raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Unataka wasile šHivi najiuliza tu, kikao kama hiki watalipwa per diem na kula vinono pia au wanajadili wamesimama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka wasile šHivi najiuliza tu, kikao kama hiki watalipwa per diem na kula vinono pia au wanajadili wamesimama?
Bombardier zina makelele kwa vile ni propeller engines na kwa haraka haraka ndio zinafaa viwanja vyetu vya kawaida. Zile jet engines ni gharama kuzitumia ila zina comfortabilityMkuu kwani tuna;
1. Bombadia ngapi?
2. Dreamliner ngapi?
3. Airbus ngapi?
Nasikitika hizi ndege kuwa na engine mbovu kwani ukizipanda ni tamu sana pamoja na dreamliner.
Bombadia zina vikelele flani na kuyumba angani
Mkuu Replica, asante kwa taarifa hii, the Citizen should get their facts right, tangu 1990 mpaka leo 2022 ni zaidi ya miaka 30 na tumekuwa na marais 5, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia, marais wote hao wameitisha emergence cabinetes mara kibao kujadili jambo la dharura!. Hii sii kweli kuwa hii ndio the first emergence cabinet meeting since 1990s!.Rais Samia Suluhu ameitisha kikao cha dharula na baraza la mawaziri kujadili ajali ya ndege ya precison iliyobeba uhai wa watu 19. Wakati ajali inatokea Rais Samia alikuwa nchini Misri.
Mara ya mwisho baraza la mawaziri kuitishwa kwa udharula huu ni miaka ya 90.
=====
President Samia Suluhu Hassan has convened an emergency meeting on November 14 in the capital Dodoma.
The meeting will involve cabinet ministers to discuss the Precision Air plane crash that claimed the lives of 19 people.
Samia was in Egypt immediately after the tragedy, meaning she didn't participate in the national funeral service.
The emergency meeting comes hot on the heels of calls from the public for government to be answerable for the lack of proper rescue strategy.
The last time such an emergency cabinet meeting was called by a president was in the 1990s, and it led to major changes.
An investigation into the plane crash is underway.
Citizen
Kwa bongo, imekuwa sasa ni too much.
Hilo ni tatizo kubwa. Kwa nini tuwe na viwanja vya ndege visivyokuwa na taa kwenye runways zake? Kwani gharama ya kuweka hizo taa ni shilingi ngapi? Nani anapaswa kuwajibika: ni TANROAD au TAA?Uwanja hauna taa
Kwa kweli bombadia na hizi za Precision air sizipendi sana kwa kweli.Bombardier zina makelele kwa vile ni propeller engines na kwa haraka haraka ndio zinafaa viwanja vyetu vya kawaida. Zile jet engines ni gharama kuzitumia ila zina comfortability
Bora bombadia aisee prec ni kama unaingia kwenye marcopoloKwa kweli bombadia na hizi za Precision air sizipendi sana kwa kweli.
Angani hazina utulivu kelele na kuvumba flani
Hahaha ninapofanya booking lazima nizame kujua ni aina gani ya ndege inapatikana nikiona ni bombadia huwa nabadili muda wa safari hadi nipate airbusBora bombadia aisee prec ni kama unaingia kwenye marcopolo
Nasikia pia France wanahusika katika uchunguzi wa ajali hii kwaiyo kama kuna jamboRais Samia Suluhu ameitisha kikao cha dharula na baraza la mawaziri kujadili ajali ya ndege ya precison iliyobeba uhai wa watu 19. Wakati ajali inatokea Rais Samia alikuwa nchini Misri.
Mara ya mwisho baraza la mawaziri kuitishwa kwa udharula huu ni miaka ya 90.
=====
President Samia Suluhu Hassan has convened an emergency meeting on November 14 in the capital Dodoma.
The meeting will involve cabinet ministers to discuss the Precision Air plane crash that claimed the lives of 19 people.
Samia was in Egypt immediately after the tragedy, meaning she didn't participate in the national funeral service.
The emergency meeting comes hot on the heels of calls from the public for government to be answerable for the lack of proper rescue strategy.
The last time such an emergency cabinet meeting was called by a president was in the 1990s, and it led to major changes.
An investigation into the plane crash is underway.
Citizen
Mimi napenda sana airbus kabla ya booking lazima nichunguze aina gani ya ndege nitatumia kama hivi;Bora bombadia aisee prec ni kama unaingia kwenye marcopolo
Kabla ya kutoka yeye alipaswa ajiuzulu boss wakeWaziri mkuu aliyeko madarakani kwa wizi wa kura sio muhuni? Bidhaa zimepanda yeye akiwa waziri mkuu, sasa kuna ajabu gani akitolewa?
Msoga Kingdom under sponsorship of The Government of the United Republic of Tanzania!Hali ya utendaji serikalini imebadilika na imekuwa mbaya kupita kiasi:-
1. Makamba
2. Nape
3. Riziwani
4. Mambo ya ndani ya nchi
6. Doto biteko
7. Nchemba
8. Majaliwa
9. Mbarawa
10. Wakuu wote wa wilaya
11. Makatibu tawala wa wilay
12. Wakurugenzi wa Halmashauri
13. Waziri wa aridh naye ni bomu
14. Makatibu wa ccm wa wilaya
Wote Hawa na wengine wengi ni wapigaji na wanapiga pesa bila kuja kesho kitatokea nini.
Asipowaondoa na kuwabafilisha wengine yajayo ni makubwa zaidi kuliko tunavyofikiria
Unamlaumu Kondakta badala ya kumlaumu Dereva!!Kabla ya kutoka yeye alipaswa ajiuzulu boss wake
Labda kwa uzito!Mkuu Replica, asante kwa taarifa hii, the Citizen should get their facts right, tangu 1990 mpaka leo 2022 ni zaidi ya miaka 30 na tumekuwa na marais 5, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia, marais wote hao wameitisha emergence cabinetes mara kibao kujadili jambo la dharura!. Hii sii kweli kuwa hii ndio the first emergence cabinet meeting since 1990s!.
P
Wabantu wana matatizo sana ya kufikiria yaani kitu kilichotokea wiki nyuma leo wanaitana kukusanyika na kuuita mkusanyiko wao kwa jina la dharura wakati siku ile ndege ilipoanguka ndio ilikuwa dharura ila hawakujali wapo wapo tu.Ajali ilitokea lini? Hicho kikao cha dharura ndo kinaitishwa leo? Ingekuwa dharura kwanza asingeenda Misri badala yake angeitisha hicho kikao wakati huo.
MaCCM ndo yalivyo!
Mkuu yani yule KIJANA Mpiga kasia Ndiyo kaibeba sirikali, na vyombo vyake vyote. Ni aibu sana. Yaani ili wananchi waliolala wasiseme serikali kwa uzembe ule basi wameamua watoke na KIJANA yule mpiga kasia.media zote yeyeee !! Yaani mtumbwi nyenzo daraja la ngapi sijui ndy uokoe watu halafu sirikali isiwajibike wakati vyombo vyote vya uokozi vipo?? Nchi hii hatujapata viongozi makini kabsaa.Hii ishu sio ndogo kama watu wengi wanavyoichukulia. Nia aibu sana kwa Taifa.
Waziri Mkuu wangu sikusemi kwa ubaya ila unatakiwa uwe ngangari sana. Ni aibu sana kwa karne hii ndege inaanguka mita 100 kutoka airport unashindwa kuokoa watu. Tena inaangukia kwenye maji!
Na mnasimama kabisa majukwaani mnawasifu wavuvi kuokoa watu, kwa mtiririko wa matukio haionekani hata sehemu moja ambayo msaada ulitoka serekalini au airport wakati wa uokozi! Hii ni mbaya sana!
Kabla ya kutoka yeye alipaswa ajiuzulu boss wake
Lukuvi alikuwa anatosha hii wizara.13. Waziri wa aridh naye ni bomu