Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku huu (Mei, 08 2022) Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta

Waafrika tunapenda sana kula imagine kikao serious kama hicho kimejaa machupa na majuisi sijui makorosho kwani wangekula baada ya kumaliza ingekuwaje? Hatuko serious kabisa kila sehemu tunawaza kula kula hovyo tu.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Iz mambo za ajabu sana mchana royal tuwa, usiku kikao cha dharula kazi ipo
 

Umeongea kiustadi sana, na nikubaliane na wewe kwamba kuongoza nchi ni kazi sana na Kila maamuzi yana athari Kwa namba moja ama nyingine.

Lakini kama Hilo wanalijua, hakuna haja hata ya hicho kikao Cha dharura kama njia pekee ni kupunguza Kodi.

Kama every coin counts, wanakusanya pesa nyingi sana za tozo ambazo kimsingi hazikuwa kwenye bajeti. Na nikiri Hadi Sasa kama wananchi, hatupewi taarifa sahihi za matumizi ya hizo tozo.

Nnachotaka kusema ni kwamba, kuirusha kikao Cha dharura na kutoa maagizo tu bila kuwa na nia thabiti ya kutatua tatizo ni aina nyingine ya hadaa Kwa wananchi.

Kauli zao zimepelekea wafanyabiashara kupandisha Bei za bidhaa kama wanavyotaka. Hii yote inawaumiza wananchi.
 
Azi longi azi watu wote, wakijani, wanjano, wekundu, weupe, wadhambarau n.k wanapitia tanuru hilo hilo, waendeleze tu ujinga wao.

Zichukuliwe bara, wazenji wapunguziwe gharama za umeme, bei ya mafuta, mishahara ipande...kwamba bara uchumi wao ni mbovu kulinganisha na zenji

Jambo lenu lishakamilika, chekini na zenji
 
Kwani ni mara ya ngapi ana itisha hivi vikao?
Mwigulu kakomaa. Mafuta ya kula na bidhaa nyingine zina panda hovyo tuu. Hivi sasa sukari kilo 4000/ tuko kwenye royal tour. Mwigulu ana furajia anguko la Mama.
 
Huwezi kukusanya kodi toka kwa wafanyabiashara wanao kufadhiri mambo yako!! Ndio maana hawatoi orodha ya wafadhiri wa Royal Tour!
 

Watanzania tusipoweza kutofautisha Degree za university of Dar Es Salaam na za Open university Samia atatusumbua sana .​

 
Alisema Rais hakosei
 
Na mama'ko akafa kwa njaa kwa kuwa hukuweza kumpa kula yake? Na wewe ukasema mama'ko kafa kwa njaa kwa sababu vitu vimepanda bei, au siyo?
 
Hivi makamu yuko wapi mbona anakosa kwenye vikao muhimu Kama hichi..?
Isitoshe alishawahi kuwa waziri wa fedha,hivyo anaufahamu mzuri sana juu ya uchumi Sasa anakosaje kwenye swala Kama hili!
Kachoka, alikuwa kwenye Royal Tour
 
 

Attachments

  • IMG_0300.MP4
    2.2 MB
Basi wafikie maamuzi manake nchi hii sasa hivi kila mtu analalamika, wananchi wanalalamika, wabunge wanalalamika,waziri nishati ndio kabisa hata hajui afanye nini anaishia kulalamika na mh Rais tena sijui tusemeje manake yy anaona sawa mara aseme (vita ya Ukraine na Russia ,mara bei ya mafuta ya tz ni stahimilifu ukilinganisha na US) yaani yy mwenyewe hata haelewi afanye nini.

Wote wanalamika, sasa hapa ndipo Mwendazake anapo jichukuliaga points 3,hawa walio kuwepo ni mwendo wa kulalamika wanashindwa kufanya maamuzi sasa sijui wanamuogopa nani au kwenye issues ya mafuta kuna maslahi yao wana ya linda.
 
Kama boss wa TRA yupo,tutegemea kuondoa au kupunguza Kodi/ushuru wa forodha kwenye bidhaa za mafuta.Gharama ya mafuta (CIF value ya petrol) ni Kati ya Shs 1,680-Shs1,800,lakini kodi mbalimbali zinafikia Shs1,340.
Serikali ipunguze au iondoe baadhi ya kodi kwa kipindi hiki cha mpito.
 
Nchi hii sasa hivi kila mtu analalamika, wananchi wanalalamika, wabunge wanalalamika,waziri nishati ndio kabisa hata hajui afanye nini anaishia kulalamika na mh Rais tena sijui tusemeje manake yy anaona sawa mara aseme (vita ya Ukraine na Russia ,mara bei ya mafuta ya tz ni stahimilifu ukilinganisha na US) yaani yy mwenyewe hata haelewi afanye nini.

Wote wanalamika, sasa hapa ndipo Mwendazake anapo jichukuliaga points 3,hawa walio kuwepo ni mwendo wa kulalamika wanashindwa kufanya maamuzi sasa sijui wanamuogopa nani au kwenye issues ya mafuta kuna maslahi yao wana ya linda.
 
Sio kushuka...sema tutarajie bei ya mafuta kurudi kwenye bei yake ya awali...wakifikisha sh 1,500 kwa Lita apo ndo tutasema wameshusha
Anza kujitengenezea nishati yako mwenyewe ya bure, inatokana na haja kubwa yako unayoenda kila siku, usitegemee kushuka bei ya mafuta kuliko bei ya kununulia. Njia pekee ni kuzalisha yako tu. teknolia ipo tena nyepesi sana.

Kushusha bei ya mafuta usitegemee kuwa kutakuwa kukubwa, zitachomolewa tozo tu za hapo kwnye mafuta na kwenda kubandikwa kwengine. From direct taxation to indirect taxation.

Kutumai vitu ambavyo haviingii akilini bila kuwa na njia mbadala ni ujuha. Unatakiwa uwe na njia mbadala ya kuipata nishati.


Mimi nafurahi haya yanatokea kwa kuwa ndiyo yanayofungua ubunifu "necessity is the mother of invention". Pia yanafunguwa fursa " No problems No opportunities".

Kwa hiyo mwache mama na watendaji wake wachemshe bongo tuone watakuja na lipi jipya na sisi huku nje tuchemshe bongo tuone tutakuwa na ubunifu upi mpya.

Ahsante Sheikh Kipanya kwa kuonesha mfano.
 
Hili swala sio la Kichama hili ni la Kitaifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…