Rais Samia afuturisha Viongozi na Makundi mbalimbali leo Aprili 15, 2023

Samia anakula mlo mmoja na waislam wenzake na kila kitu kinaishia hapo. Vipi marehemu JPM aliyeamua kuijenga Chato ili iweze kuwa mkoa kabisa?.

Hiyo michakato ya kuibadili Chato kuwa ya kisasa zaidi, haikuhusisha matumizi ya mabilioni ya pesa yasiyoweza kuhojiwa?.

Kila awamu kuanzia ya kwanza kabisa inao upigaji wa aina fulani kwa msingi wa madaraka makubwa ya Rais anayekuwa ikulu. Nguvu za Rais ni kubwa sana.

Wapo watakaokuja na wazo la kuibadili katiba ili nguvu za Rais ziweze kupunguzwa. Ni hoja ya kina yenye kuhitaji mjadala mpana wa kitaifa lakini itakutana na pingamizi kutoka kwa hawa hawa wanaofaidika na nguvu nyingi za Rais kwani zinawatajirisha wao na jamaa zao.
 
Kufuturu kunawahusu wafungaji hapo sijamuona mfungaji bali wapo kujionyesha tu
 
Acha chuki za kijinga Magufuri na makonda walikuwa wanafutilisha karibia kila mwaka mbona hukuona ajabu?
 
Hafula za futari huwa zinaandaliwa mpaka kwenye ikulu ya Marekani ambayo kimsingi ina waislam wachache sembuse Tz yenye rundo la waislam kila sehemu?
 
Wanasema kufuturisha inatakiwa iwalenge wenye uhitaji. Ila hapo naona kina GSM.

Hivi hawa wana hitaji hicho chakula cha sadaka kweli au mambo ya kupeana tu fahari za dunia na sio akhera kama tunavyotaka kuaminishwa?
Kama hauelewi ni kwamba wenye uhitaji ni wale wanaotumia pesa mpaka imewazoea.
 
Wanasema kufuturisha inatakiwa iwalenge wenye uhitaji. Ila hapo naona kina GSM.

Hivi hawa wana hitaji hicho chakula cha sadaka kweli au mambo ya kupeana tu fahari za dunia na sio akhera kama tunavyotaka kuaminishwa?
Ndioo wako kidunia
 
Yoyote aliyeshiriki kuiba kura uchaguzi Mkuu alaaniwe!
Wanasema kufuturisha inatakiwa iwalenge wenye uhitaji. Ila hapo naona kina GSM.

Hivi hawa wana hitaji hicho chakula cha sadaka kweli au mambo ya kupeana tu fahari za dunia na sio akhera kama tunavyotaka kuaminishwa?
 
Wakwepa Kodi nao wanaalikwa ikulu nchi ngumu sana hii aisee.

Nyie maskini endeleeni kuombea amani ili wengine waibe vizuri na kula vinono kwa Kodi zenu.
Umeandika haya maneno ukiwa na hamu ya kuwa mmoja wa hao wanaokula matunda ya nchi. Unaweza usifuturishe ukawa unafanya unyama mwingi tu na kuwanyima raia amani ya mioyoni.
 
Yaan CAG analalama pesa za watanzania zinapotea yeye anakenua meno na kutumia pesa za walipa kodi kuandaa maftari!

she's misfit to the position!
mwambie mamako anakenua meno sahv. Mbwa huna adabu. Katafute hela ya kwako, ametumia senti ya mamako. wale watu wana pesa zao siyo maskini km ukoo wenu.
 
we ni mlemavu? kawaandalie wewe
 
CAG kwa Sasa anakula chakula kilichoandaliwa na mkewe tu. Hajasahau kilichomkuta waziri wa zamani mwenye degree nyingi Sasa hivi Ni mfichua mapunga.

Mfichua Mapunda Mbunge wa zamani wa Kyela alifukuzwa na wanyakyusa wenzie wa Kyela!! Wakamwambia aende akale madigrii yake ya usomi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…