Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku huu (Mei, 08 2022) Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta

Asante kwa taarifa.
P
 
Huyu bibi hana haiba za uongozi wala maarifa.
 
Waafrika tunapenda sana kula imagine kikao serious kama hicho kimejaa machupa na majuisi sijui makorosho kwani wangekula baada ya kumaliza ingekuwaje? Hatuko serious kabisa kila sehemu tunawaza kula kula hovyo tu.
 
Waziri wa fedha ni Mwigulu Nchemba alafu unatarajia miracles.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…