Pre GE2025 Rais Samia ameinunua CHADEMA, maaskofu, wasanii, na wote wenye ushawishi ila bado simpendi mpaka kiama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakuna uislamu kwenye tamaa ya madaraka na kula raha za dunia. Huyo bibi yako alishasahau misingi ya uislamu kitambo sana kwa kuendekeza anasa na sifa za kijinga.
 
Jana nilikuwa naangalia bank statement yangu,levies za government ni nyingi haswa
 
Huyu Bibi angekua anamjua Allah asingetoa Toto afya kadi, akaanza kununua magoli ya simba na yanga na kuhonga wasanii
 
Utakufa nacho kijiba cha roho.

Kondoo hajifichi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…