wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Kweli Aisee Walimu wengi wana upeo mdogo maana Magufuli mwenyewe alishakua ni Mwl na upeo wake tuliouona ulivyokua hafifu.Nipo
Ila umeelewa vizuri hapo kilichoandikwa? Maana najua walimu wengi upeo ni mdogo
Hebu nisaidieni kwa mnaojua kukokotoa hizo asilimia. Kwa mfano mwenye basic salary ya 940, 000/= hiyo aailimia 23 ndio inakuwa sh. ngapi?
Mwaka jana waliongeza kima cha chini kutoka 170,000/= mpaka 270,000/= lakini wale wa juu hatukuguswa.Una elimu gani mkuu?? Kwahiyo aliyekuwa analipwa 330000 mwanzoni ataendelea kulipwa hivyo kwa akili yako?
Nyongeza ya mishahara inasetiwa kwa kima cha chini ili kubalance kule juu, hivyo nyongeza ya kima cha chini maana yake unawasogeza wengine juu zaidi.
Mchawi si lazima aruke na ungoSioni sababu ya kitaalamu ya kuonheza mishahara kwa wafanyakazi wa umma.
Serikali unatakiwa kujikita kupandisha thamani ya shilingi ya Tanzania ili pesa inayo patikana kwa wananchi kwa ujumla wao iweze kukidhi mahitaji yao ya kila siku.
Kuoambana na mufumko wa bei ya bidhaa na huduma mbalimbali.
Upo ushahidi kila mshahara unapo panda bidhaa hupanda bei .
Hivyo inawaumiza wale wasio na mshahara wa mwezi Bali ni wahangaikaji wa vibarua visivyo rasimi.
Hapa tupate ufafanuzi maafisa rasilimali watuHii 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa Watumishi wa Umma? Ina maana gani hasa? Msishangilie kwa hili
Huyu Jane Lowassa ni mjinga na hajielewi, achana naye...Kila mtu akijiajiri nani atafundisha watoto wako utakaowazaa? Vp kuhusu polisi watakaolinda biashara yako uliyojiajiri?
Ndio unajua leo, Tz imejaa akili ndogo nyingi.Kwenye huu uzi nimetambua watz wengi akili ndogo kama kisoda.
Hiki ndo kima cha chini cha mshahara!??Hebu nisaidieni kwa mnaojua kukokotoa hizo asilimia. Kwa mfano mwenye basic salary ya 940, 000/= hiyo aailimia 23 ndio inakuwa sh. ngapi?
Sekta binafsi output yako itafanya uongezewe mshahara au ubaki kama ulivyo, huko serikalini wao wanaongezwa tu, vigezo nadhani ni "kupanda kwa gharama za maisha". No wonder watu wengi wanapigania ajira za serikali ili "wakapumzike".Sekta binafsi ili uongezewe mshahara inabidi uongezewe kazi, ila serikalini mtu anaongezewa mshahara bila kuongezewa kazi?
kwenye chapisho kumeandikwa IKIWEMO KIMA CHA CHINI kwa 23.3% hii umeelewa vipi!?.Je wewe ni mtumishi wa serikali? Maana kuongeza asilimia za mshahara kwa kima cha chini hakujaanza mwaka huu.
Kumbuka hata kwenye kodi ilipunguzwa kwa wenye kima cha chini ikawa asilimia 8 kwa wenye kima vha chini kama sijakosea wakati ambao hawapo kwenye kima cha chini wanalipa zaidi ya hapo.
Hivyo wanapotumia kima cha chini wana sababu zao za kimahesabu. Hii 23% sio flat rate na utakuja kukiri mwenye hapa.
Kubisha mie siwezi.
Okay...Haiwezi ikawa hivyo mkuu - hilo ni ongezeko la jumla na ndio maana inahitajika kujua mtu anafall kweye tax band gani ili kuwa na specific % increase, although wa chini watapata ongezeko kubwa mana kodi ni ndogo... Ngoja tupate jedwali la kodi na jinsi walivyoainisha kwanza, ni mapema kucalculate hivyo.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Haijawekwa wazi, ndio maana mjadala na kubishana kumekuwa kwingi.Mwenye basic ya 940000 hapo anapata ngapi
Mungu abariki ofisi ya Rais na Rais Mwenye, Chadema msiniulize kusifia na kukosoa ni hiari na haki binafsi, SSH ni kiboko ya Mwenye roho mbayaMhe. Rais Samia Suluhu Hassan akubali ongezeko la 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma.
View attachment 2224213View attachment 2224214
Gharama za maisha hazipungui kwa kupunguza uwezo wa raia wako kufanya manunuzi tu.Ukiongeza mishahara unavutia ongezeko la gharama za maisha.
Hapa tulipo tayari gharama za maisha zipo juu bado tunaongeza mishahara mambo yanazidi kuwa magumu zaidi.
Halafu unapoongeza mishahara ina maana kuna pato la ziada.
Je hilo pato la ziada lipoo?? Au tunafanya siasa tu wakati hali hairuhusu.
Unachukua hiyo basic salary yako unatoa kima cha chini ambacho nafikiri ni 270,000 then unatafuta 23 %ya pesa iliyobaki.Hebu nisaidieni kwa mnaojua kukokotoa hizo asilimia. Kwa mfano mwenye basic salary ya 940, 000/= hiyo aailimia 23 ndio inakuwa sh. ngapi?