UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Mp Lusinde alitishia kuingia mtaani kuandamana endapo serikali wasingechukua hatua; naona wameamua kuchukua hatua kabla kibajaji hajaingia barabarani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aikambe unajua Kiswahili!Dharura
Namashaka kama wa uwezo huo. Wangekua nao wasingekurupuka “this late in the game”Great..sio tu kushusha bei ya mafuta bali wabuni (actually Waige ) mbinu za kuweza kustabilize price za mafuta nchini on long run, sio wakisikia tu bei imepanda soko la dunia ndani ya masaa yameshapanda bei mpaka ushirombo 🤔 makampuni yote Makubwa ya mafuta duniani Total, BP, Shell yametangaza faida ya kutupa kutokana na price ya mafuta kupanda ghafla kutokana na speculations za ovyo.
LabdaKwa hiyo Vita imeisha?
Labda itakuwa tunataka kuzalisha mafuta nchini, JMakamba namuona pale.Kwa hiyo Vita imeisha?
Waafrika tunapenda sana kula imagine kikao serious kama hicho kimejaa machupa na majuisi sijui makorosho kwani wangekula baada ya kumaliza ingekuwaje? Hatuko serious kabisa kila sehemu tunawaza kula kula hovyo tu.
Na si ajabu wakala na kuvimbiwa na wakashindwa kuja na SULUHU la mfumuko wa Bei 😌
It looks like a dinner 🍽 party not an emergence meeting. Were they using napkins to take notes 📝???? Nothing serious can come out of a party at night...Kwamba imekuwa dharula usiku huu?
Alibaki JNCC anaangalia Royal Tour episode two...walikua wote kabla kwenye episode one whole dayHivi makamu yuko wapi mbona anakosa kwenye vikao muhimu Kama hichi..?
Isitoshe alishawahi kuwa waziri wa fedha,hivyo anaufahamu mzuri sana juu ya uchumi Sasa anakosaje kwenye swala Kama hili!
Nikajua amewaita ili kuangalia namna,, kumbe ni maagizo kama kawaidaRais Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo Mei 8, 2022 Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.
Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati ,January Makamba, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.
Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.
Mwananchi