Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
- Thread starter
- #41
mlisha mpa na tuzo huyu Magufuli hakufikaHamna ubora wowote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mlisha mpa na tuzo huyu Magufuli hakufikaHamna ubora wowote.
Hufanyi kazi, mbona hata mimi nisiefanya kazi Tanzania nna bima ya NSSF, wmnapoke yeyote yule. Mke, mume na watoto.Wewe Bibi unaona ni Sawa kutoa Toto afya kadi badala yake uanze kuwanunua maaskofu na watu wa mipira.
Allah na reasoning ni mbingu na ardhi kama anawataka mtetee waislamu wenzenu hata kama wanakosea
kama unawea panda juu nenda ukazibe.Huyu Bibi na mchukia kuliko ninavyo mchukia shetani
Kanunua miili iharibikayo hajanunua mioyo iishiyoBinafsi simpendi Samia not personal but kwa vitu vyote anavyofanya kwa watanganyika.
Katoa Toto afya kadi kwa watoto watanganyika
Kaongeza mfumko wa Bei kuanzia nauli, vocha, mafuta,
Shilingi ya Tanzania inazidi kuporomoka kutoka 2200 mwaka 2021 mpaka 2700 mwaka 2024.
Kawawekea matozo ya kila namna watanganyika kwenye Luku, vocha, kutuma pesa au kupokea 10000 unakatwa 1000 kwenye miamala ya simu au kibenk.
Karudisha ile kauli "unanijua mimi nani" vijana kwa sasa makae kwa kutulia mtapigwa bunduki mchana kweupe,
Amehamasisha ufisadi kwa zile kauli za mle kwa urefu wa kamba zenu.
Hapendi kukosolewa. kutekwa, kupotezwa na kuuwawa ni Danika zero
Shetani hanaga noma na mtuHuyu Bibi na mchukia kuliko ninavyo mchukia shetani
CHADEMA bando ipo imara sn, umewahi kuona CCM wanaponda chama kingine tofauti na CDM? Sema CHADEMA wamebanwa na dolaBinafsi simpendi Samia not personal but kwa vitu vyote anavyofanya kwa watanganyika.
Katoa Toto afya kadi kwa watoto watanganyika
Kaongeza mfumko wa Bei kuanzia nauli, vocha, mafuta,
Shilingi ya Tanzania inazidi kuporomoka kutoka 2200 mwaka 2021 mpaka 2700 mwaka 2024.
Kawawekea matozo ya kila namna watanganyika kwenye Luku, vocha, kutuma pesa au kupokea 10000 unakatwa 1000 kwenye miamala ya simu au kibenk.
Karudisha ile kauli "unanijua mimi nani" vijana kwa sasa makae kwa kutulia mtapigwa bunduki mchana kweupe,
Amehamasisha ufisadi kwa zile kauli za mle kwa urefu wa kamba zenu.
Hapendi kukosolewa. kutekwa, kupotezwa na kuuwawa ni Danika zero
Sure huwa tuna msingizia bureShetani hanaga noma na mtu
Kila kona amejaza tozo kibao hovyo kabisaKwenye madini, kuna service levy, TRA nao wameingia n.k.
Wewe ni ccm na jirani yangu mkomeBinafsi simpendi Samia not personal but kwa vitu vyote anavyofanya kwa watanganyika.
Katoa Toto afya kadi kwa watoto watanganyika
Kaongeza mfumko wa Bei kuanzia nauli, vocha, mafuta,
Shilingi ya Tanzania inazidi kuporomoka kutoka 2200 mwaka 2021 mpaka 2700 mwaka 2024.
Kawawekea matozo ya kila namna watanganyika kwenye Luku, vocha, kutuma pesa au kupokea 10000 unakatwa 1000 kwenye miamala ya simu au kibenk.
Karudisha ile kauli "unanijua mimi nani" vijana kwa sasa makae kwa kutulia mtapigwa bunduki mchana kweupe,
Amehamasisha ufisadi kwa zile kauli za mle kwa urefu wa kamba zenu.
Hapendi kukosolewa. kutekwa, kupotezwa na kuuwawa ni Danika zero
Acha kunywa matap tap yanakufanya uwe tabla lasaWewe ni ccm na jirani yangu mkome
Hii ikitimia ntakesha namshukuru MunguHuyo mama atapunduliwa na jeshi
Afu za kuhonga wadau wakeKila kona amejaza tozo kibao hovyo kabisa
Kule lisu alisema kuna wajumbe washakuwa madalali wa Abdul na mama yakeCHADEMA bando ipo imara sn, umewahi kuona CCM wanaponda chama kingine tofauti na CDM? Sema CHADEMA wamebanwa na dola
Angeinunua Chadema Ally Kibao angeuawa?Binafsi simpendi Samia not personal but kwa vitu vyote anavyofanya kwa watanganyika.
Katoa Toto afya kadi kwa watoto watanganyika
Kaongeza mfumko wa Bei kuanzia nauli, vocha, mafuta,
Shilingi ya Tanzania inazidi kuporomoka kutoka 2200 mwaka 2021 mpaka 2700 mwaka 2024.
Kawawekea matozo ya kila namna watanganyika kwenye Luku, vocha, kutuma pesa au kupokea 10000 unakatwa 1000 kwenye miamala ya simu au kibenk.
Karudisha ile kauli "unanijua mimi nani" vijana kwa sasa makae kwa kutulia mtapigwa bunduki mchana kweupe,
Amehamasisha ufisadi kwa zile kauli za mle kwa urefu wa kamba zenu.
Hapendi kukosolewa. kutekwa, kupotezwa na kuuwawa ni Danika zero
Ngoja tuoneKuna siku hapa hapa watu watatamka tofauti! Tutunze risiti
Mwenyekiti mbowe unamuona huko sawaAngeinunua Chadema Ally Kibao angeuawa?