Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
Wapiga mapambio wa jiwe roho inawauma sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mlevi mbwa mkaushie tu hajitambuiKwani wewe hupendi? Au unataka Polepole na Bashiru tu ndiyo wanywe juice ya Ikulu!
Ah wapi!Sawa tunaimani Mbowe ataenda na nondo zilizoshiba kwa maslahi mapana ya Demokrasia
Maslahi ya watanzania ni pamoja na Demokrasia,na mimi nimeongelea mojawapo kati ya mengi ambayo tunategemea watajadiliSiyo maslahi ya watanzania tena katika kujihakikishia wanajikomboa kikweli kweli kwenye ukoloni wa kiuchumi na kiteknolojia bali "demokrasia". Aisee, nadhani baadhi yetu hatujajua tunataka Tanzania iwe ya namna gani. Hili ni tatizo, linatakiwa kutatuliwa.
Yule alikuwa kichaaGood start......Urais ni pamoja na kuwasikiliza hata walio na mawazo ama fikra tofauti na zako.
Mwendazake alikuwa ni muoga sana wa hoja za ana kwa ana - alikuwa na uwezo mdogo sana wa kuhimili kifua chake.
Mungu hana masihara hata kidogoWasipompenda sisi tunampenda. Ndiyo Rais chaguo la Mungu maana Mungu hapendi majizi. Unakwiba kura unaishi mwaka. Hahahaha
Inatisha kweli hadi watu wameenda nje kudungwa gandisha damu(Astrazeneca).Corona inatisha sana jamani
Hiyo juice imenunuliwa kwa kodi zao acha wanywe.Hata Kikwete aliwahi kuwaalika wakaishia kunywa juice ya Cerel!
Wewe nyumbu Mwenyekiti Mbowe alimuandikia Rais barua ya kuomba kukutana naye kabla hata Mh. Rais hajatoa ahadi ya kukutana na wapinzani,sasa barua ya Mbowe kujibiwa wewe unapata maumivu gani? Wacheni roho za kihutu za yule dhalim, mwacheni Rais afanye kazi. Sasa wewe unasema hiyo hapana ina maana unampangia Rais jinsi ya kufanya kazi zake? Kama hutaki nenda kashitaki kwa mwendazakeKwanini iwe CDM pekee? Mh. Rais alisema vyama vyote vya upinzani, kwani CDM ndio special sana kwa lipi? Vyama vyote vya upinzani kama Mh Rais alivyosema vitapata fursa ya kuongea na Mh Rais, sio Mbowe pekee au CDM pekee, hiyo hapana
Hizo tetesi hata mimi nimesikia. Kaongea Kibajaji Lusinde, na mwenzie Msukuma. Wala sio za kuaminikaHaa wapi... tetesi ni kwamba wameambiwa kupeleka hoja zao kupitia kwa Shibuda na msajili wa Vyama ,kwanza wazikague kama zinatosha... hahahahaaaa kaazi iendelee.
Nado wapo hai lkn wengine ndiyo wapo wanajibu maovu kwa ahllahInatisha kweli hadi watu wameenda nje kudungwa gandisha damu(Astrazeneca).
Sasa wewe unabisha kitu gani wakati rais mwenyewe kaiandikia cdm kuwa yupo tayari kukutana na mwenyekiti wa chama?Hizo tetesi hata mimi nimesikia. Kaongea Kibajaji Lusinde, na mwenzie Msukuma. Wala sio za kuaminika
Wako hai mpaka lini?Nado wapo hai lkn wengine ndiyo wapo wanajibu maovu kwa ahllah