Uzuri wa Serikali ya CCM ikipewa ushauri na vyombo vinavyo husika vya maafa kabla ya tukio halija tokea. Inaweka pamba masikioni mpaka kukitokea majangaa ndio inakuwa mstari wa mbele katika kushughulikia waliopatwa na hayo majangaa hiyo ndio Serikali ya CCM inavyofanya kazi.