Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Catholic = UniversalYeeeh bhaghosha!!!! Kanisa linaitwa jina la kabila/ mji!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Catholic = UniversalYeeeh bhaghosha!!!! Kanisa linaitwa jina la kabila/ mji!!!!
"Wewe ndiye Petro,Na juu ya jiwe hili nitalijenga kanisa langu"Nipe evidence, imeandikwa wapi?
Lakini limeacha ukweli wa biblia linafundisha mapokeo.Yesu alitabili mbwa mwitu wataingia kundini na kulivuluga kanisa ndiyo matokeo ya kuibuka kwa UProtestant Rafiki fikilia vizuri na jinfunze usikae ndani ya boxKanisa ni moja tu katoliki Takatifu na la Mitume
Umeandika Pumba tupuKanisa katoliki halijaweza kabisa kutuletea viongozi watenda haki,wenye upendo na kujali maisha na utu wa watu!! Ukiacha hawa wadogo tizama yule wa awamu yakwanza,yatatu na tano!! Watu tumeteseka mmmno na kanisa halikukemea bali kusifu!
Kanisa hili huwa linajali sana pesa na miradi,kufukuza/kutenga wanaokosea,kutosamehe na ukali usiostahili,kujipa utakatifu usio wakweli,usomi feki na viongoz wa kutooa/kuolewa huku kadhaa wakimega megana kisela nk. nk.
Hawastahili kukosoa kosoa madoa serikalini maana wao wanamidoa sugu!!
ooh kwahiyo petro ndiyo badala ya Yesu? nilidhani kanisa linajengwa juu ya msingi ambae ni yesu kristo kumbe limejengwa juu ya mwandamu petro! Ukristo hovyo kabisa huo bora kuwa mpagani tu"Wewe ndiye Petro,Na juu ya jiwe hili nitalijenga kanisa langu"
Lakini hili ni roman catholic siyo lile la mitume! yesu alicha kanisa lake safi kabisa hili lilingiliwaCatholic = Universal
Amen abarikiwe mileleMungu mbariki mama Samia
Jiwe la pembeni lililowashinda waashi.Msemakweli ni mpenzi wa Mungu..
Lazima niwaambie ukweli ndugu zangu..
Pumba za maindi au? Sema pumba nazo zinabei sikuizi,kauze upige ela mang'aa nmekupa za USO unapanicUmeandika Pumba tupu
Hakuwa Mkristo bali aliingia kanisani kupiga picha.Yule kwa Imani ya kikristo alipaswa KUTENGWA.
Walimheshimu usoni rohoni hawakuwa pamoja naye,Sifa ya viongozi wa dini waliosoma phylosoph huwa hawabishani kwa mtu asiyeshaulika.
Wangelazimisha angeua wengi kwa siri kupitia mamlaka.
Fikiri leo SAMIA kapewa risala nzito,then kikao cha ndani(siri) na maaskofu.
"YULE ALIKUWA MUUMINI KAIDI"kwa mwavuli wa Amani