Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku huu (Mei, 08 2022) Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta

Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku huu (Mei, 08 2022) Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta

Waafrika tunapenda sana kula imagine kikao serious kama hicho kimejaa machupa na majuisi sijui makorosho kwani wangekula baada ya kumaliza ingekuwaje? Hatuko serious kabisa kila sehemu tunawaza kula kula hovyo tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha ukoloni wewe.
Watu wapo kazini tunalaumu hata chakula!
Kwani ukila unaishiwa hoja?
Ni viongozi gani huwa hawali?
 
Acha ujinga,Kodi za dhuluma hasitakiwi sio tuu na mama bali na kiongozi yeyote..

Nachosema mimi ni kwamba Serikali haikusanyi Kodi inavyotakiwa kwa hiyo nitolee uchafu wa Mwendazake usoni kwangu.
Wewe ndiyo shida, nenda ulaya kama utapata bidhaa isiyo na kodi na hiyo kodi inakusanywa yoooote kwa sheria kali, nayo ni dhuluma????, nyie makataa vya dhuluma halafu kodi hamkusanyi kipi bora???Nonsense
 
Astaghfirullah,
Umekuwa kipofu na mwenye mahaba kiasi hicho!
Anza kujitengenezea nishati yako mwenyewe ya bure, inatokana na haja kubwa yako unayoenda kila siku, usitegemee kushuka bei ya mafuta kuliko bei ya kununulia. Njia pekee ni kuzalisha yako tu. teknolia ipo tena nyepesi sana.

Kushusha bei ya mafuta usitegemee kuwa kutakuwa kukubwa, zitachomolewa tozo tu za hapo kwnye mafuta na kwenda kubandikwa kwengine. From direct taxation to indirect taxation.

Kutumai vitu ambavyo haviingii akilini bila kuwa na njia mbadala ni ujuha. Unatakiwa uwe na njia mbadala ya kuipata nishati.


Mimi nafurahi haya yanatokea kwa kuwa ndiyo yanayofungua ubunifu "necessity is the mother of invention". Pia yanafunguwa fursa " No problems No opportunities".

Kwa hiyo mwache mama na watendaji wake wachemshe bongo tuone watakuja na lipi jipya na sisi huku nje tuchemshe bongo tuone tutakuwa na ubunifu upi mpya.

Ahsante Sheikh Kipanya kwa kuonesha mfano.
 
Ukimuona MTU hawatetei watu wa hali ya chini ujue huyo MTU hana dini yeyote ndani ya moyo wake !!! Ni opportunistic tu !!!

Uko 100% sawa, isitoshe hata Waislamu kama Wakristu wengi sana wanaumizwa na kupanda kwa gharama ya maisha, hivyo hana Dini kwa maana ya Falsafa ya Dini, kama ulivyoandika ni kama akina Zito tu, kutumia watu lkn matendo yao na Uislamu ni vitu viwili tofauti!
 
Sasa kila siku wanaitana na wanaagizana harafu hawaji na majibu..

Yaani kila mtu anaogopa lawama..

Mimi nawapa ufumbuzi,punguza Kodi na tozo kwa sh 400 harafu gap la kufidia mapato,TRA iendeshwe oparesheni ya kuhakikisha kila muuzaji anatoa risiti na kila mnunuzi anachukua risiti..

Wasiofanya hivyo ni faini na kupiga mnada bidhaa zao, mapato yako mengi Sana kwenye Bar,Migahawa,Guest House,madukani nk..mfano kuna mauziano ya mali yanafanyika daily ila hakuna anaelipa Kodi .

Kuendelea kuchekea watu wasiowajibika ila waanadai haki itawatokea puani.
Wewe hiyo suluhisho unayotoa ulikuwa unaipinga sana kipindi watu wanaisema humu hadi nikakudhania ni ka uvccm kalikoweka akili pembeni na kubaki kijani tu kichwani! Ulidai serikali itoe kodi halafu nchi itapata wapi mapato? Au ndo zile za kumpenda mama had kupitiliza so umeona kikao cha ghafla ukajua mawazo yako ya awali hayana maana?
 
Rais Samia ameitisha kikao ikulu udiku huu kujadili kupanda kwa bei ya mafuta , huku kikao hiko kikihudhuriwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Nishati January Makamba, Kamishna Mkuu wa TRA Alphayo Kidata na wajumbe wengineo

Tutarajie tamko la namna gani baada ya kikao hiko ndugu mdau wa jamii forums?

=======

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo tarehe 08 Mei Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.

Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati January Makamba, Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.

Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.

View attachment 2217468
Bei za mafuta zilivyonivuruga sijamtambua hata mmojawao kwenye hiyo picha naona chupa za chai tu, pengine kwa sababu picha ilipigwa usiku kwa dharura kwenye kikao cha dharura.
 
Kauli zipi? Mimi naona wewe ndiye uliyefeli.

Mama anachapa kazi nyinyi mnapayuka. Unafikiri nchi inalala hata Rais ashindwe kuitisha kikao usiku? Wewe una information alizonazo yeye? Alikuita wewe au kawaita watendaji wake, fikiri kabla hujapayuka hovyo.
Siku udini (hizi za kuletewa na watawala wa kikoloni) ukikuisha na kuanza kuujua ubinadamu utainjoi maisha. Kwa sasa endelea kutafakari ya kuwa Mungu anampenda mtu yeyote hata asiye na dini ila mwenye kutenda mema au anapenda wa dini flani flani tu? Ukilijua hilo basi rudi na tafakari za mambo ya kidunia
 
Wewe hiyo suluhisho unayotoa ulikuwa unaipinga sana kipindi watu wanaisema humu hadi nikakudhania ni ka uvccm kalikoweka akili pembeni na kubaki kijani tu kichwani! Ulidai serikali itoe kodi halafu nchi itapata wapi mapato? Au ndo zile za kumpenda mama had kupitiliza so umeona kikao cha ghafla ukajua mawazo yako ya awali hayana maana?
Kwanza sijaacha kupinga hiyo suluhisho ila tuu serikali itoe njia mbadala wa kufidia mapato yatakapotea vinginevyo hakuna haja ya kufuta Kodi hasa zinazoenda kwenye barabara moja kwa moja..

Na nadhani pia serikali itaelewa hili,Bora ifute excise duty na tozo zingine lakini zinazoenda Road fund/Tanroads na Tarura zisiguswe.
 
Wewe ndiyo shida, nenda ulaya kama utapata bidhaa isiyo na kodi na hiyo kodi inakusanywa yoooote kwa sheria kali, nayo ni dhuluma????, nyie makataa vya dhuluma halafu kodi hamkusanyi kipi bora???Nonsense
Wewe ni mjinga,nani kasema wasikusanyw Kodi? Nachosema kubambikiana Kodi sijui kufungia biashara na kupora pesa ,hivi ni vitu vya kipumbavu vilikuwa vinafanywa na awamu ya 5..

Hizi ni dhuluma na zinatakiwa kutotendwka tena.Ila Kodi zikusanywe kwa mujibu wa sheria na kila mtu alipe Kodi,atakayekiuka sheria kali zichukuliwe..

Tafuta utakuna nimeanzisha nyuzi nyingi Sana za kuitaka serikali ikusanye Kodi.
 
Hilo unalisema wewe. Hamna pakuhujumu zaidi ya maneno ya kijinga tu. Tunawafahamu, mlikuwa hivihivi wakati wa Mwinyi, mkayarudia tena wakati wa Kikwete na mtaendelea nayo kila ataposhika Muislam. Mwiso wa siku tukilinganisha tunaona kuwa hakuna viongozi bora wa nchi hii zaidi ya Waislaam.
Hapa ndo akili zako huwa zinakutoka. Yaani unaona kama dini ulianzisha wewe na inakuingizia kipato hivyo hutaki ikufie. Eti hakuna viongozi bora wa nchi hii zaidi ya waislamu, naanza kumuona J.K. Nyerere ni kwa nini alikataa kabisa kuongelea udini 😂😂
 
Kaka hujapata maono kuwa nini itatokea?[emoji28]
Nilipata siku nyingi. na nikaandika Hadi makala imo humu, Serikali itatoa ruzuku na kushusha bei ya mafuta

P
 
Serikali ilipewa muda wa siku 5 kutoa jibu. Watakuwa wanaandaa majibu ya kumfikishia Tulia.

Wanaandaa majibu ya jumla sio kwa kumuogopa Tulia na bunge lake kibogoyo.
 
Tuanzie kwa Mwinyi.

Huelewi kwanini alipewa jina Rukhsa?

Tuje kwa Kikwete, huelewi kuwa ndiye aliyejenga mabarabara yote makubwa ya mikoani? Huelewi kuwa kabla ya kuja kwake ukitokea Dar kwenda Kagera au Mwanza ilikuwa mpaka upite Kenya kwanza?

Unaonesha u kijana mdogo sana na huelewi nchi hii imetokea wapi.
Ko ukipewa jina rukhsa ndo umefanya makubwa? 😂 huyu nae utasema ye ni royal tour ko kafanya makubwa. Ila waliofungua uwekezaji huna habari nao!! Waliopambania uhuru wa nchi hiina nchi zingine hawana la maana.
 
Back
Top Bottom