Rais Samia aingilie kati tatizo la wazee kuwaoa mabinti wadogo; aagize sheria ya ndoa kurekebishwa

🤣🤣🤣🤣🤣 huu wivu ungeupeleka shambani lazma ungetoka na tani ya mahindi. Back to the point; mkuu wacha wivu aisee.

Wazee wanapenda joto la mabinti wadogo, na mabinti wanapenda kula bata bila kuhangaika saaana (maana mzee engine kiuno sio 1Hz). So waache tu.

Pia ujue hao wazee wanasaidia vijana wengine huku street indirectly. Maana ajira hakuna, so kuna wakulungwa wanangojea binti akishatoka kwa mzee, anakuja anamfokonyoa mpka kwenye kona ya pango, akirudi kwa mzee tayari mwepesiiii na kijana amebaki na chochote kitu

Angalizo: sihalalishi umarioo, bali msaada wa uchakataji tu!
 
Mkuu hapa umenena kiutuuzima aisee 😀 😅 😂 😀 😅 😂
 
Ibrahimu mwenyewe alioa kijakazi wake mdogo kabisa na still Mungu alimpenda sembuse Lyatonga
 
Suala ndoa ni kisheria sio hisia za watu mkuu. Ndio maana sheria inakataza watu ambao ni ndugu kuoana hata kama hisia zao zinawabana kuoana. umenipata eeh?
Sawa lakin kwan hao wazee wanao oa vibinti wanavunja sheria yeyote ile?

Maana wanaoa watu wazima
 
Age is nothing but a number, sheria inasema mtoto ni chini ya miaka 18. Sio mbaya mzee wa miaka tisini kujitwalia kibinti kidogo cha kumpa joto
 
Utakuwa umepigwa bao na mzee, we tafuta pesa acha kuja kulia lia hapa.

Subiri nawe uzeeke halafu uone kama ni rahisi kuoa mzee mwenzako.

SIKU ZOTE GARI MBOVU LAZIMA IVUTWE NA GARI NZIMA.
 
Mkuu hapa umenena kiutuuzima aisee 😀 😅 😂 😀 😅 😂
Ndo hivo aisee. Kama mzew kakuzidi kete, na wewe mlie mingo binti yake ukachanganye traqo mavi yasigande.

Kama mzee amemwaga mboga we nenda kavunje jiko kabisa sio kumwaga ugali pekee.
 
Wee jamaa umekuwa pimbi sana! Umepigwa gap na wazee nini? Sasa umeanza kuwaonea wivu au ulitaka wakuoe wewe?
 
acha chuki mkuu tafuta pesa hakuna namna wazee wamejipangaa..[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
 
Wee jamaa umekuwa pimbi sana! Umepigwa gap na wazee nini? Sasa umeanza kuwaonea wivu au ulitaka wakuoe wewe?
Waacheni watoto wasome shule; mama Samia atawashughulikia very soon nyie wazee wapenda ngono.
 
Kuna mambo huyajui nadhani...

Majukumu ya Rais, Sheria za Ndoa na Mtu mzima ni mtu wa umri gani vilevile haki ya mtu binafsi (individual rights)
 
Watu wazima wameamua kuoana shida iko wapi ili mradi hakuna aliyewashikia mtutu.
 
Vijana tafuteni pesa, haya mambo ya makasiriko hayana msaada ! Endeleeni kujenga six pack , wazee Wana pesa na Mali Ila hawana six pack na ndio wanapendwa sasa!
 
BOra ungezungu.zia ajira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…