Chikuvi2021
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 491
- 551
Hongera Sana Mheshimiwa Raisi,unaupiga mwingi,unatekeleza Miradi ya Maendeleo na kuangalia masilahi ya watumishi.
Hongera Sana mama, wewe hujasubiri Miradi ikamilike ndiyo upandishe mishahara.
Mama Wastaafu hujawasahau,umeridhia kikokotoo kilichopendekezwa na tucta wakati wa Mei mosi 2022.
Utekelezaji
1.Watumishi wa Serikali kada ya operation na mikataba walikuwa wanachangia mfuko wa NSSF,na NSSF wao walisha-adopt kikokotoa cha 25% kinyemela kabla watumishi wa Serikali wanaochangia PSSSF kugomea kikokotoa cha 25%' kwa malipo ya mkupuo mmoja.
2.watumishi wa Serikali waliolipwa wanaochangia PSPF wamekuwa wanalipwa malipo ya mkupuo ya asilimia 50.
Ushauri
1. Kikokotoo Cha asilimia 33 kitumike kwa watumishi wote wa Serikali regardless ulichangia mfuko gani
2.Kwa watumishi wa Serikali waliolipwa 25 mfuko wa NSSF iwalipe tofauti.
3.kama ikikupendeza watumishi wa sekta binafsi na Serikali wawe wanalipwa kwa kikokotoo kimoja kwa mifuko yote miwili.
Hongera Sana mama, wewe hujasubiri Miradi ikamilike ndiyo upandishe mishahara.
Mama Wastaafu hujawasahau,umeridhia kikokotoo kilichopendekezwa na tucta wakati wa Mei mosi 2022.
Utekelezaji
1.Watumishi wa Serikali kada ya operation na mikataba walikuwa wanachangia mfuko wa NSSF,na NSSF wao walisha-adopt kikokotoa cha 25% kinyemela kabla watumishi wa Serikali wanaochangia PSSSF kugomea kikokotoa cha 25%' kwa malipo ya mkupuo mmoja.
2.watumishi wa Serikali waliolipwa wanaochangia PSPF wamekuwa wanalipwa malipo ya mkupuo ya asilimia 50.
Ushauri
1. Kikokotoo Cha asilimia 33 kitumike kwa watumishi wote wa Serikali regardless ulichangia mfuko gani
2.Kwa watumishi wa Serikali waliolipwa 25 mfuko wa NSSF iwalipe tofauti.
3.kama ikikupendeza watumishi wa sekta binafsi na Serikali wawe wanalipwa kwa kikokotoo kimoja kwa mifuko yote miwili.