Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,839
Yesu siyo 'yesu'!Ilitafsiriwa na nani kuwa Samia hataki kumsifu yesu kwa salamu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu siyo 'yesu'!Ilitafsiriwa na nani kuwa Samia hataki kumsifu yesu kwa salamu?
Kazi iendelee!WAFIA DINI MNATUZINGUA KUBABEKI ZENU
Issa Alayhi ssalaamYesu siyo 'yesu'!
Unabishana na mimi au unabishana na "maandiko"?We nae mbona MNA visasi hivyo. Hakuna aliyemuona Mungu yaani mnapenda kuhukumu kweli. Yaani Mimi walokole ndo wanaponichoshàga hapo. Hamuombeagi toba kwa sababu mnajua bibilia basis kazi yenu ni kuwanyooshea wenzeni vidole hawako safi.
Hebu kama mtu asiye na dhambi awe Wa kwanza kumpiga huyu mama anayetuhumiwa uzizni Yesu alisema
Sasa nyie asilimia kubwa mnashikiliwa kwenye uzinzi uliopitiliza hebu ombeni toba maana hakuna watu wenye maisha ya KINAFKI kama nyie walokole mnamaisha ya ucku mwimgi
Wakatoliki sio waromaniSasa kama mama ameweza kukutana na waromani bila mtu wa katikati, kwanini wanalazimisha cdm wapeleke hoja zao kwa Shibuda, kabla ya kuzipeleka kwa rais?
Samia tupe katiba mpya . Na Mungu atakupa pepo yake amrikiama. INSHAALLAH..!
- Tunakuomba uimarishe utawala wa sheria na ujenzi wa Taasisi imara za kidemokrasia ambazo ndio msingi wa utawala bora.
Bahati mbaya hata hiyo ufunuo 17:1 hujaelewa hata tafsiri yake.Catholic church ndio msingi wa ukirsto duniani.Litakapoyumba ukristo nao utayumba.Sisi tuliopewa kuzifahamu "siri" za Ufalme wa MUNGU, tunalitizama tu hili "kanisa" la "kinafiki" na kulionea huruma maana tunajua nini utakuwa mwisho wake.
Soma Ufunuo 17:1-2
Wale wa kakobe, gwajima, upako nk hujawatajaBaadae akutane na wasabato, walokole, waanglikana, kkkt, morovians, Menonite, na makanisa yote.
Pili akutane na wapangani wote.
Mwendawazimu na legacy yake ameivuruga sana nchi yetu.Mheshimiwa Rais mwaka 2016 sera mbalimbali zilibadilika na kutukwamisha kutoa huduma za kijamii hasa elimu bila kujali uwekezaji mkubwa uliofanywa na kanisa kabla ya hapo hii imesababisha hasara kubwa kifedha na hata rasilimali nyingine pamoja na rasilimali watu
Kulingana na Imani yako.Kanisa ni moja tu katoliki Takatifu na la Mitume
Hao ni watoto wadogo sana kwenye wigo wa siasa za nchi hii kwa muktadha unaoutaka kwa wasabato.Ndio maana nika declare mapema mimi sina hulka za kidini. Lakini huo mtirirko unatia doa.
Bila unafiki utaishi bongo kweli?... baadhi ni wanafiki sana hao maaskofu! Hapo askofu ni Niwemugizi na Ruwa'ichi tu wengine chenga linapokuja suala la kuwaonya watawala. Wanageuka na kushiriki nao karamu za dhuluma!
Acha kejeli tutakutana mbinguniHuu ni ukuu wa Kanisa Katoliki la Roma, wasabato na walokole na nyie tafuteni "platform" zenu ili muweze kukutana na Rais.
Mkuu, kwani mfumo wa kimadhehebu ndani ya dini ya Kikristo umetokea wapi? Je! Siyo ukweli ya kwamba dhehebu hili ndilo mama wa mengine? Kwa hiyo kwa kutangulia kwake kuwepo na nguvu ya mamlaka yake duniani ndiyo ukuu wenyewe. Hapo wala hakuna kejeli.Acha kejeli tutakutana mbinguni
Hujui ukristu vizuri, kasome injili yote vizuri acha uvivu wa kusomewa vifungu na paroka wakoMkuu, kwani mfumo wa kimadhehebu ndani ya dini ya Kikristo umetokea wapi? Je! Siyo ukweli ya kwamba dhehebu hili ndilo mama wa mengine? Kwa hiyo kwa kutangulia kwake kuwepo na nguvu ya mamlaka yake duniani ndiyo ukuu wenyewe. Hapo wala hakuna kejeli.
Mkuu wewe endelea tu kukumbatia vitu vya upako hali ukiamini ndivyo vitakupeleka mbinguni.Hujui ukristu vizuri, kasome injili yote vizuri acha uvivu wa kusomewa vifungu na paroka wako
Hongereni watakatifu msioweza ongeza hata sekunde ya uhai pamoja na kujua siri za Mungu,wakatoriki si wakamilifu na wanajua hilo kwa kuwa ni binadamu,wanahubiri upendo kwa waumini wao,wanahubiri elimu,wanahubiri neno la Mungu na mwisho wanahubiri njia za halali kujipatia kipato na uwekezaji, na siku ukiugua matibabu bora kabisa unayapata toka kwao na hospital zaoSisi tuliopewa kuzifahamu "siri" za Ufalme wa MUNGU, tunalitizama tu hili "kanisa" la "kinafiki" na kulionea huruma maana tunajua nini utakuwa mwisho wake.
Soma Ufunuo 17:1-2