Rais Samia akubali ongezeko la asilimia 23.3 kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma

Maelezo Sahihi kabisa kuhusu division of labour.
 
Hapa sasa umeongea mkuu, lazima iwe balanced.

Wananchi wakiitwa kuchanga michango ya mitaro barabarani na serikali ya mtaa wasishindwe kwa sababu ya umasikini na serikali isishindwe kufanya mambo yake muhimu ikategemea matajiri. NAKUBALIANA NA WEWE KABISAAAA.
 
Kwanza hapo 23.3% sio 38000/= ni 46,600/= na pia haiwezekani kuongeza asilimia kwa kima cha chini cha mshahara bila kugusa mshahara wa kima cha juu kwa yeyote anayestahili, kwa mfano aliyetumikia cheo chake kwa miaka mingi.
 
Hakuna mtu anakufuru boss! Ila tunachojiuliza kama gharama zimependa ongezeko litaleta impact kidogo sana! Mfano imeongezeka 60,000 kwenye mshahara wako hapo impact yake ni kubwa kiasi gani?
Iyo 60k ilioongezeka...toa na Makato ndo utapata take home kilichoongezeka....ambacho ni kidogo ukilinganisha na gharama za maisha kwa sasa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo hakuna ufafanuzi hapo! Ongezeko la asiliamia 23.3%la kila cha chini cha msharana! Sio ongezeko la mshahara kwa asilimia 23.3%! Hapo tuelewane kwanza ndo tuweze kuongea zaidi hapo ni jambo zuri!
OFF COURSE WOTE WAAJIRIWA WOTE WATAPATA NYONGEZA HII ILA "DIMINISHING RATE UP WARDS" ( SAMAHANI SIJUI VEMA KISWAHILI CHAKE ....ILA NI HIVI MWENYE MSHAHARA GHAFI WA 270,000/= AKIONGEZEWA 23.3%, ANAYEFUATA WA 320,000 ATAPATA NYONGEZA YA CHINI KATI YAKE NA ALIYEMFUATIA KWA TOFAUTI YA 5% AU ZAIDI KULINGANA NA MAAMUZI ( NA FEDHA ILIYOTOLEWA )
....HIVYO ATAPATA NYONGEZA YA 23.3% PUNGUZA 5% AU ZAIDI = 18.3 %AU CHINI YA 18.3 % ...
ITAENDA HIVI KWA KWENDA KIMA CHA JUU HADI TUIKUTE 0.001%. LIMIT
 
Kabla ya kusema lolote naomba mtaalam yeyote aeleze maana ya23% kima cha chini. Hii 23% itaenda kwa kima cha kati au juu au hao hawaongezewi maana wananchi mtaani wanajua kila mtu anaongezewa 23%. Yaani kama mtu analipwa milioni 10 anaongezwea 23% yake
 
Ok!
 
Hapo nimeongea na mtumishi mmoja wa umma anasema hiyo nyongeza ya 23% ipo hivi.
Kama Kima cha chini cha mshahara ni laki tatu itakuwa hivi
300,000 × 0.23 = 69,000.
Kwa hiyo watumishi wote wa serikali wataongezewa 69,000 kwenye mishahara yao.
Kwa aliyekuwa analipwa
500,000+ 69,000 =569,000
600,000+69,000=669,000
700,000+69,000=769,000
1,000,000+69,000=1,069,000
Hivyo hivyo kwa mishahara ya ngazi zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…