Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Kufuturu kunawahusu wafungaji hapo sijamuona mfungaji bali wapo kujionyesha tuView attachment 2589120
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Ukumbi wa Kikwete kwa ajili ya Kufutarisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali, Ikulu Jijini Dar es Salaam
View attachment 2589122Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa pamoja na Kaimu Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Walid Alhad Omar
View attachment 2589125Mahasimu wa jadi Simba na Yanga wakutana kwenye Futari Ikulu Jijini Dar es Salaam, wa kwanza kulia ni Rais wa Yanga Eng. Hersi Said, Mwenyekiti wa Bodi ya Simba Salim Abdallah (Try again) wa pili kutoka kulia pamoja na Mfadhili na Mdhamini wa Yanga Ghalib Said Mohamedwa pili kutoka kushoto wakiwa Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya Futari iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan. Wakwanza kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo
View attachment 2589127 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli
Acha chuki za kijinga Magufuri na makonda walikuwa wanafutilisha karibia kila mwaka mbona hukuona ajabu?Nchi imekuwa ya Kidini hii Napongeza kwa Hilo , unajua Warumi walikosea kutenganisha dini na serekali ,kutenganisha masuala ya Imani na serikali,Unajua vitabu vya Dini vulikosea kutenganisha mwanamke na uongozi'' utawala mkuu na mwanamke vitabu huenda vilikosea bila shaka vilikosea.
Mtazamo wangu haujakaa kidini mkuu hakuna ubaya kufuturisha,hoja yangu ni kwa jamii ya watu aliowaandalia futariUngekuja na hoja kuwa kodi za Wakristo zinafuturisha miskitini
Hafula za futari huwa zinaandaliwa mpaka kwenye ikulu ya Marekani ambayo kimsingi ina waislam wachache sembuse Tz yenye rundo la waislam kila sehemu?Mwenye nacho huongezewa, asiye kuwanacho hata kile kidogo hunyang'anywa! Ebu angalia orodha ya wageni waalikwa, katika hiyo iftari ni ya walewale wanaoifaidi siku zote keki ya taifa.
Hivi katika nchi nyingine majirani na sisi marais wao pia huwa wanafanya hivi? Mimi nafikiri masuala kama haya ya kidini yawe ya mtu binafsi, tena yanyike kama faragha ya Rais na familia yake akiwa nyumbani kwake, na akiwaalika wageni wake isiwe ni taarifa rasmi kwa umma.
Kama hauelewi ni kwamba wenye uhitaji ni wale wanaotumia pesa mpaka imewazoea.Wanasema kufuturisha inatakiwa iwalenge wenye uhitaji. Ila hapo naona kina GSM.
Hivi hawa wana hitaji hicho chakula cha sadaka kweli au mambo ya kupeana tu fahari za dunia na sio akhera kama tunavyotaka kuaminishwa?
Ndioo wako kiduniaWanasema kufuturisha inatakiwa iwalenge wenye uhitaji. Ila hapo naona kina GSM.
Hivi hawa wana hitaji hicho chakula cha sadaka kweli au mambo ya kupeana tu fahari za dunia na sio akhera kama tunavyotaka kuaminishwa?
Good day...Very Good day...
Good day...Very Good day...
Wanasema kufuturisha inatakiwa iwalenge wenye uhitaji. Ila hapo naona kina GSM.
Hivi hawa wana hitaji hicho chakula cha sadaka kweli au mambo ya kupeana tu fahari za dunia na sio akhera kama tunavyotaka kuaminishwa?
Umeandika haya maneno ukiwa na hamu ya kuwa mmoja wa hao wanaokula matunda ya nchi. Unaweza usifuturishe ukawa unafanya unyama mwingi tu na kuwanyima raia amani ya mioyoni.Wakwepa Kodi nao wanaalikwa ikulu nchi ngumu sana hii aisee.
Nyie maskini endeleeni kuombea amani ili wengine waibe vizuri na kula vinono kwa Kodi zenu.
mwambie mamako anakenua meno sahv. Mbwa huna adabu. Katafute hela ya kwako, ametumia senti ya mamako. wale watu wana pesa zao siyo maskini km ukoo wenu.Yaan CAG analalama pesa za watanzania zinapotea yeye anakenua meno na kutumia pesa za walipa kodi kuandaa maftari!
she's misfit to the position!
Amepona bila shaka.
we ni mlemavu? kawaandalie weweAsante Kwa taarifa. Ni mtu mmoja tu Tanzania hii alikuwa anawaona hata walemavu.
Matajiri aliwaacha wajijue.
Waliokuwa masikini ndio walikuwa wanapata Toka Kwake na tangu ameenda mbele ya haki hatujasikia cha walemavu/ wajasiriamali wenye ndoto za maisha.! Ila Kwa kuvuta mpunga kwenye nafasi zao ndio inatisha!
Pumziko Kwa amani mjali wachini kipenzi cha wengi E. Mengi.
CAG kwa Sasa anakula chakula kilichoandaliwa na mkewe tu. Hajasahau kilichomkuta waziri wa zamani mwenye degree nyingi Sasa hivi Ni mfichua mapunga.