kwakina itafakari
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 618
- 1,258
Huyo mama atapunduliwa na jeshi
Itapendeza zaidi ingwa sioni hilo likitokea maana wajeda wenyewe bongo ndio wale wale tu mazombi, kama wananchi wa kawaida au kama wanasiasa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mama atapunduliwa na jeshi
Siongelei mimi binafsi, naongelea watoto wa wakulima ambao hawako kwenye huo mfumo wa ajira we kichwa panzi chura, kuwadi wa chura kiziwi.Hufanyi kazi, mbona hata mimi nisiefanya kazi Tanzania nna bima ya NSSF, wmnapoke yeyote yule. Mke, mume na watoto.
Tena na hela yangu nnayolipa inabaki kuwa ni akiba yangu.
Hivi kwanini kwanini kwa kuitwa na wazungu kondoo mmekuwa kondoo iweli kweli?
Kwamba Samia kainunua Chadema umeandika Uongo, Vinginevyo hoja yako ilikuwa nzuri sanaMwenyekiti mbowe unamuona huko sawa
Huyu Bibi aibe atkavyo 2025 atuachie Tanganyika yetuKanunua miili iharibikayo hajanunua mioyo iishiyo
Hajainunua yote ila kule kashaweka mfumo wake ambao ndio ulimpeleka abduli kwa lisu ill akahongwe na hao watu inaonekana ni wazito ndio maana lisu hawatajiKwamba Samia kainunua Chadema umeandika Uongo, Vinginevyo hoja yako ilikuwa nzuri sana
Unajaribu kuhalalisha tuhuma zako bila ushahidi wowoteHajainunua yote ila kule kashaweka mfumo wake ambao ndio ulimpeleka abduli kwa lisu ill akahongwe na hao watu inaonekana ni wazito ndio maana lisu hawataji
Haina shida ,nitakuzibia njia ,we leta ujuajiAcha kunywa matap tap yanakufanya uwe tabla lasa
Uzuri mi nilikuwepo enzi za Kikwete,mwamba alijua kuyakoga hahaha Ila badae alikuja kuwa role model na kipenzi cha wengiNgoja tuone
Mabeyo alitukosea watanganyikaItapendeza zaidi ingwa sioni hilo likitokea maana wajeda wenyewe bongo ndio wale wale tu mazombi, kama wananchi wa kawaida au kama wanasiasa!!
Unajisikia kuwa chawa wa mtu unaye mzidi akili, wewe ni mpumbavyDr Janabi: haters wa mama Samia hatarini kujifungua kabla ya wakati
Abduli anahonga kwa kushirikiana na mama yakeIdara nyeti.hazinunuliwi kabisaaaa!!
Ngoja tuone!
Kikwete mzunguko wa pesa ila maendeleo ya nchi zerUzuri mi nilikuwepo enzi za Kikwete,mwamba alijua kuyakoga hahaha Ila badae alikuja kuwa role model na kipenzi cha wengi
Mzibie njia mama yakoHaina shida ,nitakuzibia njia ,we leta ujuaji
Familia ya ally kibao ungeiulizaSamia mbaya lakini Magufuli ni mwovu.
Bora yupi ?
Kwanini unatusemea wote? Hebu jisemee nafsi yako tu. Ungekuwa na akili timamu ungekuwa unatumia fursa hizi kutengeneza fedha!!Mtanganyika yeyote mwenye akili timamu hawezi kumpenda huyo kikaragosi Kwa mambo yake ya hovyo anayoyafanya.
Kwani Lisu ni muongo kusema watu wa chadema walienda na abdul kwake kumhonga !? Na mpaka leo mwenyekiti hajawawafanya chochote wala kuongeleaUnajaribu kuhalalisha tuhuma zako bila ushahidi wowote