Rais Samia akutana na Baraza la Maaskofu (TEC), Kilaini aelezea Historia yake na utaifishaji wa mashule 1970

Rais Samia akutana na Baraza la Maaskofu (TEC), Kilaini aelezea Historia yake na utaifishaji wa mashule 1970

"Kwenye miaka hii mitano, tutaendelea kuimarisha misingi ya utoaji haki, usawa, uhuru na demokrasia nchini na kukuza mahusiano ya kimataifa. Nadhani mmeanza kuona hatua tulizochukua"
-Rais Samia Suluhu Hassan.
 
We nae mbona MNA visasi hivyo. Hakuna aliyemuona Mungu yaani mnapenda kuhukumu kweli. Yaani Mimi walokole ndo wanaponichoshàga hapo. Hamuombeagi toba kwa sababu mnajua bibilia basis kazi yenu ni kuwanyooshea wenzeni vidole hawako safi.

Hebu kama mtu asiye na dhambi awe Wa kwanza kumpiga huyu mama anayetuhumiwa uzizni Yesu alisema
Sasa nyie asilimia kubwa mnashikiliwa kwenye uzinzi uliopitiliza hebu ombeni toba maana hakuna watu wenye maisha ya KINAFKI kama nyie walokole mnamaisha ya ucku mwimgi
Unabishana na mimi au unabishana na "maandiko"?
 
Wamwambie asionee haya salamu hizi 'Tumsifu Yesu Kristo na Bwana Yesu Asifiwe.'Mungu wa Mbinguni haonewi haya.

Ushauri wa bure kwake, aseme, Atakutana na Jumuiya zinazounganisha Madhehebu mbalimbali ya Kikristo sio dhehebu moja moja la Kikristo. Kukutana na dhehebu moja moja hatayamaliza hata kama angekuwa Rais wa JMT kwa 20yrs.
 
Sasa kama mama ameweza kukutana na waromani bila mtu wa katikati, kwanini wanalazimisha cdm wapeleke hoja zao kwa Shibuda, kabla ya kuzipeleka kwa rais?
Wakatoliki sio waromani
 
Sisi tuliopewa kuzifahamu "siri" za Ufalme wa MUNGU, tunalitizama tu hili "kanisa" la "kinafiki" na kulionea huruma maana tunajua nini utakuwa mwisho wake.
Soma Ufunuo 17:1-2
Bahati mbaya hata hiyo ufunuo 17:1 hujaelewa hata tafsiri yake.Catholic church ndio msingi wa ukirsto duniani.Litakapoyumba ukristo nao utayumba.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Mheshimiwa Rais mwaka 2016 sera mbalimbali zilibadilika na kutukwamisha kutoa huduma za kijamii hasa elimu bila kujali uwekezaji mkubwa uliofanywa na kanisa kabla ya hapo hii imesababisha hasara kubwa kifedha na hata rasilimali nyingine pamoja na rasilimali watu
Mwendawazimu na legacy yake ameivuruga sana nchi yetu.
Likawa linakesha makanisani na kuhubiri UHAYAWANI wake.
 
Ndio maana nika declare mapema mimi sina hulka za kidini. Lakini huo mtirirko unatia doa.
Hao ni watoto wadogo sana kwenye wigo wa siasa za nchi hii kwa muktadha unaoutaka kwa wasabato.

Bahati mbaya kwako, mimi ninavyofaham waadventista Wasabato huwa hawajionyeshi ila matendo yao ndiyo huwa yanapelekea mtu kutaka kujua huyu ni nani/dhehebu gani!.
 
... baadhi ni wanafiki sana hao maaskofu! Hapo askofu ni Niwemugizi na Ruwa'ichi tu wengine chenga linapokuja suala la kuwaonya watawala. Wanageuka na kushiriki nao karamu za dhuluma!
Bila unafiki utaishi bongo kweli?
 
Acha kejeli tutakutana mbinguni
Mkuu, kwani mfumo wa kimadhehebu ndani ya dini ya Kikristo umetokea wapi? Je! Siyo ukweli ya kwamba dhehebu hili ndilo mama wa mengine? Kwa hiyo kwa kutangulia kwake kuwepo na nguvu ya mamlaka yake duniani ndiyo ukuu wenyewe. Hapo wala hakuna kejeli.
 
Mkuu, kwani mfumo wa kimadhehebu ndani ya dini ya Kikristo umetokea wapi? Je! Siyo ukweli ya kwamba dhehebu hili ndilo mama wa mengine? Kwa hiyo kwa kutangulia kwake kuwepo na nguvu ya mamlaka yake duniani ndiyo ukuu wenyewe. Hapo wala hakuna kejeli.
Hujui ukristu vizuri, kasome injili yote vizuri acha uvivu wa kusomewa vifungu na paroka wako
 
Hujui ukristu vizuri, kasome injili yote vizuri acha uvivu wa kusomewa vifungu na paroka wako
Mkuu wewe endelea tu kukumbatia vitu vya upako hali ukiamini ndivyo vitakupeleka mbinguni.
 
Sisi tuliopewa kuzifahamu "siri" za Ufalme wa MUNGU, tunalitizama tu hili "kanisa" la "kinafiki" na kulionea huruma maana tunajua nini utakuwa mwisho wake.
Soma Ufunuo 17:1-2
Hongereni watakatifu msioweza ongeza hata sekunde ya uhai pamoja na kujua siri za Mungu,wakatoriki si wakamilifu na wanajua hilo kwa kuwa ni binadamu,wanahubiri upendo kwa waumini wao,wanahubiri elimu,wanahubiri neno la Mungu na mwisho wanahubiri njia za halali kujipatia kipato na uwekezaji, na siku ukiugua matibabu bora kabisa unayapata toka kwao na hospital zao
 
Back
Top Bottom