Rais Samia aingilie kati tatizo la wazee kuwaoa mabinti wadogo; aagize sheria ya ndoa kurekebishwa

Mkuu naona mzee lyatonga kapita na mbebez wako kwa kasi ya kimbunga, vumilia tu mkuu huwezi kumpangia mtu kuoa ikiwa hao mabinti wameshafika umri wa kuolewa.....
 
Mkuu naona mzee lyatonga kapita na mbebez wako kwa kasi ya kimbunga, vumilia tu mkuu huwezi kumpangia mtu kuoa ikiwa hao mabinti wameshafika umri wa kuolewa.....
Mkuu nimesema kwamba wengi wa vigoli hawa hurubuniwa na wazee pamoja na wazazi wao kwa sababu ya ufukara; wengi hawaolewi kwa kupenda bali kwa mashinikizo y wazaz/walezi wao. You get me right?
 
Kiongozi wa majuha
 
Kichaa huyo
Kweli huyo jamaa ni chizi aisee. Ina maana kweli haoni tatizo la wazee kuwakatisha masomo mabinti na kuwaoa huku wakizidi kudidimiza jitihada za mama Samia kuwasomesha watoto wa kike? Tukawafiche wapi mabinti zetu sie?
 
Siku wakitaka kuoa watamuoa nani wakati wazee watakuwa wameishaoa wote? Acha roho mbaya mkuu.
Hao wazee wapo wangapi mpaka waoe mabinti wote ?....acha ramli chonganishi
 
Kiongozi wa majuha
Juha ni wewe mwenyewe unayeacha kuwaoa wakubwa wenzako badala yake unawaoa mabinti wenye umri sawa na wajukuu au mabinti zako. Umelaaniwa wewe umbwa sio bure!
 
Hao wazee wapo wangapi mpaka waoe mabinti wote ?....acha ramli chonganishi
Hata kama hawawaoi wote lakini wana disturb equilibrium ya wasichana mtaani. Wewe hukwenda shule kumbe mkuu?
 
Ibrahimu mwenyewe alioa kijakazi wake mdogo kabisa na still Mungu alimpenda sembuse Lyatonga
Mkuu usitumie hadithi za uwongo za Agano la Kale kuhalalisha uhalifu.
 
Hivi unajua muasisi wa Imani yake alioa binti wa umri gani?!!!

Huu uzi ulianzisha jana jioni, hadi muda huu Una views zaidi ya 1,200 na posts zaidi ya 90, lkn bado hakuna like hata moja!
Maana'ake wadau hawaafikiani na maoni yako!
 
Hivi unajua muasisi wa Imani yake alioa binti wa umri gani?!!!
Mkuu hapa hatuongelei imani ya mtu bali tunaongelea sheria ya ndoa ya Tanzania ya mwaka 1971. Tunaomba irekebishwe ili kuwazuia wazee wasiwaoe mabinti wanaolingana na watoto/wajukuu zao. Umenipata?
 
Sasa wewe unataka nani aingilie kati mkuu? Basi wewe lichukue ulifanyie kazi.
Tatizo lako unafikiri mwanaume akizeeka dushe linakuwa kubwa. On contrary anapokuwa mzee dushe linasinyaa na kuwa dogo. Ndiyo maana mabinti wadogo huwa wanawapenda mababu. Kwa kukuelimisha dushe linakua hadi mtu akifikisha miaka 35, hapo huanza kusinyaa. Nadhani utakuwa umeelewa na wivu wa kichura na maji ….yangu yangu yangu…. Wakati hawezi kumaliza maji ya kisima utakuwa umekutoka
 
Kweli huyo jamaa ni chizi aisee. Ina maana kweli haoni tatizo la wazee kuwakatisha masomo mabinti na kuwaoa huku wakizidi kudidimiza jitihada za mama Samia kuwasomesha watoto wa kike? Tukawafiche wapi mabinti zetu sie?
Hv unawafanya hao mabinti ni wajinga!!??
mifano yote uliyotoa hao mabinti ni wawekezaji...
wanazitazama fursa kuliko uonavyo
 
Hv unawafanya hao mabinti ni wajinga!!??
mifano yote uliyotoa hao mabinti ni wawekezaji...
wanazitazama fursa kuliko uonavyo
Wanawekeza nini mkuu? Kama ndoa ni uwekezaji kusingekuwa na wanawake wanaoachika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…