Pre GE2025 Rais Samia ameinunua CHADEMA, maaskofu, wasanii, na wote wenye ushawishi ila bado simpendi mpaka kiama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe Bibi unaona ni Sawa kutoa Toto afya kadi badala yake uanze kuwanunua maaskofu na watu wa mipira.
Allah na reasoning ni mbingu na ardhi kama anawataka mtetee waislamu wenzenu hata kama wanakosea
Hufanyi kazi, mbona hata mimi nisiefanya kazi Tanzania nna bima ya NSSF, wmnapoke yeyote yule. Mke, mume na watoto.

Tena na hela yangu nnayolipa inabaki kuwa ni akiba yangu.

Hivi kwanini kwanini kwa kuitwa na wazungu kondoo mmekuwa kondoo iweli kweli?
 
Kanunua miili iharibikayo hajanunua mioyo iishiyo
 
CHADEMA bando ipo imara sn, umewahi kuona CCM wanaponda chama kingine tofauti na CDM? Sema CHADEMA wamebanwa na dola
 
Wewe ni ccm na jirani yangu mkome
 
Angeinunua Chadema Ally Kibao angeuawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…