Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaan CAG analalama pesa za watanzania zinapotea yeye anakenua meno na kutumia pesa za walipa kodi kuandaa maftari!
she's misfit to the position!
Wakristo 80% wanawachukia waislamHivi we akifanya hivi unapungukiwa na nini Kama sio chuki za kidini?
Balile ni Said Kubenea wa awamu ya sita …vuta subira na tuombe uzima tu Mkuu! siasa na harakati zinazohusiana na Siasa za Nchi hazipatikani popote mwingineHe is one of the best journalists this country has ever produced! Wewe lazima utakuwa chawa wa hawa mafisadi yaliyolundikana kwenye hiyo Futari!! Ajabu na Kweli VASCO DAGAMA kakosekana kwenye kufuturu kwa Samia!!!
Amefuturisha kiserikali kwa kuwa Yeye ni Kiongozi wa wote hadi hao Wazinifu na MashogaHuyu Mama ameanza kupoteza focus ,unawapaje futari watu wa hivyo wamevaa hereni wazinifu diamond na harmonize kutwa kujisifu kueneza Uzinzi na Ushoga , leo amezingua Sana.
Hiyo fedha ni kutoka kifungu cha matumizi binafsi ya Rais.yaan CAG analalama pesa za watanzania zinapotea yeye anakenua meno na kutumia pesa za walipa kodi kuandaa maftari!
she's misfit to the position!
nadhani Tatizo sio futari wala kufuturisha kwa kuwa hayo yamekuwa yakifanywa na tawala zote na siku hizi hata Madola makubwa kama Marekani nayo State house zao wanafuturishaNchi imekuwa ya Kidini hii Napongeza kwa Hilo , unajua Warumi walikosea kutenganisha dini na serekali ,kutenganisha masuala ya Imani na serikali,Unajua vitabu vya Dini vulikosea kutenganisha mwanamke na uongozi'' utawala mkuu na mwanamke vitabu huenda vilikosea bila shaka vilikosea.
Ungekuja na hoja kuwa kodi za Wakristo zinafuturisha miskitiniKuwapa chakula watu wasio na uhitaji ni uharibifu,angeenda misikitini na kuandaa hiyo ftari kwa wasiojiweza ili hata wale wenye hali ngumu wanafturu unapata baraka
CAG kwa Sasa anakula chakula kilichoandaliwa na mkewe tu. Hajasahau kilichomkuta waziri wa zamani mwenye degree nyingi Sasa hivi Ni mfichua mapunga.CAG Kichere nae amefuturishwa?
Hasa wale masikini masikini ambao makuzi yao ya utotoni wametokea Bush hawana exposure ya kujichanganya na watu tofauti tofautiWakristo 80% wanawachukia waislam
Entrance yake imekaa bomba, siku hizi anaingia peke yake kwa rwd carpetMama anazidi kung'aa daily minakujua Cleopatra!.
Kwamba kufuturisha yatakiwa iwe kwa masikini tu?Wanasema kufuturisha inatakiwa iwalenge wenye uhitaji. Ila hapo naona kina GSM.
Hivi hawa wana hitaji hicho chakula cha sadaka kweli au mambo ya kupeana tu fahari za dunia na sio akhera kama tunavyotaka kuaminishwa?
Ugly.Beautiful
Halikuwa lengo kuwa ni kwa waliofunga pekee, humo kakutana na waandishi, wachungaji, masista etc80% ya wahudhuriaji naamini wala hawajafunga
Kama mtu hajiwezi kwanini afunge?Kuwapa chakula watu wasio na uhitaji ni uharibifu,angeenda misikitini na kuandaa hiyo ftari kwa wasiojiweza ili hata wale wenye hali ngumu wanafturu unapata baraka
Mh ngoja wazee wa legacy waje 🤣🤣 hapatatosha leo 🤣🤣🤣View attachment 2589120
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Ukumbi wa Kikwete kwa ajili ya Kufutarisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali, Ikulu Jijini Dar es Salaam
View attachment 2589122Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa pamoja na Kaimu Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Walid Alhad Omar
View attachment 2589125Mahasimu wa jadi Simba na Yanga wakutana kwenye Futari Ikulu Jijini Dar es Salaam, wa kwanza kulia ni Rais wa Yanga Eng. Hersi Said, Mwenyekiti wa Bodi ya Simba Salim Abdallah (Try again) wa pili kutoka kulia pamoja na Mfadhili na Mdhamini wa Yanga Ghalib Said Mohamedwa pili kutoka kushoto wakiwa Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya Futari iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan. Wakwanza kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo
View attachment 2589127 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli
Kwa hiyo masheikh wanapokemea maovu kwa waumini na jamii wanajipendekeza sio? Tusubiri tu mpk siku mtu afe Mungu aamhe mwenyewe cha kumfanya? Wacha kutetea ujinga kufuturisha ni kwa wahitaji sio hao aliowaita mama.Yaan kila afanyacho sio chema, wavaa hereni yy ni Mungu? Uislam unatuambia kila mmoja atehesabiwa mema na mabaya yake siku ya KIYAMA.