ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Hii ni kwa kima cha chini.Hebu nisaidieni kwa mnaojua kukokotoa hizo asilimia. Kwa mfano mwenye basic salary ya 940, 000/= hiyo aailimia 23 ndio inakuwa sh. ngapi?
Maelezo Sahihi kabisa kuhusu division of labour.Huyu Jane Lowassa ni mjinga na hajielewi, achana naye...
Hajui kuwa mtu hupata mahitaji yake muhimu ya kila siku i.e chakula, mavazi, malazi (mahali pa kuishi/kulala) nk nk kwa KUFANYA KAZI. Kazi yaweza kuwa ya kujiajiri au kuajiriwa na mtu, taasisi, shirika au serikali ...
Duniani kote na nchi yoyote kuna mgawanyo wa kazi (DIVISION OF LABOUR). Haiwezekani kila mtu ajiajiri na kuwa mfanyabiashara, machinga nk nk..
By the way, hata uwe mfanyabiashara uliyejiajiri mwisho wa siku utahitaji wafanyakazi kukusaidia kazi zako ambao ni lazima uwalipe mshahara...!
Jane Lowassa, suppose kila mtu angekuwa kwenye duka/biashara yake "aliyojiajiri (kama usemavyo), nani sasa angekuwa mhasibu wake? Dereva wake? Mbeba mzigo wake? nk nk
Duniani, binadamu wote tunaishi kwa kutegemeana...
Mfanyabishara aliyejiari kama wewe Jane Lowassa unamhitaji nesi, daktari, dereva wa gari yako, mwalimu afundishe watoto wako shule, msukuma mkokoteni abebe bidhaa zako nk nk..
Si hivyo tu, bali mfanyakazi huyu mwalimu, askari polisi au jeshi, daktari, Mtendaji wa kijiji, dereva, mkatisha tiketi, mwendesha mitambo kiwandani nk nk wanapopata mishahara yao mwisho wa siku wanampelekea mfanyabiashara au mtoa huduma aliyejiajiri in exchange with goods/services...
Jane Lowassa, asikudanganye mtu. Waliojiajiri/wafanyabishara wenye akili huomba na kupigana kufa na kupona kuhakikisha mfanyakazi ana mshahara kila mwezi au kila siku tena ulioboreshwa ili wawe na uwezo kununua bidhaa au huduma zao...
Ni mfanyabishara aliyejiari mjinga pekee anayeweza kuwaponda na kuwaombea wafanyakazi na wakulima mabaya maana hiyo inakuwa ni chanzo cha kudoda kwa bidhaa au huduma zao...!!
Jane Lowassa mpaka hapo umeelewa? Au bado uko gizani?
Nyongeza kwa level zote! kuanzia kima ha chiniHata sekta binafsi au inahusu serikalini tu?
Wengi humu ndani ni vijana so wanahisi hilo la 33% litaendelea kuboreshwaWengi mnajadili hiyo 23.3% mbona hamuangalii hiyo mkupuo 33% au hilo mmeshalisahau. Hilo lingeangaliwa kwa jicho la pili mjadala ungependeza.
Hapa sasa umeongea mkuu, lazima iwe balanced.Hapo umezungumzia chumi mbili tofauti.
Ile ya serikali kuwa na pesa na ile ya wananchi kuwa na pesa.
Ni jambo la kuamua.
Tofauti ya Samia na Magufuli ndio hii.
Samia ameamua kuwapa pesa wananchi na Magufuli yeye aliamua Serikali ndio iwe na pesa.
Sada hapo kila chumi ina faida na hasara.
Lakini mwisho wa siku mwananchi anapaswa kunufaika na serikali pia kufanya mambo ya maendeleo hilo lazima liwe balanced.
Kwanza hapo 23.3% sio 38000/= ni 46,600/= na pia haiwezekani kuongeza asilimia kwa kima cha chini cha mshahara bila kugusa mshahara wa kima cha juu kwa yeyote anayestahili, kwa mfano aliyetumikia cheo chake kwa miaka mingi.Huyo hajaelewa! Hapo hawajaongeza mshahara kwa asilimia 23.3%! Serikali imekubali ongezeko la mshahara kwa 23.3% kwa kila cha chini! Maana yake kwamba kama kila cha chini kilikuwa lakini mbili(200,00) inamaa itaongeza 23.3% kwa kimya hicho cha chini na kuwa kama 238,000/,=kwa maana hiyo 38,000/= ndo ongezeko kwa nagzi hiyo ya chini si kwa ngazi nyingine! Sio kuwa mshahara umepanda kwa asilimia 23.3% kwa wafanya kazi wote hapana!
Vipande mara ngapi?Mshahara ukipanda bidhaa zote nazo zitapanda, tusisikie watu wakilialia vitu kupanda bei.
Usiwaamini wanasiasa! Ndo maana hajaweka wazi kwa watu tofauti na kima cha chini!Ongezeko la trilion 1.9 ni nyingi sana, itakuwa wafanyakazi wote.
Iyo 60k ilioongezeka...toa na Makato ndo utapata take home kilichoongezeka....ambacho ni kidogo ukilinganisha na gharama za maisha kwa sasaHakuna mtu anakufuru boss! Ila tunachojiuliza kama gharama zimependa ongezeko litaleta impact kidogo sana! Mfano imeongezeka 60,000 kwenye mshahara wako hapo impact yake ni kubwa kiasi gani?
OFF COURSE WOTE WAAJIRIWA WOTE WATAPATA NYONGEZA HII ILA "DIMINISHING RATE UP WARDS" ( SAMAHANI SIJUI VEMA KISWAHILI CHAKE ....ILA NI HIVI MWENYE MSHAHARA GHAFI WA 270,000/= AKIONGEZEWA 23.3%, ANAYEFUATA WA 320,000 ATAPATA NYONGEZA YA CHINI KATI YAKE NA ALIYEMFUATIA KWA TOFAUTI YA 5% AU ZAIDI KULINGANA NA MAAMUZI ( NA FEDHA ILIYOTOLEWA )Tatizo hakuna ufafanuzi hapo! Ongezeko la asiliamia 23.3%la kila cha chini cha msharana! Sio ongezeko la mshahara kwa asilimia 23.3%! Hapo tuelewane kwanza ndo tuweze kuongea zaidi hapo ni jambo zuri!
Ongezeko kwa level zote kuanzia kima cha chini!Ni kwa walio kima Cha chini (270k)
Ok!OFF COURSE WOTE WAAJIRIWA WOTE WATAPATA NYONGEZA HII ILA "DIMINISHING RATE UP WARDS" ( SAMAHANI SIJUI VEMA KISWAHILI CHAKE ....ILA NI HIVI MWENYE MSHAHARA GHAFI WA 270,000/= AKIONGEZEWA 23.3%, ANAYEFUATA WA 320,000 ATAPATA NYONGEZA YA CHINI KATI YAKE NA ALIYEMFUATIA KWA TOFAUTI YA 5% AU ZAIDI KULINGANA NA MAAMUZI ( NA FEDHA ILIYOTOLEWA )
....HIVYO ATAPATA NYONGEZA YA 23.3% PUNGUZA 5% AU ZAIDI = 18.3 %AU CHINI YA 18.3 % ...
ITAENDA HIVI KWA KWENDA KIMA CHA JUU HADI TUIKUTE 0.001%. LIMIT
We jamaa fa.la sana daah😁😁😁,hii tusi naamini umemvurugia sikuUmejaza mavi kichwani na ni kheri Babako angepiga NYETO.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]We jamaa fa.la sana daah[emoji16][emoji16][emoji16],hii tusi naamini umemvurugia siku
Jifunze kushukuru.Kwa miaka 8 bila nyongeza ilitakiwa iwe asilimia 80.
Kushkuru sawa! Ila hamna impact yeyote! Kikubwa kila mtu afikirie nje ya box mambo ya kutegemea ongezeko la sh.40,000/= humu unapiga makofi ni kupoteza akili!Jifunze kushukuru.