Rais Samia afuturisha Viongozi na Makundi mbalimbali leo Aprili 15, 2023

Kuna watu wanachukia kuona hii picha
Moja wapo Nan? Kama unaona chuki iliyopo moyoni mwa mwenzako Basi nawe Ni wa kwanza uliyo nayo c et!!au nasema uwongo?
Ukiona kibanzi Basi ww unalo bori
Hivi wewe mtu hiyo chuki IPO wapi? Pongezi nazo Ni chuki? Kusema mitaala ya Kirumi ilikosea Ni chuki? Vitabu vya zamani vilikuwa na mfumo dume kusema may be kulikuwa na makosa Ni vibaya! Juu ya Yote kwani wajua nazungumzia nchi gani nisio itaja? Kwani kwa taarifa yako' hujui Kuna watu wako nje ya nchi na wapo Hapa jm! Acha prediction tumia weledi!
 
Huyu Mama ameanza kupoteza focus ,unawapaje futari watu wa hivyo wamevaa hereni wazinifu diamond na harmonize kutwa kujisifu kueneza Uzinzi na Ushoga , leo amezingua Sana.


nilidhani nimeona peke yangu ghafla na kwa haraka mno state House imekua accessible sana na watu wa deal siku hizi na idara ya usalama wataifa inaangalia

Tulishazoea kuona sura zenye heshima kwenye jamii katika sherehe na matukio yanayofanyika ikulu kama Viongozi wa kiroho, Mabalozi na wafanyabiashara wakubwa wenye kuheshimika

Raisi hatakiwi Kufikiwa fikiwa na watu wa ajabu ajabu wenye makando kando kama GSM . Wasaidizi wa Raisi hacheni njaa na kujipendekeza kwa Matajiri wachafu Mnaua brand Ya Uraisi mnafanya Raisi aonekane wa kawaida kawaida
 

Kikwete hakuonekana wazi wazi kwenye hiyo futar,i pengene ndio maana business partner wake GSM ndio alimuwakilisha!
Ikulu imekuwa pango la wezi kwa kisingizio cha kufungua Nchi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…