Rais Samia afupisha ziara yake Dubai kurejea nchini haraka iwezekanavyo, Serikali kugharamia mazishi na matibabu ya majeruhi wa mafuriko ya Hanang

Atakuwa anakuja kwa punda wa makonda kama hadi kufikia asubuhi tarehe 5 alikuwa hajaonekana pale Hanang
 
UNAWEZA KUTUONYESHA NISEHEMU GANI TMA WALISEMA YATATOKEA MAAFA KAMA HAYO HUKO HANANG
 
Ingekuwa Pemba angeshafika siku nyingi.
Rais wa zambia mwenyewe alikatisha ziara yake huko dubai na karudi zambia kutembelea na kujionea maafa yaliyotokea huko kwenye copperhead
Je rais wetu mpendwa hafiki tu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…