamba lililopo kwenye Salary slip kwa Sasa linaendana na Loan statement ya HESLB,shahidi ni Mimi mwenyewe.
2. Wenye mikopo yao benki na taasisi nyingine za kifedha,kiwango Cha marejesho kwa mwezi wa kwanza kimeongezeka Mara mbili bila kuadhiri take home yako. Mfano,Kama Deni lako mwezi December 2021 lilikuwa 600,000/=na Makato/marejesho ya kila mwezi ni 200,000/= ilitakiwa Deni libaki 400,000/= lakini kwa Sasa limebaki 200,000/=. Mpaka Sasa hakuna ufafanuzi wowote uliotolewa juu ya hili la pili na mamlaka zinazohusika.
Umeelezea vzr
 
Hakika Nani Kama mama,hakika anaupiga mwingi! ,Pongezi kwako mama wetu mpedwa!! Mungu akupe na kukujalia kila lililo la kheri.!!

Ni hivi kwa wale watumishi wa umma,hebu chungulieni salary slip zenu hakika mtaona Kuna tofauti kubwa sana imefanywa na huyu rais wa watu ,yaani Kama una mkopo Bank Au Loan Board.

Chukua kiasi cha mkopo wa mwezi 12/2021 toa kiasi cha mkopo mwezi 1/2022. Utagundua kuwa umelipiwa Mara Mbili ya kiasi ambacho huwa unalipa kila Mwezi, hapa Ni kwamba Kama mkopo wako ulitarajia utaisha mwezi wa pili ,basi mwezi huu umeshalipiwa ,hivyo hudaiwi.

Sisi wafanyakazi wako tunaahidi kumuunga kwa kila unalolifanya ,Samia Safi!!!,Nani Kama mama????

# kazi iendelee!!
Unamdanganya nani?
 
Hakika Nani Kama mama,hakika anaupiga mwingi! ,Pongezi kwako mama wetu mpedwa!! Mungu akupe na kukujalia kila lililo la kheri.!!

Ni hivi kwa wale watumishi wa umma,hebu chungulieni salary slip zenu hakika mtaona Kuna tofauti kubwa sana imefanywa na huyu rais wa watu ,yaani Kama una mkopo Bank Au Loan Board.

Chukua kiasi cha mkopo wa mwezi 12/2021 toa kiasi cha mkopo mwezi 1/2022. Utagundua kuwa umelipiwa Mara Mbili ya kiasi ambacho huwa unalipa kila Mwezi, hapa Ni kwamba Kama mkopo wako ulitarajia utaisha mwezi wa pili ,basi mwezi huu umeshalipiwa ,hivyo hudaiwi.

Sisi wafanyakazi wako tunaahidi kumuunga kwa kila unalolifanya ,Samia Safi!!!,Nani Kama mama????

# kazi iendelee!!
Ujinga hautaisha duniani ????
 
Sawa na ishatokea hivyo ila bado kama wahusika wa hiyo mikopo tunastahili ufafanuzi wa kupunguzwa kwa madeni yetu. Iko siku itakuja kuleta shida ya malimbikizo while ushajipa uhakika wa deni kuisha hapo baadae.
 
Mkuu Ulitaka akakatikiwe mauno mama yako au? ,Mimi siwezi acha ipongeza serikali yangu maana ndo inaniweka mjini,sasa wewe Ulitaka nimpongeze yule Mrs Robert Amsterdam au yule Makengeza?
Labda wanataka umpongeze hilda newton, au mdude[emoji23][emoji23]
 
Wachumi watuambie hii ndiyo STIMULUS package??
Ni jambo JEMA!
Kwanini itarget wafanyakazi Tu??
Itufikie na wamachinga jamani!
Wakulima saa hizi wanakopeshwa kwa riba nafuu sana tangu juzi, kama una shamba wahi ukajichotee pesa CRDB
 
Mleta uzi yupo sahihi,Kuna mambo mawili yamefanyika.
1. Deni la HESLB limerekebishwa,kwa maana kwamba lililopo kwenye Salary slip kwa Sasa linaendana na Loan statement ya HESLB,shahidi ni Mimi mwenyewe.
2. Wenye mikopo yao benki na taasisi nyingine za kifedha,kiwango Cha marejesho kwa mwezi wa kwanza kimeongezeka Mara mbili bila kuadhiri take home yako. Mfano,Kama Deni lako mwezi December 2021 lilikuwa 600,000/=na Makato/marejesho ya kila mwezi ni 200,000/= ilitakiwa Deni libaki 400,000/= lakini kwa Sasa limebaki 200,000/=. Mpaka Sasa hakuna ufafanuzi wowote uliotolewa juu ya hili la pili na mamlaka zinazohusika.
Kwahio nani anachukua mzigo wa ku-cover hizo 200k; Benki, Rais anatoa kwenye mshahara wake au Kodi na Tozo zetu ndio zinaenda kulipia mikopo ya watu ?

Huoni kama ni kuweka kitu sustainable ni bora kushusha interest rates kwa kila mtu na sio sarakasi ambazo hazina ufafanuzi
 
Kwahio nani anachukua mzigo wa ku-cover hizo 200k; Benki, Rais anatoa kwenye mshahara wake au Kodi na Tozo zetu ndio zinaenda kulipia mikopo ya watu ?

Huoni kama ni kuweka kitu sustainable ni bora kushusha interest rates kwa kila mtu na sio sarakasi ambazo hazina ufafanuzi
Wew kaa kwa kutulia acha wafanyakaz tuanze kupumua kdogo
 
Mbona Mimi nina mkopo loan board na bado mwezi wa kwanza nimechukua mshahara wangu ukiwa vile vile?
 
Mpeni mama lite baridi tafadhali. Kwenye loan board nimekuta mabadiliko ya kushtukiza.
Hebu nifafanulie mkuu....mabadiliko yanakuwaje? Mbona mimi sioni?
 
Mbona Mimi nina mkopo loan board na bado mwezi wa kwanza nimechukua mshahara wangu ukiwa vile vile?
Umemuelewa mtoa mada, sio kwamba take home imeongezeka ila umelipiwa deni lako mara 2 ya rejesho la mwezi kama unadaiwa
 
Back
Top Bottom