Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa kitaalamu watu wanahisi hiyo 23% itaongezeka kwenye mishahara yao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukishapandisha Kima cha chini automatically wote wanapanda. Mshahara Ni haki ya kila mfanyakazi
Kuajiriwa karibuni haimaanishi unalipwa kima Cha chini. Kima Cha chini Ni aina ya kazi uliyonayo na elimuHìi itakuwa ni kima cha chini, yaani kwa walio ajiriwa hivi karibuni.
Povu la nini dada? Kwamba walioajiriwa wana dhambi sana au?Mnaacha kujiajiri mnahangaika kuwa watumwa serilalini. Halafu mnashangilia nyongeza ya kimshahara wakati maisha nayo yanapanda. Mindless
Kidogo watapandishwa madaraja na ni kww baadhi, ngoja washangilie..Nashangaa mijitu inashangilia. Inamaana kuwa wale wenye mishahara ya laki mbili wataongezewa hiyo asilimia ila wenye mishahara mingine hakuna nyongeza
Watu mnakufuru! Mlikaa miaka saba bila hata senti kuongezwa..Hata mimi naunga mkono ila ongezeko pia liendane na kushusha inflation maana mwisho wa siku unaweza kuongezeka elfu 80,000/= kwenye mshahara wako ambayo haitaleta impact yeyote kama maisha yataendelea kupanda!
Barua inasema "ikiwemo" haijasema ni wa kima cha chini tuHìi itakuwa ni kima cha chini, yaani kwa walio ajiriwa hivi karibuni.
Usisahau kuangalia pia kikokotoo kule chini..mafao ya mkupuo ni asilimia 30 kwa wale wanao staafu.For sure Mama amefanya kitu kikubwa sana, kwa watumishi.
Long Live SASHA.🙏💪🤝
23% ni AGGREGATE BUDGET YA 2022/2023 so hiyo nyongeza itategemea na mshahara wako.Kwenye hilo kanifurahisha ila akimuachia sabaya ataifuta hiyo furaha yng
Kwamba kwa mfano aliekua anapokea 200,000 sasa atapokea 280,000 JE ALIYEKUA ANAPOKEA 280,000 ataendelea kupokea 280,000 ?!Ni kwa wafanyakazi wenye mshahara wa kima cha chini tu.
Soma vizuri hii statement ya ikuluMm ni mtumishi mzee, kwa taarifa yako hata walipopunguza kodi kuwa 8% effect unaiona kwenye mshahara wako. Kama mtumishi hukuona kuna nyongeza ya elfu kadhaa ya pesa imeongezeka kwako??
Tumpongeze mama
Hakuna mtu anakufuru boss! Ila tunachojiuliza kama gharama zimependa ongezeko litaleta impact kidogo sana! Mfano imeongezeka 60,000 kwenye mshahara wako hapo impact yake ni kubwa kiasi gani?Watu mnakufuru! Mlikaa miaka saba bila hata senti kuongezwa..
Namba 1 ndio jibu sahihiAfadhali wewe umeliona hilo. Unless otherwise mwandishi naye kiswahili kwake ni taabu, Lakini tafsiri ya aya ya kwanza ni hii.
1. Rais amekubali kuongeza mshahara kwa kiasi ambacho bado hakijawekwa wazi na ameongeza pia kima Cha chini kwa 23.3/%
2. Rasi amekubali kuongeza mshahara kwa 23.3% na kima Cha chini kwa 23.3%.
Hebu soma ikulu wao walivyopost, then tujue Kama nao wamekoseaBarua inasema "ikiwemo" haijasema ni wa kima cha chini tu