Rais Samia aitisha Baraza la Mawaziri kwa dharula, kujadili ajali ya ndege ya Precision

Rais Samia aitisha Baraza la Mawaziri kwa dharula, kujadili ajali ya ndege ya Precision

KWA statement hiyo!

The man is fired for real!

TOKA MAKTABA :

EDWARD LOWASSA MBUNGE WA MONDULI AJIUZULU UWAZIRI MKUU



kwa muhtasari:



1. Hahusiki lolote na sakata la Richmond na ndio sababu hata kamati ya Mwakyembe haikuona sababu ya kumhoji. Amesisitiza kuwa cheo cha uwaziri mkuu ndio ilikuwa lengo la kamati ya mwakyembe na spika wa bunge kipindi hicho Samwel Sitta. Amesisitiza hicho sio kikwazo kwake katika kuingia Ikulu kwani sakata la Richmond lilipikwa kumchafua. Amechukua muda mrefu kuzungumzia hili la Richmond na amesema atalisema zaidi Arusha wikendi hii.

2. Anaamini kila mtangaza nia ana makundi ya kumuunga mkono. Yeye katika mkutano huu na wahariri leo ameambatana na Nazir Karamagi, Peter serukamba, Diana chilolo, Hussein Bashe na wengineo huku wengi wakiwa ni waliojeruhiwa katika serikali ya awamu ya nne akiwemo Aliekuwa DC Igunga Elibariki Kingu. Pia aliyekuwa mkurugenzi wa HakiElimu Elizabeti Misoki naye alikuwepo. Amehoji kwani akina Karamagi wana tatizo gani na kwani wao sio binadamu?

3. Lengo kuu atakaloanza nalo ni Elimu na siyo Kilimo Kwanza cha serikali ya Rais Jakaya Kikwete. Amesema serikali ya JK ilikosea kuanza na kilimo na kuweka kando elimu. Ametangaza kuwa sera yake ni Elimu Kwanza.

4. Kuhusu pesa anasema anapata michango ya rafiki zake na ataendelea kupokea michango hii wakati wote wa harakati zake na haina madhara yotote.

5. Anasema hatahama CCM na asiyemtaka yeye CCM ndie aondoke ndani ya chama kwani yeye ana uhakika wa kupata nafasi kuwania Urais.

6. Hatalipa kisasi kwa lolote lililomtokea katika siasa. Amemwachia Mungu kwani yeye ni mcha Mungu.

7. Arusha itawaka moto tarehe 30 mwezi huu na kuwataka watanzania kutega sikio kwani ataanika kila jambo kuhusu mustakabali wa nchi hii na mipango yake ya kuiinua nchi kiuchumi katika miaka kumi ijayo. Lowassa: Nimeingia CCM tangu mwaka 1977. Maisha yangu yapo CCM; Mafanikio ilyopata CCM yasiifanye ikabweteka mwaka 2015; upinzani umeimarika.

8. Toka nimetoka Serikalini; tumekuwa wagumu wa kufanya maamuzi. Kila kitu ni legelege! Waganda, Wakenya na Wanyarwanda wanatupita!

9. Afya ni neema toka kwa Mungu: Nawahakikishia watanzania kuwa “am fit and kicking” nashauri watangaza nia wote tupimwe wote afya

10. Arusha itawaka moto tarehe 30 Mei 2015; Watanzania tegeni sikio kwani nitaanika kila kitu kuhusu mustakabali wa nchi hii!

Wahariri wakuu katika media zote kupitia Jukwaa la Wahariri walikuwepo. Absalom Kibanda (New Habari) na Nevil Meena (Free Media) ndio walikuwa waratibu wakuu wa mkutano huu.

  • Taarifa hii imetumwa na "Mwana Mpotevu" kwenye ukumbi wa majadiliano
 
Hii ishu sio ndogo kama watu wengi wanavyoichukulia. Nia aibu sana kwa Taifa.

Waziri Mkuu wangu sikusemi kwa ubaya ila unatakiwa uwe ngangari sana. Ni aibu sana kwa karne hii ndege inaanguka mita 100 kutoka airport unashindwa kuokoa watu. Tena inaangukia kwenye maji!

Na mnasimama kabisa majukwaani mnawasifu wavuvi kuokoa watu, kwa mtiririko wa matukio haionekani hata sehemu moja ambayo msaada ulitoka serekalini au airport wakati wa uokozi! Hii ni mbaya sana!
aibu naona mimi

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Wasubiri ripoti ya kitaalamu unless kama wanajadili juu ya uboreshaji wa namna ya kukabiliana na majanga.
 
Rais Samia Suluhu ameitisha kikao cha dharula na baraza la mawaziri kujadili ajali ya ndege ya precison iliyobeba uhai wa watu 19. Wakati ajali inatokea Rais Samia alikuwa nchini Misri.

Mara ya mwisho baraza la mawaziri kuitishwa kwa udharula huu ni miaka ya 90.

=====

President Samia Suluhu Hassan has convened an emergency meeting on November 14 in the capital Dodoma.

The meeting will involve cabinet ministers to discuss the Precision Air plane crash that claimed the lives of 19 people.

Samia was in Egypt immediately after the tragedy, meaning she didn't participate in the national funeral service.

The emergency meeting comes hot on the heels of calls from the public for government to be answerable for the lack of proper rescue strategy.

The last time such an emergency cabinet meeting was called by a president was in the 1990s, and it led to major changes.

An investigation into the plane crash is underway.

Citizen
Mita 100 toka kiwanja cha ndege! Hata kwa kutembea mwendo wa kijeshi ni dk 1-2 tu, lakini hawakuwepo ktk uokoaji. Kikosi cha uokoaji ndio inabidi kibebe lawama zote, na sijaona maelezo ya kiongozi wao wala waziri wao yanayotosheleza.

Rubani alijitahidi sana, kimsingi abiria karibu wote wangeweza kuokolewa. Kweli dhamani ya maisha haipo Tanzania. Tukio kama hili si la kwanza wala si la mwisho, UZEMBE WETU UNATUGHARIMU.
 
Rais Samia Suluhu ameitisha kikao cha dharula na baraza la mawaziri kujadili ajali ya ndege ya precison iliyobeba uhai wa watu 19. Wakati ajali inatokea Rais Samia alikuwa nchini Misri.

Mara ya mwisho baraza la mawaziri kuitishwa kwa udharula huu ni miaka ya 90.

=====

President Samia Suluhu Hassan has convened an emergency meeting on November 14 in the capital Dodoma.

The meeting will involve cabinet ministers to discuss the Precision Air plane crash that claimed the lives of 19 people.

Samia was in Egypt immediately after the tragedy, meaning she didn't participate in the national funeral service.

The emergency meeting comes hot on the heels of calls from the public for government to be answerable for the lack of proper rescue strategy.

The last time such an emergency cabinet meeting was called by a president was in the 1990s, and it led to major changes.

An investigation into the plane crash is underway.

Citizen
Kuna kiongozi anakuwa mbuzi WA kafara
 
Sidhani kama watakuja na la maana
Tena katika nchi ambayo viongozi huteuana kwa misingi kujuana! Badala ya sifa za mtu za kielimu, uadilifu wake, na pia uzoefu wake katika utendaji wa kazi!!

Kwa kweli hata mimi sitegemei kusikia tamko lenye uwajibikaji ndani yake.
 
IDARA YA MAAFA :

Ofisi ya Waziri Mkuu
https://www.pmo.go.tz › pages › dis...
PMO | Idara ya Uratibu wa Shughuli za Maafa

Receive, analyse and disseminate disaster emergency information from within and outside Tanzania;; Provide early warning of any foreseen disaster; ...

Idara ya Uratibu wa Shughuli za Maafa​

Objective
To rescue the Nation from disasters and emergencies.
Functions
This Division will perform the following functions:-
  • To coordinate disaster preparedness and responsiveness in the Country; and
  • To carry out rapid damage, needs assessment and recovery activities.
This Division will be led by a Director and will have three (3) Sections:-
  • Operations and Coordination Section;
  • Disaster Research Section; and
  • Emergency Operation and Communication Centre Section.
Operations and Coordination Section
This Section will perform the following activities:-
  • Prepare, co-ordinate and implement plans for disaster preparedness and response activities and monitor their implementation;
  • Co-ordinate MDAs and other stakeholders on disaster preparedness and response operations;
  • Develop strategies for resource mobilization, solicit funds and administer distribution and utilization of funds and relief supplies;
  • Conduct post disaster trauma; and
  • Account for funds, goods and services provided as relief for disaster victims.
This Section will be led by an Assistant Director.
Disaster Research Section
This Section will perform the following activities:-
  • Carry out research in areas that are prone to disasters in liaison with professionals and advise the Government;
  • Develop and implement strategies for mitigating disasters in prone areas;
  • Co-ordinate MDAs and other stakeholders on disaster preparedness;
  • Carry out damage and needs assessments and advise accordingly;
  • Collect and maintain data related to disasters for forecasting and early warnings and provide feedback to relevant authorities;
  • Provide mapping on hazards and vulnerabilities for risk management and provide feedback to relevant authorities;
  • Follow-up on global research trends on Disaster Management and advise accordingly; and
  • Plan and conduct public awareness on disasters.
This Section will be led by an Assistant Director.
Emergency Operation and Communication Centre Section
This Section will perform the following activities:-
  • Receive, analyse and disseminate disaster emergency information from within and outside Tanzania;
  • Provide early warning of any foreseen disaster;
  • Assess and monitor incident situation and advise accordingly;
  • Provide command and control of national disaster operations;
  • Develop protocols for managing operations of centre during impending and in emergency situation;
  • Coordinate and establish sub and visual operation centres; and
  • Coordinate and disseminate information concerning disaster issues.
This Section will be led by an Assistant Director
Source : PMO | Idara ya Uratibu wa Shughuli za Maafa
Ahsante sana mkuu

Tuletee na ya Wizara ya Mambo ya Ndani Jeshi la Zima moto na Uokoaji
 
Wajenge uwanja wa ndege wa maana Bukoba. Waache kuendekeza ukabila na chuki dhidi ya watu wa Kagera. Kauwanja ka ndege kamebana mji wote na kapo mjini katikati, wamelazimisha hadi kamegawanya mji katikati, huwezi kwenda upande mwingine mpaka uzunguke. This is shame.

Alafu baadae mnakuja kuwasema watu wa Kagera eti hawaleti maendeleo kwao. Kuna mkoa ambao wenyeji wake wamejenga uwanja wa ndege au stend, masoko, n.k?? Muache ubaguzi[emoji57][emoji57]
Wataujenga tu ule wa kajunguti...uliokataliwa na mwendazake...


Bukoba ni mbali na miji mingi mikubwa hivyo ujenzi wa uwanja wa ndege mkubwa ni necessary...unless hawataki nchi hii ipige hatua...


Naskia hata hizo air Tz hazipaswi kutua uwanjani hapo...maana zinapaswa kwa uwanja 2.3 km nakuendelea...

Bk airport ni 1.5km na hauwezi kupanuliwa zaidi maana mbele kuna mlima na huku ziwa...na bado upande wa ziwani kuna kisiwa kilichokaa kama mlima..

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Wakatuletea na muokoaji wa mchongo wakazidi kujidhalilisha wakidhani wanapata sifa. Ule usanii ni wa kijinga sana
 
Tena katika nchi ambayo viongozi huteuana kwa misingi kujuana! Badala ya sifa za mtu za kielimu, uadilifu wake, na pia uzoefu wake katika utendaji wa kazi!!

Kwa kweli hata mimi sitegemei kusikia tamko lenye uwajibikaji ndani yake.
Shujaa angeshatumbua kitambo

Sema hili swala lina mambo mengi
 
08 November 2022

Engineer Mstaafu wa viwanja vya ndege, Bennie Muberwa Mushumbushi, ushauri wangu haujafayiwa kazi kuhusu kiwanja cha ndege Bukoba.


Mhandisi mstaafu viwanja vya ndege, Bennie Muberwa Mushumbushi katika Clouds 360 kuzungumzia sababu za ajali na usalama katika viwanja vya ndege
Source : cloudsmedia

PONGEZI KWA CLOUDSMEDIA KUFANYA MAHOJIANO NA MHANDISI WA VIWANJA VYA NDEGE KIMATAIFA

Mhandisi mstaafu wa viwanja vya ndege aliyefanya kazi kimataifa ikiwamo shirika la kimataifa la anga ICAO , Bennie Muberwa Mushumbushi katika Clouds 360 kuzungumzia sababu za ajali na usalama katika viwanja vya ndege.

Andiko la mhandisi Bennie Muberwa Mushumbushi mwaka 2015 lilipendekeza .... pia suala la mazingira yanayozunguka airport ya Bukoba ikiwemo viwanda vya minofu vinavyovutia ndege -kiumbe

Andiko hilo liliwakilishwa wizarani (wizara ya Ujenzi) mwaka 2017 ili kuepukana na matatizo ambayo yangetokea kwenye uwanja ule. Mimi ni Mzaliwa wa kule (Bukoba) ili kuona kuna kiwanja kizuri cha ndege kwa sababu kuna abiria wengi Sana kule. Sikupata majibu mazuri lakini walipokea andiko langu na kusema watalifanyia kazi.

Kuna wakati nilijiuliza sana na nikasema nafanya tu huduma kwa sababu nina ujuzi wa hivi vitu na hili jambo linaendelea na hakuna mtu anayejali. Nilikwenda makao Makuu ya Chama CCM, Kagera"

"Nilitaka kuzungumza na Mwenyekiti wa CCM, Kagera alikuwa anasafiri alinipatia Msaidizi wake ili anisaidie tulieleza hali halisi ya uwanja wakasema wao sio wataalamu, wakaniuliza kama nililipeleka hilo jambo mkoani nikasema hapana!

"Nilikwenda kwa Katibu Tawala wa Mkoa (wakati ule) akasema pia na yeye ana wasiwasi juu ya huo uwanja na walishauona na hawajui wafanye nini. Nilipata nafasi ya kuongea na wabunge wawili wa mkoa wa Kagera. Hili suala hadi leo halijafanyiwa kazi" Engineer Mstaafu wa viwanja vya ndege, Bennie Muberwa Mushumbushi

Ndege ya Bombadier ya ATCL inahitaji urefu wa kilometa 2 kutua salama bila changamoto .....

Additional info and source :

13 November 2017

Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania - TAA

Uwanja wa ndege mjini Bukoba uliofanyiwa ukarabati wazinduliwa. Na mengi yamebainishwa kwa kirefu na viongozi wa juu wa TAA katika mahojiano haya exclusive

Source : Tekno Leo


1668366171644.png
 
Hii ishu sio ndogo kama watu wengi wanavyoichukulia. Nia aibu sana kwa Taifa.

Waziri Mkuu wangu sikusemi kwa ubaya ila unatakiwa uwe ngangari sana. Ni aibu sana kwa karne hii ndege inaanguka mita 100 kutoka airport unashindwa kuokoa watu. Tena inaangukia kwenye maji!

Na mnasimama kabisa majukwaani mnawasifu wavuvi kuokoa watu, kwa mtiririko wa matukio haionekani hata sehemu moja ambayo msaada ulitoka serekalini au airport wakati wa uokozi! Hii ni mbaya sana!
Tena muokoaji mvuvi shujaa anapewa pesa sawa na AFTATU
 

AirInsight
https://airinsight.com › Airlines
Engine woes ground most of Air Tanzania's Airbus A220s



2 days ago — Engine woes ground most of Air Tanzania's Airbus A220s. The airline notified customers that services are reduced due to .....

Hili la ndege zilizonuniliwa kwa cash muundo wa Airbus a220-300 za Air Tanzania kuwa na matatizo ya engine nalo lijadiliwe, maana linasababisha miruko / flight za ATCL kughairishwa mara kwa mara ...



Maneno mazito , serikali sikivu iyachukue na kuyafanyia kazi



The FAA released an Air Worthiness Directive 2019-19-11 requiring following actions on Pratt & Whitney Models PW1519G, PW1521G, PW1521GA, PW1524G, PW1525G, PW1521G-3, PW1524G-3, PW1525G-3, PW1919G, PW1921G, PW1922G, PW1923G, and PW1923G-A turbofan engines that have accumulated fewer than 300 flight cycles.

The FAA received reports of two recent IFSDs on PW PW1524G-3 model turbofan engines. The first IFSD occurred on July 25, 2019 and the second IFSD occurred on September 16, 2019. These IFSDs were due to failure of the LPC R1, which resulted in the LPC R1 releasing from the LPC case and damaging the engine. LPC rotor failures historically have released high-energy debris that has resulted in damage to engines and airplanes (see Advisory Circular (AC) 39-8, “Continued Airworthiness Assessments of Powerplant and Auxiliary Power Unit Installations of Transport Category Airplanes,”
READ MORE: rgl.faa.gov.
Swis wamezi ground hizo Ndege since 2019, CCM mkawa mnazirusha na huenda walikuwa hawajui, wame react juzi baada ya ajali ya Precision Air
 
Sa hapo watakuwa wanajadili nn wakati yale (ajali ya ndege) ni mambo ya kitaalam zaidi?!.
Kama hicho kikao kina posho itakuwa ni wizi tu kama wizi mwingine.
 
Back
Top Bottom