Jimmywatanzania
JF-Expert Member
- May 8, 2015
- 514
- 274
Unaweza kutaja wakuu wa mikoa wasabato na wapendekoste?Mimi sio Mdini lakini ina nipa shaka sana hali hii
1. Musiba ni msabato
2. Sabaya ni Msabato
3. Odunga ni Msabato
4. Josefu Ni msabato
5..........
Ndio maama wasabato hawapendi siasa. Maana hawaiwezi.
nothing personal
Acha unafiki mkuu.Mimi sio Mdini lakini ina nipa shaka sana hali hii
1. Musiba ni msabato
2. Sabaya ni Msabato
3. Odunga ni Msabato
4. Josefu Ni msabato
5..........
Ndio maama wasabato hawapendi siasa. Maana hawaiwezi.
nothing personal
Mimi huwa namuombea huyu Mama dua Kimya kimya tena kutoka Moyoni.Safi, mama halali anachapa kazi
Chuki inawatawala sana hawa viumbeMimi sio Mdini lakini ina nipa shaka sana hali hii
1. Musiba ni msabato
2. Sabaya ni Msabato
3. Odunga ni Msabato
4. Josefu Ni msabato
5..........
Ndio maama wasabato hawapendi siasa. Maana hawaiwezi.
nothing personal
Wolokole wale waliompa Meko tuzo ya kuishinda Covid 19? Wale ni genge la wasanii tuBaadae akutane na wasabato, walokole, waanglikana, kkkt, morovians, Menonite, na makanisa yote.
Pili akutane na wapangani wote.
Huyu ni yule alipokea gawio la Escrow, baadaye akataka kulirudisha ila hakujua arudishe wapi maana kikapu kilikuwa kimeshaondolewa!!!5:45 Asubuhi: Anaeongea kwa sasa ni Askofu Method Kilaini na anaongelea historia ya baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania. Kilaini amesema Baraza la Maaskofu ndio uongozi wa Kanisa Katolika na lilianza na ujio wa Kanisa Katoliki mwaka 1860.
Acha matusi ya nguoni!!! Hapa tuna jambo "takatifu" Rais SSH anakutana na TEC. Sasa kama huna cha kuchangia si ukae kimya!!! Au tupige magoti na tuombe TEC wapige magoti uone kama hujamfuata kiongozi wa Malaika?Wewe hata mume wako akishindwa kusimamisha jogoo akupande unasingizia yule dikteta
Ndiyo maana wakampa Magufuli tuzo ya kuishinda Covid19 siyo?Walokole hawanaga hizo habari,wao ni upako tuuu kwa kwenda mbele
Umeona alichocoment huyo boy kinaendana na kinachojadiliwa?Acha matusi ya nguoni!!! Hapa tuna jambo "takatifu" Rais SSH anakutana na TEC. Sasa kama huna cha kuchangia si ukae kimya!!! Au tupige magoti na tuombe TEC wapige magoti uone kama hujamfuata kiongozi wa Malaika?
Walokole sio wanafiki yaani ni watu ambao wana amini katika kweli,si wanasiasa kama madhehebu mengine..
Sasa ulitaka awasalimu Maaskofu kwa jina la jamhuri ya Muungano?we jamaa bhana.Kwa mara ya kwanza nimemsikia mama akitamka ...."Tumsifu Yesu Kristo..."
Mimi ni muumini wa dini za jadi ila jambo la mama kutotamka maneno hayo limekuwa likivuma Sana hapa!
TunawakilishwaHuu ni ukuu wa Kanisa Katoliki la Roma, wasabato na walokole na nyie tafuteni "platform" zenu ili muweze kukutana na Rais.
Mkuu utawala wa jiwe haukuwa na baraka kwa nchi yetu. Hata wewe kwa sasa unafuraha sababu ya jiwe kutangulizwa mbele za haki. Nakuona unafuraha hadi unataka Mama aongoze hadi 2030.Wewe hata mume wako akishindwa kusimamisha jogoo akupande unasingizia yule dikteta
Gwajima, Lwakatare, msigwa hawa si walokole mkuu?Walokole sio wanafiki yaani ni watu ambao wana amini katika kweli,si wanasiasa kama madhehebu mengine..
Mkuu! Mimi nina furaha siku zote! Wasio na furaha ni wale wenye msongo wa mawazo! Na kwa sababu mlikuwa na msongo wa mawazo na sasa rais anatupeleka vizuri na ccm imeji update basi mi 10 tena kwa ccm na SamiaMkuu utawala wa jiwe haukuwa na baraka kwa nchi yetu. Hata wewe kwa sasa unafuraha sababu ya jiwe kutangulizwa mbele za haki. Nakuona unafuraha hadi unataka Mama aongoze hadi 2030.
Kwa jiwe ulikuwa unataka atawale milele kama Yesu!
Kanisa la mitume, mitume wake wote waliuwawa na asikari wa kirumiLile ambalo mwasisi wake ni Yesu Kristo na Papa wake wa kwanza ni mtume Petro.
hawa wahuni tu wa Thissi wanajifanya wachungaji