Tukushangae wewe unayemchukulia serious Samia.
Mkuu kumbe tusiamini kitu na ilikua utani tu?!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukushangae wewe unayemchukulia serious Samia.
Umemuona wapi?Kwa hili nampongeza Rais hata Kama simkubali.
UNAWEZA KUTUONYESHA NISEHEMU GANI TMA WALISEMA YATATOKEA MAAFA KAMA HAYO HUKO HANANGUzuri wa Serikali ya CCM ikipewa ushauri na vyombo vinavyo husika vya maafa kabla ya tukio halija tokea. Inaweka pamba masikioni mpaka kukitokea majangaa ndio inakuwa mstari wa mbele katika kushughulikia waliopatwa na hayo majangaa hiyo ndio Serikali ya CCM inavyofanya kazi.
Ingekuwa Pemba angeshafika siku nyingi.Atakuwa anakuja kwa punda wa makonda kama hadi kufikia asubuhi tarehe 5 alikuwa hajaonekana pale Hanang
Rais wa zambia mwenyewe alikatisha ziara yake huko dubai na karudi zambia kutembelea na kujionea maafa yaliyotokea huko kwenye copperheadIngekuwa Pemba angeshafika siku nyingi.