Rais Samia aitisha Baraza la Mawaziri kwa dharula, kujadili ajali ya ndege ya Precision

Watu wanakufa kila uchao kwa ajali za magari lakin ndege tu kikao cha dharula
 
Hii ndio ajali ya kwanza kutokea Tz? Waziri mkuu yupi amewahi kujiuzulu kwasababu ya ajali? Acha fitna, umeme haueleweki, maji hakuna, uchumi hovyo kila kitu kimepanda bei, vifurushi vya simu kadhalika, wapi umesema mikamba, michemba na yule mwenye tumbo kubwa kama kameza kibanda cha simu wawajibike kwa kujiuzuru? Una maslahi gani na kujiuzuru kwa PM?
 
Mtu nabebeshwa gunia la misumari muda si mrefu.
 
Na mnasimama kabisa majukwaani mnawasifu wavuvi kuokoa watu, hamuoni albu hata kidogo? Kwa mtiririko wa matukio haionekani hata sehemu moja ambayo msaada ulitoka Serekalini au airport wakati wa uokozi! Hii ni mbaya sana!
Tuko vizuri kwenye kuandaa mikushanyiko yenye mbwembwe nyingi kuliko utendaji, bado nina mashaka na yale maonyesho ya vifaa 9.12.annually, labda tupime uwezo wetu na jirani mmoja
 
Waongelee na nini kimetokea maana bundles zimepanda bei ghafla
 
Nyie watu!
Hivi hamjui nafasi ya usafiri wa ndege ni kubwa mno kwa uchumi na ustawi wa Tz. Na Hasa ukizingatia "watalii na washirika waletao miradi kutoka nje ya nchi "wanavyochangia uchumi wetu na maendeleo yetu"
Au hamwelewi hilo? Tutakuja kususiwa na kuachwa pembeni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…